Vijana mliopo A-level: Technique rahisi nilizotumia kupiga Division One ya 3 form six bila kukesha darasani

Vijana mliopo A-level: Technique rahisi nilizotumia kupiga Division One ya 3 form six bila kukesha darasani

Nimejifunza kitu ila sina nafasi tena mimi umri ushapita but naitamani sana ya 3 mimi nilipata ya 6 mkuu but still nawaza kwann sikumake wonders?
Hakuna asiyetamani one ya tatu sema tu ndio vile uwezo unatofoutiana kati yetu.....

So bwana CCNP ni ruksa kufurahia misonge yake Mkuu nashangaa watu kwanini wanamkosoa ingawa najua fika kila mtu moyoni alikuwa anatamani kupata one ya saba o level.... one ya tatu advance na chuo kutoka na GPA ya nguvu.....

Kufaulu kwa maksi kubwa kuna raha yake asikwambie mtu....
 
Raia ambazo hazikuwa na akili za darasani zimepovuka sana kwenye huu uzi.

Sasa sijui watoto wao hawajawapeleka shule au hawatarajii wafaulu sana elimu ya darasani ili wawafundishe elimu ya kitaa watusue maisha.
 
Unaweza kua na points nzur lakin taarifa yako imetawaliwa na ujivuni mwingi na sina hakika km inaweza kua na msaada kwa wanafunzi wengi zaidi watapotea kama watafata ushauri wako as ulivyoupresent.

Kumshauri mtu asome apate one ya 3 ni lazima awe mtu unaefahamu uwezo wake na speed yake ya kuelewa na kukumbuka vitu, mtu aliepata C ya Maths or Chemistry akifata njia yako atatoka na S advanced.

So its a good thing na hongera kwako but ushauri wako ni mbovu sana, umetawaliwa na majivuno na sifa nyingi.
Jamaa ana point kweli ila ana majivuno mengi.

Sijawahi kuona mwanaume msomi anajisifia hata siku, labda Jerry Muro.
 
Kuna jamaa namjua alimaliza na 1st class with distinction BSc; ila jamaa poa sana yupo mechanical eng pale mlimani ni DR.

Tulianza kumwita engineer tukiwa form II pale Moshi Tech baada ya kufumua mtihani wa form II averange ya 86 masomo yote 11 mabanda tupu . Form four akapiga 7 mabanda 9 yote hadi bible knowledge. Akaenda Dar Tech record zake hakuna aliyevuja; akaenda mlimani ikawa balaa tupu.
.

Jamaa yupo poa sana hana mineno mingiii... naanza kupata wasiwasi na huyu msomi wetu.
 
Hongera kwa mafanikio hayo. Ila mkuu umekwama wapi kuendeleza mafanikio hayo katika maisha halisia? Maana kuna bandiko lako la kutaka kuiba bank m5 kisha uache kazi. Hivi enginia unakosa uwezo wa kupata Mil 5 kwa njia halali mpaka kufikia kukuachisha kazi inaonyesha upeo wako wa maisha na fedha ukoje. Au pengine hizi data sio za kweli...

Ushauri: Mimi mwajiriwa Serikalini, nataka nichukue mkopo (kwa kutumia ajira yangu) kisha niache kazi
Mtamfanya ahamie Kenya Talk kwa maswali haya maana ni magumu kweli kweli .Ila akikujibu jibu sahihi usikose kunikumbuka nikuje kusoma.
 
Wabongo bwn japa wako bize wanakandia mtu aliefauluu wkt kila mtu anapeleka mtoto shule

Elimu ndo urithi mengine ataamua akiwa mkubwa

Hongera mkuu...technique zako shuleni kama zangu kwa kiasi kikubwa
Sijawahi soma tuition,wala usiku wa manane...

Ugonjwa wa taifa hesabu ni somo la kusolve maswali kila siku utapata A bila ubishi
Mzazi chukua hilo litamsaidia mwanao

Himizeni watoto kupenda shule na other life skills at par..
 
kwenye miti hakuna wajenzi.. yaani na ma AAA yako yote umeishia kuajiriwa serikalini kwa mshahara wa hazina... ma scholarship yote yaliyojaa duniani umeyaacha unahangaika na forex na mwisho wa siku unatapeliwa na wadogo zako kina ontario...

wahuni wana div 3 za mwisho tena za HKL ila ajira za maana kwenye mabalozi.. au wanajiajiri wenyewe wanagombania tenda na kupiga hela..

