Uchaguzi 2020 Vijana kuweni makini kwa ahadi za uongo kutoka Vyama vya Upinzani

Uchaguzi 2020 Vijana kuweni makini kwa ahadi za uongo kutoka Vyama vya Upinzani

Hujui kitu wewe !! . Hata mifano unayiotoa siyo. Hosni Mubarak hakutoka Muslim brotherhood. Huyo alikuwa dictator kama hawa tulio nao
Na alirithi madaraka baada kifo cha Anuwar Sadat . Kenya hata siku moja hawajawahi kuitamani Kanu !! Wako mbele yetu kwa hatua kubwa sana.

Kama ni ahadi za uongo basi ziko Ccm . Waliahidi Katiba mpya iko wapi ?!, Waliahidi viwanda viko wapi ?!, Waliahidi million 50 kila kijiji, ziko wapi ?! Waliahidi ajira kwa wasomi ziko wapi ?!.

Kuogopa kufanya mabadiliko ni ulemavu tena wa akili. Binaadamu anayeridhika na mazingira yanayomzunguka hata kama ni duni hafai na ndiyo wewe mleta mada.
Hosni Mubarak hakuwahi kuwa Dictator kwa ufahamisho wakati wa utawala wake chama cha Muslim kilikuwa na hata wabunge wa kuchaguliwa na kiliruhusiwa kufanya siasa baada ya maandamano ya kuiondoa Muslim Brotherhood ndipo huu Rais Sisi dikteta kamili alipoingia madarakani na kupiga marufukuu vyama vyote vya siasa
 
Hujui kitu wewe !! . Hata mifano unayiotoa siyo. Hosni Mubarak hakutoka Muslim brotherhood. Huyo alikuwa dictator kama hawa tulio nao
Na alirithi madaraka baada kifo cha Anuwar Sadat . Kenya hata siku moja hawajawahi kuitamani Kanu !! Wako mbele yetu kwa hatua kubwa sana.

Kama ni ahadi za uongo basi ziko Ccm . Waliahidi Katiba mpya iko wapi ?!, Waliahidi viwanda viko wapi ?!, Waliahidi million 50 kila kijiji, ziko wapi ?! Waliahidi ajira kwa wasomi ziko wapi ?!.

Kuogopa kufanya mabadiliko ni ulemavu tena wa akili. Binaadamu anayeridhika na mazingira yanayomzunguka hata kama ni duni hafai na ndiyo wewe mleta mada.
Huyo ndugu yako Raila Odinga baada kupigwa Rushwa ya uongozi na Uhuru Kenyatta leo amewaacha wapiga kura wake kwenye mataa. Kwa ufahamisho Gavana wa Migori kutoka chama cha ODM amepelekwa mahakamani kwa wizi wa mabilioni. Leo tumeona Rais Kenyatta akimnyanyasa Jaji Mkuu Maraga huku Raila Odinga akiwa kimya. Ufisadi uliotokea Kenya baada ya kuanza mfumo wa vyama vingi ni mkubwa kuliko utawala wa Kanu
 
Hosni Mubarak hakuwahi kuwa Dictator kwa ufahamisho wakati wa utawala wake chama cha Muslim kilikuwa na hata wabunge wa kuchaguliwa na kiliruhusiwa kufanya siasa baada ya maandamano ya kuiondoa Muslim Brotherhood ndipo huu Rais Sisi dikteta kamili alipoingia madarakani na kupiga marufukuu vyama vyote vya siasa
Bado nakuambia bure hujui kitu. Tafuta history ya Egypt uone mfano wako kama si AIBU !!!.
 
