From Sir With Love
JF-Expert Member
- Sep 13, 2010
- 2,076
- 3,813
Dogo unazingua, acha misifa ya kijinga. Kaa utulizane jinsi ya kuwasilisha mambo.Wapi nimeweka majivuno??? Kusema kuwa nilikua nasoma kwa ujanja nikafaulu ndio majivuno??
By the way kama mtu amefaulu malengo alokua amejiwekea kwanini asijivunie???
Mnaionwea wivu ama... Wewe mtoto wako akifaulu form four akapiga ONE YA 7 hautajivunia??
Ballagh-Shatwain
Pitia jamii forum mwanzo mwisho uone Kama kuna mwanaume amejisifia kupata point 3.
Wanaume hatujazoea hii kitu. Aidha unajipa moyo kwa sababu hujafanikiwa ulivyotaka hivyo unataka watu wakurecognise.
Shwain mwenyewe. Eti my mum was happy. Te he te he. Tutakupa heshima kwa jinsi ulivyo, sio kututisha na AAA.