Ndoa ni mpango wa Mungu,ingefaa zaidi utushauri vijana namna ya kuishi katika ndoa.Ni Jumatatu njema! Mfungo mwema kwa ndugu Waislamu!.
Vijana mimi huwa nawachora sana! Nawaangalia tokea mbali mno mnavyodanganyana kuwa ukioa muda wowote utakaotaka tendo basi ni kufunua tu sketi na kuchomeka, haya endeleeni kudanganyana.
Aisee 🙌Kataa ndoa, ndoa ni utapeli, ndoa ni urubuni....
Fullstop !
DaaaMkuu Mkulungwa01 umeongea points nzuri Sana,vijana wengi wanaweza kujishaua nawe Ila ndo Ukweli wenyewe.
Ndoa sio kitu Cha kukurupukia.
Umesemaje wewe ? Yaan huko juu umeseleleka safi Ila hapa ndio umetaka kuiba Mali za watu sasa,najihusisha pia na masuala ya ndoa na mahusiano napata na kusuluhisha migogoro mingi ya wake kunyima unyumba kwa waume zao.
Bado atataka mgawane maliNi Jumatatu njema! Mfungo mwema kwa ndugu Waislamu!.
Vijana mimi huwa nawachora sana! Nawaangalia tokea mbali mno mnavyodanganyana kuwa ukioa muda wowote utakaotaka tendo basi ni kufunua tu sketi na kuchomeka, haya endeleeni kudanganyana.
Mimi si mara ya kwanza kunyimwa unyumba kwa sababu ambazo mimi kuziacha siwezi(namkera mno kwa kweli
Mke wangu si feminist. Ni mimi ndiyo huwa nafanya jitihada ili nimkere tu nifurahi. Of course nikiomba radhi huwa ananipa yote ila sitaki tu kuomba. Sababu ni nyingi mbali na hedhi, za mke kutokukupa tendo, mood kutokana na hormones, kuchepuka, kukuumiza, kukukomoa nkHii hata Mimi nimeitafakari Sana ,wife hawezi kuninyima unyumba kwa mwezi mzima yaani hata angenikamata na mchepuko live.
Sijui Ni mke wa namna gani lkn kumuamini mtoa Hoja yahitaji akili itulie. Na labda kapata pure feminist.
Tayari ni mwanaume tena rijali, na ndiyo maana nina mchepuko mkali wa miaka 22Kuwa mwanaume
Sawa nashukuru kwa tusi lako.Ukikosea kuoa huyu mtoa mada utaona anasema ukweli ila ukipatia kuoa utaona kama mtoa mada ni tahira.CHAGUA UPANDE
Hapana soma tenawanaume wa siku hizi ni wadhaifu sana
Hebu muelezeUmemuelewa kweli?
Mh! Mh! Sihitaji matusi tafadhalini, hakuna haja ya kutukanana.Na ndiyo Maana umeseviwa Mbwa na mkeo. Kwa sababu una Akili za kimbwa mbwa plus Kenge kenge. Why mnatu fosi Tuoe
Acheni upumbavu wa kuficha ficha data na kuwadanganya vijana. Wekeni mbivu na mbichi wazi watu wachague.Kusuka au kunyoa.
Ukweli mchungu ni kwamba, ndoa ina raha yake bhana. Kila mtu aliyeko na aliyepitia ndoa ana 'uzoefu' wake.
Vijana kueni makini na ushauri wa mtu mmoja mmoja, utamu wa ngoma ingia ucheze mwenyewe.
Wekeni mbivu na mbichi wazi. Mnapata faida gani mkiwadanganya danganya vijana nyie wazee wapumbavu wa kiafrika?! Kuna gharama gani ya kuongea uhalisia?! Wapi nimesema vijana WASIOE?!Acha kuwatia hofu vijana, unadhani wanawake wote wanafanana na akili za mkeo? Au kwakuwa ndoa yako haina furaha basi unaona ndoa zote zinafanana na yako? Acha vijana waoe, kila mtu na bahati yake.
Soma uzi tena.Katoka nje ya uwanaume wake ndio maana nikamsihi awe mwanaume ajiulize wapi anakosea
Sababu siyo hedhi tu, hedhi ni moja ya sababu nyingi mno za wewe kutokupata tendo. Umeelewa wewe?Sababu yake (aliyo andika) ya kusababisha akose Unyumba ni pale mwanamke anapokuwa kwenye hethi.
Sasa unaweza kujiuliza kama huyu mtu ni full maturead ambaye anaona na hilo ni tatizo?
Hapa hajakutana na changamoto kama kuuguliwa nk?
Angeshauri hata wanaotaka waoe wake wawili (kama wana uwezo) ningemuelewa zaidi lakini sio hizo blaa blaa...
Nazeeka vibaya? Sawa ahsante.Mkulungwa01 ww jamaa anazeeka vibaya na ushauri wako, unataka vijana wasioe wafanyaje???? Kula maisha ndio nini ??? Kulewa??? Na kujidhalilisha kwenye mabaaa????? . Usifananishe ndoa yako na ndoa za watu wengine mazeee! Wake wengine sio kama mke wako
Ndoa hazifanani mzeee wangu ,usidhani kama ndoa yako inachangamoto basi ukajua ni ndoa zote mazeeeee
Sio kweli nakataaaaaa
Vijana oeni acheni uzinifu na michepuko haitawapeleka popote
Sawa ahsanteHapa ndipo ile point inapoingia kuwa oa ukiwa matured kiakili na sio kuwa mkubwa kiumri..
Angali ww mtoa mada umri mkubwa hun akili hata vijana wnye miaka 28 waliokaa miaka 8 kwenye ndoa wanakushinda akili...
Hakika!. Na hao wajinga ni wengi mno kwa trend hii ya ndoa za sasaNi mjinga tu anayeweza kuwaza kwamba kuoa ni guarantee ya kupata tendo, na mwanamke anayekubali kuolewa ajue ndoa inatunzwa na tendo....
Baada ya ndoa, kazi inayofuata ni kujenga mahusiano kwa gharama yatakayosababisha mwanamke kufurahia tendo, na mwanaume kupata tendo.