Vijana mliopewa teuzi mkatende haki, muepuke "Usabaya"

Vijana mliopewa teuzi mkatende haki, muepuke "Usabaya"

Kifurukutu

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
4,641
Reaction score
6,694
Hakika yule aliyewahi kusema "Madara yanalevya, madaraka makubwa yanalevya zaidi" hakukosea

Ukuu wa wilaya unahitaji mtu mbunifu, ukirizika na nafasi uliyoteuliwa utaishia kuishangaza jamii na kuzalilisha vijana wengine wengi hata kupelekea wasiaminiwe tena.

Kiongozi kijana, umepewa wilaya nenda katende haki ukiwatumikia wananchi.

Aliyoyafanya Sabaya mkayaepuke kabisa maana ni aibu kwa mwakirishi wa rais kuwa jambazi.
 
Hakika yule aliyewahi kusema "Madara yanalevya, madaraka makubwa yanalevya zaidi" hakukosea

Ukuu wa wilaya unahitaji mtu mbunifu, ukirizika na nafasi uliyoteuliwa utaishia kuishangaza jamii na kuzalilisha vijana wengine wengi hata kupelekea wasiaminiwe tena
Kiongozi kijana, umepewa wilaya nenda katende haki ukiwatumikia wananchi

Aliyoyafanya Sabaya mkayaepuke kabisa maana ni aibu kwa mwakirishi wa rais kuwa jambazi
Ngoja UVCCM waje tena waaalikwe na wale wasukuma wa make Tz great again😜😜😜😜
 
Hakika yule aliyewahi kusema "Madara yanalevya, madaraka makubwa yanalevya zaidi" hakukosea

Ukuu wa wilaya unahitaji mtu mbunifu, ukirizika na nafasi uliyoteuliwa utaishia kuishangaza jamii na kuzalilisha vijana wengine wengi hata kupelekea wasiaminiwe tena
Kiongozi kijana, umepewa wilaya nenda katende haki ukiwatumikia wananchi

Aliyoyafanya Sabaya mkayaepuke kabisa maana ni aibu kwa mwakirishi wa rais kuwa jambazi
Nawaongezea na husia wa Mama wasiende kupandisha mabega,kuzinguliwa nje nje .
 
Hakika yule aliyewahi kusema "Madara yanalevya, madaraka makubwa yanalevya zaidi" hakukosea

Ukuu wa wilaya unahitaji mtu mbunifu, ukirizika na nafasi uliyoteuliwa utaishia kuishangaza jamii na kuzalilisha vijana wengine wengi hata kupelekea wasiaminiwe tena.

Kiongozi kijana, umepewa wilaya nenda katende haki ukiwatumikia wananchi.

Aliyoyafanya Sabaya mkayaepuke kabisa maana ni aibu kwa mwakirishi wa rais kuwa jambazi.
Kweli tupu
 
Hakika yule aliyewahi kusema "Madara yanalevya, madaraka makubwa yanalevya zaidi" hakukosea

Ukuu wa wilaya unahitaji mtu mbunifu, ukirizika na nafasi uliyoteuliwa utaishia kuishangaza jamii na kuzalilisha vijana wengine wengi hata kupelekea wasiaminiwe tena.

Kiongozi kijana, umepewa wilaya nenda katende haki ukiwatumikia wananchi.

Aliyoyafanya Sabaya mkayaepuke kabisa maana ni aibu kwa mwakirishi wa rais kuwa jambazi.
Waache na Ubashite, Ogundu na U-Ali hapi.
 
Hakika yule aliyewahi kusema "Madara yanalevya, madaraka makubwa yanalevya zaidi" hakukosea

Ukuu wa wilaya unahitaji mtu mbunifu, ukirizika na nafasi uliyoteuliwa utaishia kuishangaza jamii na kuzalilisha vijana wengine wengi hata kupelekea wasiaminiwe tena.

Kiongozi kijana, umepewa wilaya nenda katende haki ukiwatumikia wananchi.

Aliyoyafanya Sabaya mkayaepuke kabisa maana ni aibu kwa mwakirishi wa rais kuwa jambazi.
Wakuu wa wilaya hawana kazi yoyote. Kazi yao ni wakati wa Uchaguzi tu.
 
Hakika yule aliyewahi kusema "Madara yanalevya, madaraka makubwa yanalevya zaidi" hakukosea

Ukuu wa wilaya unahitaji mtu mbunifu, ukirizika na nafasi uliyoteuliwa utaishia kuishangaza jamii na kuzalilisha vijana wengine wengi hata kupelekea wasiaminiwe tena.

Kiongozi kijana, umepewa wilaya nenda katende haki ukiwatumikia wananchi.

Aliyoyafanya Sabaya mkayaepuke kabisa maana ni aibu kwa mwakirishi wa rais kuwa jambazi.
Kazi ya sabaya ilikua moja tuu, nayo ilikua ni kumgaragaza mwamba tuvushe usiku wa manane kabula jogoo hajawikaa. Zingine ni ngonjera zenu tu
 
Back
Top Bottom