Huyo ndugu yako Raila Odinga baada kupigwa Rushwa ya uongozi na Uhuru Kenyatta leo amewaacha wapiga kura wake kwenye mataa. Kwa ufahamisho Gavana wa Migori kutoka chama cha ODM amepelekwa mahakamani kwa wizi wa mabilioni. Leo tumeona Rais Kenyatta akimnyanyasa Jaji Mkuu Maraga huku Raila Odinga akiwa kimya. Ufisadi uliotokea Kenya baada ya kuanza mfumo wa vyama vingi ni mkubwa kuliko utawala wa Kanu
Unamuita Raila ndugu yangu sijui kwanini asiwe ndugu yako. Ccm imekuepo sasa miaka 60 . Je unaridhika na hali inayokuzunguka ?! .

Mifano ya Kenya unayoitoa haifanani na hapa kwetu. Na amini usiamini wako mbele yetu hatua nyingi sana. Kiuchumi na kisiasa na hata huduma za jamii
 
Unamuita Raila ndugu yangu sijui kwanini asiwe ndugu yako. Ccm imekuepo sasa miaka 60 . Je unaridhika na hali inayokuzunguka ?! .

Mifano ya Kenya unayoitoa haifanani na hapa kwetu. Na amini usiamini wako mbele yetu hatua nyingi sana. Kiuchumi na kisiasa na hata huduma za jamii
Sisi tunataka stability ya Tanzania hatuwezi kuona kikundi cha wahuni wakitawala Tanzania. CCM still the best kwa watanzania
 
Mkuu sikufokei ila nimetoa mfano hai kwa nchi ambazo zimepitia njia mnayotaka kutupeleka
Pia kuna Mifano ya Zimbabwe, Angola na Msumbiji ambao wamefanya kama Tanzania na CCM yetu na hali za wananchi wao ni mbovu kama zetu.
 
Nikianzia suala la ajira ni tatizo la sehemu kubwa duniani watu wamepoteza kazi kwa hali mbaya ya kiuchumi pamoja na tatizo la ugonjwa huu wa COVID19 ulipojitokeza.
Mtajibeba mwaka huu. John hajaanza mwaka huu kuwapuuza vijana kuwapa ajira. Kwahiyo usitumie Corona kama kichaka cha kuficha dharau za John kwa vijana.
 
Hoja ya kitoto sana hii kwa mwanza hata asiyesoma aweza kukujibu

Au nenda tu airport Dar kaangalie abiria watoka mwanza wanavyoshuka na samaki wa mwanza
Ndege zimepaisha soko la samaki kanda ya ziwa

Mandege kibao hubeba samaki kwa ajili ya soko la ndani na la nje

Mwanza wavuvi na wauza samaki wanafaidi sana kwa uwepo wa ndege

Pili kodi zinazopatikana kutokana na mauzo ya tiketi ndizo hizo zinaenda somesha watoto wao elimu bure,kutoka mikopo kwa akiba mama na vijana na nk

Pia hizo kodi ndizo zinalipa mishahara ya wafanyakakazi wa serikali ambao hutumia Hiyo mishahara kutunza familia zao na kununua hizo mboga na hiyo mihogo .Kila mtu anunuapo tiketi ya ndege kuna kodi mle inayoenda kumlipa nduguyo aliyeko serikalini ambaye ukiwa hata na harusi hukuchangia kupitia mshahara aliolipwa kutokana na kodi iliyokusanywa kwa waliokata tiketi za ndege!!
Lakini kodi kila siku zinakuwa kero kwa wananchi , Nilichogundua ni kwamba wewe ni ukanda oriented au ukabila oriented , huna lolote zaidi. Hakuna logic yoyote hapo ya unachotetea zaidi wanatutia umaskini wananchi wa chini.
 
Sisi tunataka stability ya Tanzania hatuwezi kuona kikundi cha wahuni wakitawala Tanzania. CCM still the best kwa watanzania
Unapowaona Cdm ni wahuni. Wao wanawaona Ccm ni wezi na nyang'au kabisa.

