Vijana mliomaliza vyuo kwanini mnavuta bangi?

Vijana mliomaliza vyuo kwanini mnavuta bangi?

Haya mambo yalikuwepo na yataendelea kuwepo. Ni jukumu la kila mmoja kuchukua hatua ya kuona anasaidia vipi vijana kutojiingiza huko. Kabla hatujamlaumu kijana ni vema tukamlaumu Baba Junior na Mama Junior kwa malezi yao ya kishenzi. Nilipokuwa darasa la pili nilijaribu kuvuta sigara tena isiyo halisi ile ya makaratasi nikaonwa na baba. Kipigo nilichopata ni cha maisha yangu yote na sikuwahi kuwaza hata huo ujinga. Siku hizi mama anavaa anavaa kichupi mbele ya mtoto wake wa kiume eti ni vazi la kuogelea.
 
Haya mambo yalikuwepo na yataendelea kuwepo. Ni jukumu la kila mmoja kuchukua hatua ya kuona anasaidia vipi vijana kutojiingiza huko. Kabla hatujamlaumu kijana ni vema tukamlaumu Baba Junior na Mama Junior kwa malezi yao ya kishenzi. Nilipokuwa darasa la pili nilijaribu kuvuta sigara tena isiyo halisi ile ya makaratasi nikaonwa na baba. Kipigo nilichopata ni cha maisha yangu yote na sikuwahi kuwaza hata huo ujinga. Siku hizi mama anavaa anavaa kichupi mbele ya mtoto wake wa kiume eti ni vazi la kuogelea.
🙌 Kwahiyo shida ni wazazi na sio vijana??
 
Habarini wanajf wenzangu hope mko gud kabisa.

Direct niende kwenye topic imekua kama culture kwa vijana wanaomaliza na waliomaliza vyuo vikuu na vya kati kwa asilimia kubwa unakuta ni walevi unywaji wa pombe uliopitiliza, wanavuta bangi,sigara,mirungi... nk

Mimi nashangaa sana halafu unakuta wanacomplain kwamba hamna ajira ili hali wao ni walevi,wavivu wanashindia madawa ya kulevya hususani bangi na kubet.


Nini hasa kinachowafanya kuwa wajinga namna hiyo au uko vyuoni kuna somo la ulevi??

Cc Intelligent businessman Edo kissy Fabian Vitus Usherman
Vijana wanapitia wakati mgumu stress za kupoteza muda darasani mwisho ajira hakuna gharama za maisha kupaa uwezo wakusevu pesa haupo wew waache tu vijana waombee tu badala ya kuwalaumu
 
Nafikiri ni upeo mdogo wa kufikiri kuwa "inaondoa mawazo " kumbe sivyo, ni kujiharibu. Nawashauri tu wafanye kazi yoyote ile ili mradi mkono uende kinywani. Kuna graduate nilikutana nae anaendesha bajaji. Vijana acheni kujiangusha, amkeni, ondoa fikra "kuajiriwa" akilini, weka neno "kujiajiri".
 
Nafikiri ni upeo mdogo wa kufikiri kuwa "inaondoa mawazo " kumbe sivyo, ni kujiharibu. Nawashauri tu wafanye kazi yoyote ile ili mradi mkono uende kinywani. Kuna graduate nilikutana nae anaendesha bajaji. Vijana acheni kujiangusha, amkeni, ondoa fikra "kuajiriwa" akilini, weka neno "kujiajiri".
Vizuri sana mkuu
 
Back
Top Bottom