Vijana mliopo A-level: Technique rahisi nilizotumia kupiga Division One ya 3 form six bila kukesha darasani

Vijana mliopo A-level: Technique rahisi nilizotumia kupiga Division One ya 3 form six bila kukesha darasani

Mkuu umeelewa comment yangu ? Rudi uisome vizuri, mimi sijaelezea chochote kuhusu huyu jamaa, kuna mtu nilimjibu tu ualisia wa bongo nikiwa na maana nchi yetu elimu haithaminiki mtu unasoma unapiga 1 then ka mshahara kadogo so unaishia kusukuma spacio
Kwa vyovyote sijamsema mleta mada
Siku nyingine utumie ustaarabu na akili ,kama matusi hata mi nayajua
Ulitaka aendeshe gari gani??? Huko China watu wamesoma na wanaendesha baiskeli
 
Hiyo ndio shida ya wengi wao. Kuna mmoja type kama yake nilikutana naye Mkoa mkoja (jina kapuni) katika kambi ya jeshi ni mlevi balaa basi story zake bar akiwa kalewa ni hizi hizi zinafanana na za huyu jamaa.

,..Mara alikuwa TO, mara alipata highest GPA ever kutokea Tz ktk kozi ya sayansi aliiyokuwa anasomea, mara the youngest Senior lecturer kuajiriwa ktk chuo kikuu kimoja nchini ( jina kapuni), mara nina nyota 3 jeshini, na bla bla nyingine nyingi tu… ila sasa ukimuangalia utamhurumia jinsi alivyochakaa kwa sababu ya ulevi. Na sio huyo tu, nina mifano mingi ya kweli ya watu type hii, ila kwa leo huu mmoja unatosha.

In short ni kwamba, type ya watu kama hawa ambao tunasema wana uwezo mkubwa kupita average people ni kuwa wana tabia ya ku over-think on problems (kutumia akili kubwa sana kufikiria changamoto zinazowakumba katika maisha yao), kitu ambacho kina cause their own anxieties to raise above normal ( kuwafanya wapaniki kupita kiasi) ambapo mwisho wa siku hupelekea kuwa depressed (kupata msongo wa mawazo) ,especially pale waanaposhindwa kusolve the real problems they face in life.

Kama mtaalam wa mambo ya afya, siwezi kushangaa kusikia majivuno ya mleta mada kwani naelewa yupo kwenye stage gani na endapo asipobadili mtazamo wake basi hapana shaka hali inaweza kuwa worst zaidi hata ya huyo mjeda.
Hapa kwenye kuna kwa ukweli fulani hata nami nilipitia hilo la overthinking na depression baada ya kumaliza chuo kutokana na kuwaza sana maisha na kulinganisha na matokeo yangu ya huko shuleni.

Ila now nna mtazamo positive sana.
 
Narusha jiwe gizani.
Mtoa uzi ni aidha Pacid masawe (Old Moshi ) au Gwamaka Njobelo (Mzumbe sec) Hawa ndo besties kwenye Chemistry.
Thou mligonga 3 zenu
 
Sasa mkuu ulikuwa wapi kutoboa siri mapema mpaka noe too late wadogo zako tulokuw na ham na huo u to tunakuwa na ABC?
 
Aisee maisha ya bongo bana, unapiga 1 unakuja kusukuma spacio, watu wa 3 na wasio soma wana range na discovery 7[emoji2]
Hahaaa huo ndio ukweli ambao wengi hawataki kuuamini ila duniani kote ndo ipo hivyo.
 
Hongera kwa kufaulu mitihani. Ila kuna tofauti ya kufaulu mtihani na kuelewa somo husika. Unaweza kukuta mwenye div 2 au 3 akawa nauelewa mpana sana wa mambo kuliko aliyefaulu kwa daraja la kwanza.

Lengo kubwa la elimu ni kukusaidia uwe na uwezo wa kukitumia unachosoma shule kwenye maisha ya mtaani. Ndio maana kuna A za shule na kuna A za kwenye maisha.
 
Hongera kwa kufaulu mitihani. Ila kuna tofauti ya kufaulu mtihani na kuelewa somo husika. Unaweza kukuta mwenye div 2 au 3 akawa nauelewa mpana sana wa mambo kuliko aliyefaulu kwa daraja la kwanza.

Lengo kubwa la elimu ni kukusaidia uwe na uwezo wa kukitumia unachosoma shule kwenye maisha ya mtaani. Ndio maana kuna A za shule na kuna A za kwenye maisha.
Kwa elimu ya Tz na unachokizungumza wewe ni vitu viwili tafaut
 
Nilipata sifa sana, kwangu na kwa shule yangu nilosoma.
Mama yangu alikua proud of his son (you know, unless you dont have plans to have kids)
Nikaitwa Bungeni na kupewa zawadi na Prime minister, Mkemia mkuu wa serikali.

