Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
- Thread starter
-
- #41
Ila mitiki in issue kukua mm ninamtiki 1 hapa mwanza s unamiaka 20 lakini bado unahitaji miaka mingine kama 20 ili uweze kuvunwa
😂😂mitikiMatiki ndio nini?
Ubarikiwe mama hata mimi sielewi Mitiki ni nini?😂😂mitiki
Ubarikiwe kwa kutupa moyo.Watu kama nyinyi wasoma magezeti, makala, vitabu vya uchumi na masoko huwa mnakatisha sana tamaa watu, ndomana wengi wa wasomi mnakufa masikini mnakuja jiimarisha too late na vikokoteo vyenu vya uzeeni. Kila mnachotaka kufanya huwa mnawaza hasara tu. Watu ambao hawana Elimu kama za kwenu wengi huendelea kwa sababu wao huingia field na kufanya na sio kujiuliza maswali kama haya unayoyafikiria.
Wacha uwoga, penda kujaribu.
Mitiki ni minazi mkuuSi limagi mazao ya mda mrefu siku zote, lkn sasa hivi naanza shawishika wkend iliyoisha nilitembelea maeneo ya bagamoyo nilikutana na shule ya nguvu kweli kweli kutoka kwa wakulima hasa wa zao hili la minazi.
Tuambiane wakuu au hii mada maalum kwa wakulima wa Matiki 🤔ha ha, we jamaa bwana!
Mitiki (teaks) ni Miti inayozalisha mbao ngumu! Wanasema inachukua zaidi ya 10 yes kupanda mpk kuvuna japo humu wanasema kuna mbegu mpya ya muda mfupi. Mbao zake zinafaaa kwa floor, meli, boti na kuvutia Sigara!Un
Ubarikiwe mama hata mimi sielewi Mitiki ni nini?
Sifa nyingine ya mitiki inastawi ukanda wa bahari ya hindi tu.Mitiki (teaks) ni Miti inayozalisha mbao ngumu! Wanasema inachukua zaidi ya 10 yes kupanda mpk kuvuna japo humu wanasema kuna mbegu mpya ya muda mfupi. Mbao zake zinafaaa kwa floor, meli, boti na kuvutia Sigara!
Wakati tunasubiri nchi kunyooshwa na
Raisi na kusubiria ntantalila za CCM.
Nawashauri vijana wenzangu na wazee kuwekeza kwenye uwekezaji huu wa mitiki.
Ingieni mtafute maarifa ya huu uwekezaji..!Watu wengi wanafanya hiki kilimo wanapata fedha nyingi.
Maeneo ya kununua mashamba ni mengi.kwa wilaya ya Kilombero na Ulanga...!ardhi kule ipo fertile
sasa cha kufanya ni ww kwenda na kutafuta ardhi ununue hapa inategemea na maeneo na approach yako lakini hazid laki 3@acre mbegu na kupimiwa shamba unapata bure kutoka kwa kampuni ya mitiki..!
..Changamoto ni kuisimamia toka unapopanda had 3yrs toka uipande ..!kuanzia hapo haina changamoto sana..
mie maneno mengi sina..tutafute hela jaman..tuwekeze..
miaka mi8 sio mingi kbs kbs ..!
Shime Watanzania! Tukutane2030[emoji4]
Nb.Kama upo serious pm me nikupe namba ya mhusika wa KILOMBERO TEAK CO.akupe mwelekeo!
Kama unataka kufa kwa Stress wekeza kwenye hiyo miti. Inachukua miaka 60 kupata mavuno. Hivyo usiiwekeee maaanani ya miaka 10 au 20 ni UONGO. Soft woods kule Mufindi sawa lkn hizo Hard Woood! Usitafutie watu umaskini na Stroke bureee
Shukrani mkuuMitiki (teaks) ni Miti inayozalisha mbao ngumu! Wanasema inachukua zaidi ya 10 yes kupanda mpk kuvuna japo humu wanasema kuna mbegu mpya ya muda mfupi. Mbao zake zinafaaa kwa floor, meli, boti na kuvutia Sigara!
Yes mbegu za mda mfup wanazo pia ambazo zinaanza kuzaa kuanzia miaka 3 though wananchi wengi wanatumia zile za asili za zamanihuo ni uwekezaji...ukifumba macho kwakweli lazima uje ushangilie..!huko bgmy wana hyo mbeg ya muda mfupi?all the best
Yes mbegu za mda mfup wanazo pia ambazo zinaanza kuzaa kuanzia miaka 3 though wananchi wengi wanatumia zile za asili za zamani
Yes ni kweli na pia hizi za kisasa life span yake ni ndogo mno kuanzia miaka 15 mpaka 20, lakini mbegu za asili ni life span ni 50+ ndomana wakulima huipendelea.naskia za zaman ndo nzuri zina ladha..kuliko hizo mpya..yan naskia hizo mbegu fupi hazina ladha