Vijana mnaotoka Vyuoni kuweni makini

Vijana mnaotoka Vyuoni kuweni makini

Mr Excel

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2021
Posts
526
Reaction score
1,675
Vijana mnaotoka vyuoni kuweni makini.

Unaomba kazi unaenda kwenye usaili unashushiwa mvua ya maswali kama vile upo mahakamani.
Unaanza kazi bosi wako anaua ndoto zako na kipaji chako kupitia mshahara mnono, posho, vyeti vya utendaji bora wa mwaka na hata kukupa vyeo vingine fake.

Mwisho wa siku unajitoa kindakindaki na unazeeka huna kitu na kazi unafukuzwa wakati wowote, Haswa wale mnaoenda private sectors, bosi wengi ni dream killers kwa vijana wengi wenye uweledi na maarifa mapana.

USHAURI:

Kutambua dream killers na dream mentors ni lazima uwe na dira na malengo makhususi, nje ya Hapo utakufa kitaaluma na ujuzi pia.

Dream homicide,professional suicide. Usisahau kumfanyia usaili bosi wako.
 
I think the source of the problem is not your boss itz on yo
Give us reason or advice

Coz for my advice I suggests to interview ur own boss in order to determine if he/she is a dream killer/mentor
 
Poleni sana vijana ambao mnamawazo ya kijinga ya kuajiriwa..wasiwasi wangu ni kwamba HAMNA ALIEAJILIWA AKAFA TAJIRI.rabda nje sio bongo.
 
Sasa utazeekaje huna kitu wakati umesema ulikuwa unapewa mshahara na posho nono?
Ukipewa vyote hivyo kwa mkupuo1 unakuwa confused unadhani boss anakupenda sana hvy unawekeza nguvu zote,maarifa na weledi wako kwa boss kisha unasahau kuwekeza upande wa pili.
 
Poleni sana vijana ambao mnamawazo ya kijinga ya kuajiriwa..wasiwasi wangu ni kwamba HAMNA ALIEAJILIWA AKAFA TAJIRI.rabda nje sio bongo.
Tuoneshe njia Mkuu ndy maana ya uwepo wa huu uzi
 
Tupe njia tutoke kwenye kuajiriwa ili hizo pesa tujiajiri.
Jibu unalo Mkuu
Kwanza ni ajira ili utengeneze market yako na uzoefu. Wote tumepita huko.

Unless una wazazi au ndugu waliokuandalia soko ila kama huna pambana na ajira inayotengeneza soko lako la kujiajiri mpaka soko litakapokuwa limeiva.

Soko likiwa tayari wewe utajua, bosi wako atajua na atajitahidi sana asikupoteze.
 
Kwanza ni ajira ili utengeneze market yako na uzoefu. Wote tumepita huko.

Unless una wazazi au ndugu waliokuandalia soko ila kama huna pambana na ajira inayotengeneza soko lako la kujiajiri mpaka soko litakapokuwa limeiva.

Soko likiwa tayari wewe utajua, bosi wako atajua na atajitahidi sana asikupoteze.
Nakupata freshiiiii
 
Back
Top Bottom