Vijana mnaotoka Vyuoni kuweni makini

Vijana mnaotoka Vyuoni kuweni makini

Mi nafkiri vijana wapate exposure kwanza.. Mtu hujamuexpos hat kwneye mshahar wa net 600k monthly. Leo unampa mibigi drimz uliokuwa nayo wewe uliekusanya mtaji kwnye NGO. Waacheni waajiriwe wakiona wananyonywa muwashauri hayo,sio hivi mnavyokwenda wazee "mnaharibu"
 
Biashara yeyote ila kama huna mtaji na huna sapoti nakushauri nenda mgodini mwaka mmoja utakua na mtaji anza biashara sasa ila kuna ushindani balaa.kazi na dawa tafta mganga roga kwanza.naamini utafanikiwa
 
Sasa mkuu kama ukipewa mshahara mkubwa unabweteka unasahau kuwekeza hilo ni tatizo la boss au la kwako? Yaani waafrica bhana mkipewa mishahara midogo mnalalamika mkipewa mishahara mikubwa bado mnalalamika!

Hebu acha hiyo kazi ya mshahara mnono waachie wenye shida usiajiriwe kabisa halafu ingia kitaa anza from zero ufukuzie hizo dreams zako za uongo na kweli tuone? Maana wewe inaonekana hauna shida kabisa kenge wa manyoya wewe!
 
Mimi maoni yangu kuhusu hilo ni kuwa shida ipo pande zote mbili kwa mwajiri na mwajiriwa.

1. Mwajiriwa kama ulivyosema anaweza kulipwa mshahara mnono akajisahau hafanyi mambo ya kimaendeleo yeye ni bata tu. Hajiendelezi pia so no career growth.

2. Waajiri wengi kusema kweli wapo kimaslahi yao. Hakuna kampuni inayofanya shughuli zake ili imnufaishe mfanyakazi bali ni ili imtumie mfanyakazi kujinufaisha (profit making) so management itajitahidi kwa njia yoyote kuhakikisha inamtumia mfanyakazi to the maximum ili kuinufaisha kampuni.

So issues kama za career growth inakuwa sio focus yao. Ni kampuni chache sana tena labda za wageni ndio wanafanya hivyo. Labda ku train na ku develop wafanyakazi n.k

Kwahiyo kiujumla nadhani ni mfanyakazi kujiongeza tu. Kama unapata mshahara mnono na kupandishwa vyeo usikae kiree kuwa mjanja. Jiendeleze zaidi kielimu ili ukue katika career yako.

Pia wekeza katika fursa mbali mbali za kibiashara ili muda wowote litakapotokea lakutokea uwe upande salama. Sio kula bata tu kama vile una guarantee kuwa hiyo kazi utakuwa nayo siku zote.

Pia penda ku seek opportunities sehemu mbalimbali sio kuganda sehemu moja tu unaridhika.

Tatizo kubwa ni sisi tunapenda kuridhika na kubweteka sana.

The future is not certain. Be alert.
 
Mimi maoni yangu kuhusu hilo ni kuwa shida ipo pande zote mbili kwa mwajiri na mwajiriwa.

1. Mwajiriwa kama ulivyosema anaweza kulipwa mshahara mnono akajisahau hafanyi mambo ya kimaendeleo yeye ni bata tu. Hajiendelezi pia so no career growth.

2. Waajiri wengi kusema kweli wapo kimaslahi yao. Hakuna kampuni inayofanya shughuli zake ili imnufaishe mfanyakazi bali ni ili imtumie mfanyakazi kujinufaisha (profit making) so management itajitahidi kwa njia yoyote kuhakikisha inamtumia mfanyakazi to the maximum ili kuinufaisha kampuni.

So issues kama za career growth inakuwa sio focus yao. Ni kampuni chache sana tena labda za wageni ndio wanafanya hivyo. Labda ku train na ku develop wafanyakazi n.k

Kwahiyo kiujumla nadhani ni mfanyakazi kujiongeza tu. Kama unapata mshahara mnono na kupandishwa vyeo usikae kiree kuwa mjanja. Jiendeleze zaidi kielimu ili ukue katika career yako.

Pia wekeza katika fursa mbali mbali za kibiashara ili muda wowote litakapotokea lakutokea uwe upande salama. Sio kula bata tu kama vile una guarantee kuwa hiyo kazi utakuwa nayo siku zote.

Pia penda ku seek opportunities sehemu mbalimbali sio kuganda sehemu moja tu unaridhika.

Tatizo kubwa ni sisi tunapenda kuridhika na kubweteka sana.

The future is not certain. Be alert.
Mkuu huyu labda anataka mtaji wake aupatie kwenye kazi za saidia fundi au ukonda wa daladala! Ili kusudi baadaye aje kuwa motivational speaker aje adanganye watu kuwa alianza na sh mia tu mfukoni na sasa amefikia hapo alipo!

