Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Alikuwa na first class ya Tele Engineering😀😀😀😀😀😀😀😀
Daaa nimecheka sana aiseee..
Mkuu Chuo ulipiga ngapi kama hutajsli..?
Maisha ya kitaa yamempa changamoto kiasi but na hakika atakuwa vizuri kiasi chake.....Duuuuu jamaa inaonyesha kichwa sana. Itakua katusua sana maishani
Maana yake rahisi ni kuwa matokeo yako ya Form Four yalikua mabaya, ULIFELI.
Ndio maana ukaishia O level ukajiunga chuo cha kizushi. Mtu aliyefaulu hawezi kujiunga chuo cha kizushi.
Hukua na option. Umefuata maisha yanavokupeleka, na sio maisha yakufuate wewe unavopanga.
Aisee maisha ya bongo bana, unapiga 1 unakuja kusukuma spacio, watu wa 3 na wasio soma wana range na discovery 7[emoji2]
Huyu jamaa sema nae fix sana sometime. Akija na ID ile nyingine anatupiga changa eti ni ex rev wa katoliki. Naona atakua na kazi nzuri tu huko kitaa yenye mshahara mzurii
Huwa anamtukana sana humble. Ila huyu jamaa utamchukia akija na ID ya Padri mcharuko.
Hua najaribu kuangalia uhusiano wa jf na watu kuwa machizi. Unajua nini amu Watu wanaijitoa akili na kujitia uchizi humu 95% asilimia wanakua watu makini/Smart na wame win kimaisha. Ila humu wanakua kama michizi vile. Hafu wanaojifanya Smart/Gentleman/Rich hua very broke kimaisha. Nina mifano kadhaa kwa watu niliowaona.
Hii ni comment akimjibu HumbeAfrc..
Yaani watu waliofeli shule wanajifanyaga wote wamefanikiwa maisha mtaani na kuona waliopiga shule wamepoteza muda hawana mbele wala nyuma.
Wakati nina rafiki zangu kibao tu nilosoma nao walifeli na maisha yao mpaka leo hii magumu tu, lazima afanye kazi kila siku masaa 16 apate mkate wake.
Ukweli ni kuwa, wanaponda tuliofaulu ili kupunguza maumivu ya KUFELI na kujiweka sawa na sisi.
Kama hukutaka shule usingeenda kabisa, ungesubiri ukue tu uingie kitaa tuone.
nami nashindwa kuelewa uhusiano wa jf na ufyatu, mara kadhaa najishtukia nikiandikacho jf na uhalisia wa maisha na imani yangu halisi. mara kadhaa mimi huifananisha jf na msitu mnene ambao mtu anaweza kuthubutu kutembea uchi au kujisaidia kwa uhuru bila kuhofu kuwa kuna mtu anamwona. na mara kadhaa huifananisha na kiza/giza la usiku wa manane ambapo wanga huwanga kwa uhuru.Huwa anamtukana sana humble. Ila huyu jamaa utamchukia akija na ID ya Padri mcharuko.
Hua najaribu kuangalia uhusiano wa jf na watu kuwa machizi. Unajua nini amu Watu wanaijitoa akili na kujitia uchizi humu 95% asilimia wanakua watu makini/Smart na wame win kimaisha. Ila humu wanakua kama michizi vile. Hafu wanaojifanya Smart/Gentleman/Rich hua very broke kimaisha. Nina mifano kadhaa kwa watu niliowaona.
Hii ni comment akimjibu HumbeAfrc..
Nimemkumbuka Mbunge wa Geita Vijijini Joseph "Msukuma"Yaani watu waliofeli shule wanajifanyaga wote wamefanikiwa maisha mtaani na kuona waliopiga shule wamepoteza muda hawana mbele wala nyuma.
Wakati nina rafiki zangu kibao tu nilosoma nao walifeli na maisha yao mpaka leo hii magumu tu, lazima afanye kazi kila siku masaa 16 apate mkate wake.
Ukweli ni kuwa, wanaponda tuliofaulu ili kupunguza maumivu ya KUFELI na kujiweka sawa na sisi.
Kama hukutaka shule usingeenda kabisa, ungesubiri ukue tu uingie kitaa tuone.
Umeongea kweli mkuu kuna watu humu wana mkwanja ila ila ukifuatilia ID zao sio watu wa ku comment sana wala ku like wapo tu kama wasomaji nimebahatika kukutana nao baadhi maisha wameyapatia kwelikweli.....Huwa anamtukana sana humble. Ila huyu jamaa utamchukia akija na ID ya Padri mcharuko.
Hua najaribu kuangalia uhusiano wa jf na watu kuwa machizi. Unajua nini amu Watu wanaijitoa akili na kujitia uchizi humu 95% asilimia wanakua watu makini/Smart na wame win kimaisha. Ila humu wanakua kama michizi vile. Hafu wanaojifanya Smart/Gentleman/Rich hua very broke kimaisha. Nina mifano kadhaa kwa watu niliowaona.
Hii ni comment akimjibu HumbeAfrc..
Kwa hili utakuwa umemchoma kwa kiasi fulani wajanja wengi walienda kusoma course za biashara nje ya nchi tena vyuo vikubwa kubwa tu......sijaponda wasomi nimekuponda wewe mpuuzi uliyeshindwa kutumia ma AAA yako kujikomboa na ukaishia kuajiriwa na serikali kwa TGSE..
mwisho wa siku umetapeliwa na dogo ontario.. huwezi ku reason pamoja na ma AAA yako yote..
mtu aliyefaulu kama wewe kushindwa kujitambua mpaka unafikiria kukopa bank milion 5 na ukimbie nazo bila kulipa ni mpuuzi..
Ushauri: Mimi mwajiriwa Serikalini, nataka nichukue mkopo (kwa kutumia ajira yangu) kisha niache kazi
wenzako wajanja waliopata hayo ma A yako walijua ku reason .. wakaachana na coet wakaenda udbs na Baf mzumbe.. wakamaliza wakaingia big 4 proffessional firms... then wakaingia kwenye ma bank vitengo nyeti wanakula salary hela zaidi ya ulizotaka kukopa na kuzulumu bank..
wengine wakalamba ma scholarship ya ukweli na kusepa bongo na kazi wanafanya majuu..
wewe ni mpuuzi ndio maana unapata tabu sana... jifunze kuusoma mtaaaa
Muulizeni huyo jamaa na mi AAA yake wasio soma wangapi wanamzidi asituaminishe maisha ni kusoma tu..hata chuo sijafika.. ila maisha nayoishi ni wachache sana wameyafikia.. mimi hata a level sijasoma.. niliishia o level tu then college ya kizushi kisha nikazama mtaani.. karibu sana tupambane kitaa.. huku hakuhitaji A za physics bali ni kujua kuusoma mtaa
Watu wanaponda tu wakati mshikaji yuko njema! Hongera sana kwake!hongera sana mkuu,mimi nilisoma kwa kila namna lakini ilifika kipindi akili inaniambia ili somo uwezo wako nikupata F au D yaani kwa kifupi Mungu ametuumba kiakili uwezo tofautitofauti.
Yaani unasoma mpaka inafikia kipindi unaona somo halieleweki sawa na kusukuma mlima kilimanjaro