Habari za kila upande kutokuridhika na upande wa pili ni natural . Hata Leo Trump haridhiki na Biden is natural.
 
hatuwezi kuona kikundi cha wahuni wakitawala Tanzania. C
Wahuni ni wale
Wanaoteka watu.
Wanauwa watu.
Wanapiga risasi watu.
Wanadhihaki watu wakiptwa na maafa.
Wanavamia vutuo vya redio na tv.
Wanatishia kuwapia mashangazi

Hawa ndiyo wahuni wasiofaa kuchaguliwa.
 
Ahadi za uongo zilianzishwa na ccm, na zinaendelea kutamalaki hivyo huu ni muda muafaka wa kuiondoa CCM, tukutane Oct 28
Baada ya kufuatilia hotuba nyingi za vyama vya upinzani ninapenda kuwasihi vijana kuwa na tahadhari kwa ahadi zisizoweza kutekelezeka.

Nikianzia suala la ajira ni tatizo la sehemu kubwa duniani watu wamepoteza kazi kwa hali mbaya ya kiuchumi pamoja na tatizo la ugonjwa huu wa COVID19 ulipojitokeza.

Suala la kusema kuwa wakishika madaraka wataruhusu wananchi wataruhusiwa kwenda kuishi kwenye hifadhi ni la upotoshaji mkubwa kwani tukiruhusu utekelezaji huo ina maana utalii utakufa.

Ninatoa mfano nchi ya Misri 2011 wananchi walimuondoa madarakani Rais Hussein Mubarak kupitia chama cha Muslim Brotherhood baada ya chama hicho kutoa ahadi nyingi zisizoweza kutekelezeka kufika mwaka 2013 wananchi hao hao waliiingia mitaani kupinga hicho chama matokeo Jeshi la nchi hiyo likatwaa madaraka tena.

Tumeona hapa majirani zetu Kenya baada ya kuiondoa KANU madarakani na kupata katiba mpya leo wakenya wanaikumbuka KANU kwani Ufisadi na ukabila umekuwa mkubwa sana kufikia kuhatarisha umoja wa nchi hiyo. Katika uchaguzi wa mwaka 2007 wananchi kupitia vyama hivyo vilipigana vita vya kikabila na maelfu ya wananchi walipoteza maisha.

Kwa mustakabali wa nchi yetu Tanzania bado CCM ni chama pekee kinachoweza kuipeleka nchi katika uchumi mzuri na umoja wa kitaifa.

Tusijaribu kufanya kosa kubwa la kutoipigia kura CCM na haswa Rais Magufuli ambaye ameleta mageuzi makubwa ndani ya chama hicho na serikali kwa ujumla.
 
W
Baada ya kufuatilia hotuba nyingi za vyama vya upinzani ninapenda kuwasihi vijana kuwa na tahadhari kwa ahadi zisizoweza kutekelezeka.

Nikianzia suala la ajira ni tatizo la sehemu kubwa duniani watu wamepoteza kazi kwa hali mbaya ya kiuchumi pamoja na tatizo la ugonjwa huu wa COVID19 ulipojitokeza.

Suala la kusema kuwa wakishika madaraka wataruhusu wananchi wataruhusiwa kwenda kuishi kwenye hifadhi ni la upotoshaji mkubwa kwani tukiruhusu utekelezaji huo ina maana utalii utakufa.

Ninatoa mfano nchi ya Misri 2011 wananchi walimuondoa madarakani Rais Hussein Mubarak kupitia chama cha Muslim Brotherhood baada ya chama hicho kutoa ahadi nyingi zisizoweza kutekelezeka kufika mwaka 2013 wananchi hao hao waliiingia mitaani kupinga hicho chama matokeo Jeshi la nchi hiyo likatwaa madaraka tena.

Tumeona hapa majirani zetu Kenya baada ya kuiondoa KANU madarakani na kupata katiba mpya leo wakenya wanaikumbuka KANU kwani Ufisadi na ukabila umekuwa mkubwa sana kufikia kuhatarisha umoja wa nchi hiyo. Katika uchaguzi wa mwaka 2007 wananchi kupitia vyama hivyo vilipigana vita vya kikabila na maelfu ya wananchi walipoteza maisha.

