Dah nilichokiona katika huu Uzi kuna watu mna historia na upinzani wa chini kwa chini kumbe ambao sie wengine tulikuwa hatuujui kumbe mnafahamiana kutoka huko FOREX sasa sie tuliodandia mmetuingiza chaka na kutafuta upande wa kulaumu kuwa hauthamini upande mwingine.
Ushauri wangu tupambane tu na maisha mliosoma na ambao pia hatukusoma maana hiyo ndo dhamira ya kila binadamu.
nashangaa watu mliovamia kumbe vita yetu ya simba na yanga.. na jioni usikute tunakunywa bia pamoja.. sijui mtajificha wapi... huyu kitambo sana mpinzani