Nika apply chuo nachokitaka kwa Course nayoitaka (bila kuhofia competition).
Nikapata scholarship ya TCRA 100%.

Mwisho wa majibu ya swali lako
Usisumbuane na haters mkuu........hongera sana
 
Mkuu umeongea point tupu..hongera..huu ni ushauri mzuri kwa vijana na all academicians hao walio drop shule wakatengeneza maisha mazuri waje na ushauri wao sio kuponda walio fanikiwa katika taaluma zao..kingine naomba next time njoo na mbinu za kupiga G.P.A kali vyuoni.
Desa siyo mchezo
 
Uzuri wa JF kila mtu anaruhusiwa kubwatuka... Bwatuka kadri uwezavyo...
Bwatuka kama LINAFIKI Humble African
Bwatuka kama mbwatukaji lucas mobutu
Bwatuka kama mbwatukaji FRESHMAN
Bwatuka kama mbwatukaji bukoba04
Bwatuka kama mbwatukaji From Sir With Love
Bwatuka kama mbwatukaji fredy18


Old Moshi haina historia ya kutoa Top 3 candidate kitaifa.
Gwamaka Njobelo hakuingia Top 3 Kitaifa.
Kama huna data basi endelea kubwatuka kama hao wabwatukaji hapo juu.
Mi AAA mingi halafu huna maadili wala hela.. Hizo akili za kukariri sio za maisha....Endelea kupanga mikakati ya kuiba mil 5 bank
 
Narusha jiwe gizani.
Mtoa uzi ni aidha Pacid masawe (Old Moshi ) au Gwamaka Njobelo (Mzumbe sec) Hawa ndo besties kwenye Chemistry.
Thou mligonga 3 zenu
Njobelo nilimtangulia darasa moja, dogo alikuwa anakesha kusoma mpaka asubuhi akifika parade anasinzia macho mekunduuu. Labda huyo mwngne lkn Gwamaka hapana.

Hivi kwa sasa yupo wapi huyu dogo?
 
Njobelo nilimtangulia darasa moja, dogo alikuwa anakesha kusoma mpaka asubuhi akifika parade anasinzia macho mekunduuu. Labda huyo mwngne lkn Gwamaka hapana.

Hivi kwa sasa yupo wapi huyu dogo?
Placid na Gwamaka wote wapo UD.
Thou Gwamaka ashaua tayari
 
Ok, amepata chaka la maana au bado analia lia tu?
He's low-key man so ni ngumu kujua.
Ila kipindi tuko nye Mz Sospeter Muhongo alishamuahidi kitengo nyeti kufanya nae kazi.
So don't know more mkuu
 
Last week nilikua napitia matokeo ya madogo wa form six kwa Special Schools (Mzumbe, Tabora Boys, Kibaha na Ilboru) lengo ni kuhesabu One za Tatu yaani ni za kutafuta kwa tochi... Nimeambulia kuona moja tu ya dogo wa Mzumbe alokua T.O (dogo mwenyewe PCB, sijui PCM siku hizi wamerogwa na nani).

Huu ni ushauri kwa madogo ambao mpo Advance na mna munkari wa kupiga One Kali tatizo hamjui strategies zipi mtumie. Kuna tofauti kubwa kati ya kusoma sana na kufaulu. Kusoma sana sio kufaulu, bali kusoma kwa technique.

Mbinu nilizotumia kupiga One ya 3 bila kukesha darasani:

Target Audience:
Wanafunzi waliopo Advance (five na six) hasa PCM (shule za Private hawahusiki sababu wana walimu na miundombinu ya kutosha)

Malengo:
Weka malengo ya kupiga One Kali. Yaani kila somo lisome ukiwa na mind za kupata A. Ukijiwekea malengo ya kupiga A lazima utakua unasoma kwa focus.
Mie wakati naingia form five nikaweka malengo kuwa lazima nipige one ya 3 na niingie Top 3 kitaifa. Na ikawa hivo mwisho wa siku.

Timetable:
Sikua na fixed (defined) ratiba kama wenzangu walivokua wamebandika ndani ya matranka yao au ukutani pembeni ya kitanda. Mie nilikua nasoma kwa mood.
Nilikua na alternate kati ya Physics na Chemia. Napiga maswali ya Gravitation nikichoka nafunga kesho napitia Inorganic Chemistry.

Hesabu nilikua napitia kila siku nikitaka kulala (somo la kulalia). Mfano nikitoka class kupiga maswali ya Electronics narudi Dom nafungua pure II napiga maswali yangu 20 ya Complex Number then nalala.

Kuna wakati najikuta nasoma Physics hata week nzima (mfano napoamua kupitia Mechanics), yaani kifupi sikua na ratiba fixed, nasoma kutokana na nataka nikave topic zipi kwenye somo husika.

Achana na tabia ya kusoma kwa ratiba, soma kulingana na somo lipi topic ipi upo nyuma sana. Topic ipi hujapitia maswali mengi, topic ipi umeanza kusahau. Lazima upige One ya 3.

