Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Watakuja mkuu vita subra mkuu,Sio wote wamesoma cuba mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuja mkuu vita subra mkuu,Sio wote wamesoma cuba mkuu
👀si kila mtu na starehe yake
Nasikia harufuHacha ukuda janja
Kuna Mkoa nasikia wao zao Lao la biashara ni hilo tu Ila DCEA wamewafuata huko huko kwenda kuwazuia wasilimeAlaf Kush huwa inakua tamu mwishoni unashangaa umeungua mdomo na hivi vidole 🤏🏿
Unasikia harufu?Mmnh
😃😃😂Unasikia harufu?
Angiza rizra kwa Mangi kijiti utajua mwenyewe kwa kukipataWao wanaona ujanjaaa yaani unyamwezi flani hivi. Pambaff zao na bangili zao
Hana cha kuwasaidia zaidi ya kuwaongelea asiowavisha na kuwalisha,Je unawasaidiaje
Hapo na Mimi nakaziaWape elim waache pombe kali
Kweli mkuu,Elimu ya Kikoloni ni ya kibaguzi sana, Toka zamani ikitolewa Ililenga, kuwafanya Waliopata kujiona ni ''Special People''
Lifestyle ya mtu Inaathirika pakubwa au Kupotea kabisa kisa tu ni Alumni wa chuo fulani. Pathetic!
Ni wazi Ukosefu wa ajira ni mkubwa, lakini Vijana wanajitahidi kadri ya Uwezo wao kupata ridhiki halali, ingawa Sera za Serikali ni mbovu kuwainua.
Bangi inatumiwa na makundi ya vipato tofauti katika jamii, Wakiwemo Maprof zao huko vyuoni.
Maisha ni Betting business, tatizo ni pale ikigeuka Uraibu, hata hao unawaona ni Productive usishangie ukiwakuta Casino wakiteketeza mabilioni kwenye betting.
Mkuu mimi sio mwanachuo, maana hata shule sija wahi enda aisee.Habarini wanajf wenzangu hope mko gud kabisa.
Direct niende kwenye topic imekua kama culture kwa vijana wanaomaliza na waliomaliza vyuo vikuu na vya kati kwa asilimia kubwa unakuta ni walevi unywaji wa pombe uliopitiliza, wanavuta bangi,sigara,mirungi... nk
Mimi nashangaa sana halafu unakuta wanacomplain kwamba hamna ajira ili hali wao ni walevi,wavivu wanashindia madawa ya kulevya hususani bangi na kubet.
Nini hasa kinachowafanya kuwa wajinga namna hiyo au uko vyuoni kuna somo la ulevi??
Cc Intelligent businessman Edo kissy Fabian Vitus Usherman
Sija wahi hata kuvuta mzee, mi jobless mstaarabu😆😃🤣Hao uliowamensheni ndio wahanga ? Namuona jobo less pro max Intelligent businessman
Mkuu; Hapo ndo patamu. Hivi unathubutuje kujipa jukumu la kumkanya kijana asijiingize huko? Unapenda utukanwe na vijana mchana kweupe? e.g hebu soma comment #2,3,5 n.k.Haya mambo yalikuwepo na yataendelea kuwepo. Ni jukumu la kila mmoja kuchukua hatua ya kuona anasaidia vipi vijana kutojiingiza huko. Kabla hatujamlaumu kijana ni vema tukamlaumu Baba Junior na Mama Junior kwa malezi yao ya kishenzi. Nilipokuwa darasa la pili nilijaribu kuvuta sigara tena isiyo halisi ile ya makaratasi nikaonwa na baba. Kipigo nilichopata ni cha maisha yangu yote na sikuwahi kuwaza hata huo ujinga. Siku hizi mama anavaa anavaa kichupi mbele ya mtoto wake wa kiume eti ni vazi la kuogelea.
TutaaminijeSija wahi hata kuvuta mzee, mi jobless mstaarabu😆😃🤣
Sina muda wa kumu aminisha nusu albinoo 🤒Tutaaminije