nashangaaga sana best students kuwaona udsm... ukikomaa kweli kweli na ukawa na washauri sahihi unatembea mapema sana.. bongo nyoso
Mkuu watoto wako usiwapeleke shule. Waishie darasa la 7 then uwape Elimu na Skills za mtaa
 
Kuna jamaa tulikuwa naye PCM aisee balaa; tangu form five sikuwahi kuona anaandika notice; yeye alikuwa na makaratasi tu anaandika mambo yake mwingine huelewi kitu. Hasomi kazi yake ni kuzunguka kwa room za wenzake kupiga soga. Ukishidwa swali nenda kwake anaku solvia fastaa ka machine; jamaa aliondoka na point tatu.

Akili inatokana na genetic ya ukoo; hizi zetu za kuungaungaa aisee unahangaika sana.
Sorry ,amegundua nini mpka sasa?
 
Hiyo ndio shida ya wengi wao. Kuna mmoja type kama yake nilikutana naye Mkoa mkoja (jina kapuni) katika kambi ya jeshi ni mlevi balaa basi story zake bar akiwa kalewa ni hizi hizi zinafanana na za huyu jamaa.

,..Mara alikuwa TO, mara alipata highest GPA ever kutokea Tz ktk kozi ya sayansi aliiyokuwa anasomea, mara the youngest Senior lecturer kuajiriwa ktk chuo kikuu kimoja nchini ( jina kapuni), mara nina nyota 3 jeshini, na bla bla nyingine nyingi tu… ila sasa ukimuangalia utamhurumia jinsi alivyochakaa kwa sababu ya ulevi. Na sio huyo tu, nina mifano mingi ya kweli ya watu type hii, ila kwa leo huu mmoja unatosha.

In short ni kwamba, type ya watu kama hawa ambao tunasema wana uwezo mkubwa kupita average people ni kuwa wana tabia ya ku over-think on problems (kutumia akili kubwa sana kufikiria changamoto zinazowakumba katika maisha yao), kitu ambacho kina cause their own anxieties to raise above normal ( kuwafanya wapaniki kupita kiasi) ambapo mwisho wa siku hupelekea kuwa depressed (kupata msongo wa mawazo) ,especially pale waanaposhindwa kusolve the real problems they face in life.

Kama mtaalam wa mambo ya afya, siwezi kushangaa kusikia majivuno ya mleta mada kwani naelewa yupo kwenye stage gani na endapo asipobadili mtazamo wake basi hapana shaka hali inaweza kuwa worst zaidi hata ya huyo mjeda.
 
Hakuna asiyetamani one ya tatu sema tu ndio vile uwezo unatofoutiana kati yetu.....

So bwana CCNP ni ruksa kufurahia misonge yake Mkuu nashangaa watu kwanini wanamkosoa ingawa najua fika kila mtu moyoni alikuwa anatamani kupata one ya saba o level.... one ya tatu advance na chuo kutoka na GPA ya nguvu.....

Kufaulu kwa maksi kubwa kuna raha yake asikwambie mtu....
We acha mkuu hao wanaoponda ni vilaza tupu
 
Umesikia wewe mtaalamu wa kutoa mimba za makahaba pale Tegeta kwa Ndevu...
Majivuno lazima niwe nayo sababu nilikomaa shule na mwisho wa siku malengo nilokua nayo nikayatimiza...
Na wewe weka malengo yako yatimize ujivunie...
Acha ufala dogo langu... France walikua na lengo la kubeba WC ya pili, na kweli wamebeba, kwahiyo wasijivunie???
Usisite kunitafuta mapema kabla hizo symptoms n signs zako za clinical depression hazijawa worst tukakupoteza mkuu. Wala sikutishi mkuu, ila Trust me, i know nachokisema.
 
Kuna jamaa namjua alimaliza na 1st class with distinction BSc; ila jamaa poa sana yupo mechanical eng pale mlimani ni DR.

Tulianza kumwita engineer tukiwa form II pale Moshi Tech baada ya kufumua mtihani wa form II averange ya 86 masomo yote 11 mabanda tupu . Form four akapiga 7 mabanda 9 yote hadi bible knowledge. Akaenda Dar Tech record zake hakuna aliyevuja; akaenda mlimani ikawa balaa tupu.
.

Jamaa yupo poa sana hana mineno mingiii... naanza kupata wasiwasi na huyu msomi wetu.
huyo jamaa anaitwa nani boss ...usikute ndo mimi
 
Back
Top Bottom