Watu wengi waliofanikiwa hasa kwa mfumo wetu wa hapa bongo ni wale walioanza na ajira kisha baadaye wakaachana nayo wakajiongeza wakiwa wamepata mtaji wa kutosha! Mtu ashindwe kujiongeza mwenyewe halafu alaumu ajira kweli!
 
Mi nafkiri vijana wapate exposure kwanza.. Mtu hujamuexpos hat kwneye mshahar wa net 600k monthly. Leo unampa mibigi drimz uliokuwa nayo wewe uliekusanya mtaji kwnye NGO. Waacheni waajiriwe wakiona wananyonywa muwashauri hayo,sio hivi mnavyokwenda wazee "mnaharibu"
Oooh
 
Mimi maoni yangu kuhusu hilo ni kuwa shida ipo pande zote mbili kwa mwajiri na mwajiriwa.

1. Mwajiriwa kama ulivyosema anaweza kulipwa mshahara mnono akajisahau hafanyi mambo ya kimaendeleo yeye ni bata tu. Hajiendelezi pia so no career growth.

2. Waajiri wengi kusema kweli wapo kimaslahi yao. Hakuna kampuni inayofanya shughuli zake ili imnufaishe mfanyakazi bali ni ili imtumie mfanyakazi kujinufaisha (profit making) so management itajitahidi kwa njia yoyote kuhakikisha inamtumia mfanyakazi to the maximum ili kuinufaisha kampuni.

So issues kama za career growth inakuwa sio focus yao. Ni kampuni chache sana tena labda za wageni ndio wanafanya hivyo. Labda ku train na ku develop wafanyakazi n.k

Kwahiyo kiujumla nadhani ni mfanyakazi kujiongeza tu. Kama unapata mshahara mnono na kupandishwa vyeo usikae kiree kuwa mjanja. Jiendeleze zaidi kielimu ili ukue katika career yako.

Pia wekeza katika fursa mbali mbali za kibiashara ili muda wowote litakapotokea lakutokea uwe upande salama. Sio kula bata tu kama vile una guarantee kuwa hiyo kazi utakuwa nayo siku zote.

Pia penda ku seek opportunities sehemu mbalimbali sio kuganda sehemu moja tu unaridhika.

Tatizo kubwa ni sisi tunapenda kuridhika na kubweteka sana.

The future is not certain. Be alert.
Fact Mkuu
 
Mkuu huyu labda anataka mtaji wake aupatie kwenye kazi za saidia fundi au ukonda wa daladala! Ili kusudi baadaye aje kuwa motivational speaker aje adanganye watu kuwa alianza na sh mia tu mfukoni na sasa amefikia hapo alipo!

Watu wengi waliofanikiwa hasa kwa mfumo wetu wa hapa bongo ni wale walioanza na ajira kisha baadaye wakaachana nayo wakajiongeza wakiwa wamepata mtaji wa kutosha! Mtu ashindwe kujiongeza mwenyewe halafu alaumu ajira kweli!
Ila ajira is a big killer of your dream be aware and piga kazi kwa malengo
 
Poleni sana vijana ambao mnamawazo ya kijinga ya kuajiriwa..wasiwasi wangu ni kwamba HAMNA ALIEAJILIWA AKAFA TAJIRI.rabda nje sio bongo.
Mkuu ina maana hauwaoni wazee matajiri waliozeekea kwenye ofisi kubwa za serikali hadi wakaita bilioni vijisenti? Au umesrma kuchangamsha genge?.

Wapo watu ni waajiriwa na wengine watumishi serikalini na ni matajiri tuache kukariri mambo. (Atakuja mtu atasema wameiba [emoji23][emoji23])
 
Mkuu huyu labda anataka mtaji wake aupatie kwenye kazi za saidia fundi au ukonda wa daladala! Ili kusudi baadaye aje kuwa motivational speaker aje adanganye watu kuwa alianza na sh mia tu mfukoni na sasa amefikia hapo alipo!

Watu wengi waliofanikiwa hasa kwa mfumo wetu wa hapa bongo ni wale walioanza na ajira kisha baadaye wakaachana nayo wakajiongeza wakiwa wamepata mtaji wa kutosha! Mtu ashindwe kujiongeza mwenyewe halafu alaumu ajira kweli!
Tuna mindset za tofauti tofauti sana. Halafu kwanza nimeshindwa ku grasp hasa mleta mada ana concept gani kusema kwamba mshahara mnono na kupandishwa vyeo ni dream killers.

Labda anaweza kuja kujibu hapa. Kwangu mimi naona kabisa hivyo vitu kama sio dream ya mtu basi vinaweza kuwa a very good stepping stone towards achieving the so called dream.

Au labda kingine chakuweka sawa ni kuwa labda hajui kuwa kila mtu ana dreams zake. Mwingine ana dream za kuajiriwa maisha yake yote. Mwingine hataki kusikia mambo ya ajira. Mwingine anatumia ajira kama msingi wa kumfanya apate capital ili ajiendeleze na kufanya mambo yake mwenyewe baadae.

I think this is a matter of perspectives. Mleta mada ameangalia hili suala from a very myopic point of view.
 
Back
Top Bottom