Hiyo ndio shida ya wengi wao. Kuna mmoja type kama yake nilikutana naye Mkoa mkoja (jina kapuni) katika kambi ya jeshi ni mlevi balaa basi story zake bar akiwa kalewa ni hizi hizi zinafanana na za huyu jamaa.
,..Mara alikuwa TO, mara alipata highest GPA ever kutokea Tz ktk kozi ya sayansi aliiyokuwa anasomea, mara the youngest Senior lecturer kuajiriwa ktk chuo kikuu kimoja nchini ( jina kapuni), mara nina nyota 3 jeshini, na bla bla nyingine nyingi tu… ila sasa ukimuangalia utamhurumia jinsi alivyochakaa kwa sababu ya ulevi. Na sio huyo tu, nina mifano mingi ya kweli ya watu type hii, ila kwa leo huu mmoja unatosha.
In short ni kwamba, type ya watu kama hawa ambao tunasema wana uwezo mkubwa kupita average people ni kuwa wana tabia ya ku over-think on problems (kutumia akili kubwa sana kufikiria changamoto zinazowakumba katika maisha yao), kitu ambacho kina cause their own anxieties to raise above normal ( kuwafanya wapaniki kupita kiasi) ambapo mwisho wa siku hupelekea kuwa depressed (kupata msongo wa mawazo) ,especially pale waanaposhindwa kusolve the real problems they face in life.
Kama mtaalam wa mambo ya afya, siwezi kushangaa kusikia majivuno ya mleta mada kwani naelewa yupo kwenye stage gani na endapo asipobadili mtazamo wake basi hapana shaka hali inaweza kuwa worst zaidi hata ya huyo mjeda.