Kabla sijasahau: Mie usiku mwisho wangu kusoma ilikua saa nne. Mchana ndio muda wangu wa kupiga kitabu, giza likiingia tu basi nakua zoba. Usually ikifika saa tatu usiku kama sijaenda prepo basi siendi tena, napitia hesabu kitandani nalala.
But mchana hunikuti nafanya upuuzi (labda jioni kwenye jogging uwanjani).
Lazima upige One ya 3.

Twende kwenye masomo husika sasa:

Physics:
Vitabu nilivosoma mpaka napiga pepa: (Chandy, Nelkon na Roger Muncaster).
Katika somo unalotakiwa upitie vitabu vingi ni Physics. Lakini mie nilikua mjanja. Nilipitia vitabu ambavyo NECTA wanapenda kutoa maswali basi. Vingine nikaachana navyo.

Nilianza na Chandy, then nilipo kimaliza nikaja Nelkon (hiki hata sikusoma, bali nilifanya maswali yote ya mle sababu hakina maelezo mengi). Then form six mwishoni nikamalizia Roger (japo kina maswali magumu, nilijitahidi kufanya, yaliyonishinda nikaachana nayo)

Ukitaka kuelewa Physics basi soma Chandy (wahindi wanaeleza mpaka una enjoy), but ukitaka kufaulu Physics NECTA piga maswali karibu yote ya Nelkon na Roger Muncaster. NECTA wanapenda kutoa maswali kutoka kwenye Nelkon na Roger.

Practical za Physics zote nilifoji wakati wa pepa. Ukijifanya kupiga practical real hutomaliza muda hautoshi. Ukikaribia NECTA jifunze namna ya kufoji practical za Mechanics, Heat na Umeme.

Lazima upige One ya 3.

Chemistry:
Katika masomo yaliokua mteremko kwangu basi ni Chemistry. Kwanza kabisa ndio somo ambalo sikuwahi kabisa kusoma Vitabu. Niliishia kusoma Notes tu pamoja na kupitia Past Papers za NECTA.
Yaani nilikua nashangaa watu wanakomaa kusoma Ramsden usiku wa manane wakati Chemia ni mwendo wa notes tu unapiga banda. Practical zake ndio chai kabisa.

Kifupi ni kuwa ukitaka kupiga banda la Chemia with minimum efforts fanya hivi:
Soma notice za topic husika (mfano Electrochemistry), ukishaelewa chukua Review ya NECTA, pitia pepa moja baada ya nyingine kwa topic (achana na tabia ya kupitia pepa zima matopic yote utaloose concentration, nenda topic by topic).
Ukimaliza rudi tena kwenye notice, soma topic nyingine (mfano Organic) then njoo tena kwenye Review, fanya hivo hivo. Hadi umalize topic zote.

Practical za Chemia zote nilifanya real, sikufoji hata moja. Sababu praki za Chemia ni simple, sinafanyika ukifata procedure. Kifupi Chemia hutakiwi kukosa A au B+. Mie nilipiga A kali nikaongoza Chemia kitaifa form six yetu. Watu wamekomaa na mavitabu nikawakimbiza kama kawa.
Lazima upige One ya 3.
View attachment 818007



Advanced Mathematics:
Katika somo ambalo nilikua nasomea kitandani ni hesabu. Kwanza kabisa sikua na ratiba maalum ya kusoma hesabu. By the way hesabu hatusomi, bali huwa tuna solve.
Nilianzaga kukomaa na Tranter kubabake kikanishinda. Nikaachana nacho.
Nikakomaa na Pure I na II nikakomaa nazo na sikuwahi kusoma kitabu kingine chochote zaidi ya hivi viwili.
Style yangu ile ile, nasoma topic (mfano Integration) then nazama kwenye NECTA Review napiga maswali yote ya Integration mpaka yaishe. Nikimaliza natafuta another topic hivo hivo.
Lazima upige One ya 3.

Mwisho Kabisa:
Watu wanaamini kuwa ili ufaulu masomo ya sayansi kwa One kali lazima uende ukapige mapindi kwa tuition center za Dar (Mgote, Moody, Mtiga, Mbuga etc).
Hilo sio kweli, sio kweli, ni uongo.

Mie sikuwahi kusoma tuition yoyote Dar. Nilipiga mapindi ya vichochoroni tu.
Mengine tulifundishana na wenzangu shule. Na topic zingine niliamua kusoma mwenyewe baada ya kukosa mtu wa kunifundisha (mfano Modern Physics, Static Electricity, Complex Numbers, Statistics).

Vijana acheni kulala, wekeni malengo ya kupiga One kali ili inapofika stage ya kuomba vyuo unak ua na wide selection ya kwenda chuo na course unayotaka.
Lazima upige One ya 3.

View attachment 818008
Halafu wewe sio mtoto wa Katwale kweli??

Sio Samuel Katwale kweli??
 
Back
Top Bottom