Kwa mustakabali wa nchi yetu Tanzania bado CCM ni chama pekee kinachoweza kuipeleka nchi katika uchumi mzuri na umoja wa kitaifa.

Tusijaribu kufanya kosa kubwa la kutoipigia kura CCM na haswa Rais Magufuli ambaye ameleta mageuzi makubwa ndani ya chama hicho na serikali kwa ujumla.
Alokutuma nenda ukampe salamu zake...kamwambie kwamba kuku kala mchele mchana jioni nae kaliwa na wali
 
Kipindi cha kampeni mnatuahidj Ajira
Mkipata madaraka mnatuambia tujiajiri
 
Kijana La kuambiwa na Lisu Changanya na akili zako .Lisu ana uongo wa kufa mtu

1599364913160.png
Sasa wewe umeona chadema wamenunua ndege? Lisu hajasema watu wasipande ndege. Anachosema serikali isinunue ndege, acha watu binafsi wazinunue na kufanya biashara. Lumumba vipi?
 
Mgombea yeyote atakae ahidi kuwepo na haki, uhuru, kutoingilia biashara zote, kuto dhulumu mazao ya wakulima, namuunga mkono.
 
Wafuasi wa tundunlissu Ni vijana Kati ya miaka 25-35 wengiwao Ni wakiume, Hawa vijana hawana kazi za kueleweka na umri wakukaa kea wazazi wao umeshapita, na kazi wanazofanya Ni za shurba Kama bodaboda machinga kupigadebe stand
 
Kijana La kuambiwa na Lisu Changanya na akili zako .Lisu ana uongo wa kufa mtu

View attachment 1560044

We nae shule yako sijui darasa la ngapi
Kwani hiyo ndege ni ndege ya serikali?

Lisu anamaanisha kutoa mapesa mengi kwenda kununua ndege ambazo inasemekana hazileti faida haina maana
 
Baada ya kufuatilia hotuba nyingi za vyama vya upinzani ninapenda kuwasihi vijana kuwa na tahadhari kwa ahadi zisizoweza kutekelezeka.

Nikianzia suala la ajira ni tatizo la sehemu kubwa duniani watu wamepoteza kazi kwa hali mbaya ya kiuchumi pamoja na tatizo la ugonjwa huu wa COVID19 ulipojitokeza.

Suala la kusema kuwa wakishika madaraka wataruhusu wananchi wataruhusiwa kwenda kuishi kwenye hifadhi ni la upotoshaji mkubwa kwani tukiruhusu utekelezaji huo ina maana utalii utakufa.

Ninatoa mfano nchi ya Misri 2011 wananchi walimuondoa madarakani Rais Hussein Mubarak kupitia chama cha Muslim Brotherhood baada ya chama hicho kutoa ahadi nyingi zisizoweza kutekelezeka kufika mwaka 2013 wananchi hao hao waliiingia mitaani kupinga hicho chama matokeo Jeshi la nchi hiyo likatwaa madaraka tena.

Tumeona hapa majirani zetu Kenya baada ya kuiondoa KANU madarakani na kupata katiba mpya leo wakenya wanaikumbuka KANU kwani Ufisadi na ukabila umekuwa mkubwa sana kufikia kuhatarisha umoja wa nchi hiyo. Katika uchaguzi wa mwaka 2007 wananchi kupitia vyama hivyo vilipigana vita vya kikabila na maelfu ya wananchi walipoteza maisha.

Kwa mustakabali wa nchi yetu Tanzania bado CCM ni chama pekee kinachoweza kuipeleka nchi katika uchumi mzuri na umoja wa kitaifa.

Tusijaribu kufanya kosa kubwa la kutoipigia kura CCM na haswa Rais Magufuli ambaye ameleta mageuzi makubwa ndani ya chama hicho na serikali kwa ujumla.

Bora upinzani mara tririon kuliko ccm
 
Back
Top Bottom