Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #21
Sijui, alikuwa anakaa Upanga, alianza na.punga kabla hajawa boflo. Punga ilipigwa life ban.Halafu kweli, boflo alikuaga mtu wako wa karibu yupo wapi siku hizi
Yupo busy kalalia godoro la kaka muarabu linalota usingizi wa wiki nzima huku akiwa kapiga tight yake aliyopewa na kaka muarabu.UZI HUU BILA COMENT YA VICTIM AMA KAKAMUARABU NI UBATILI
We jamaa mbona unaleta utataYule sharobaro kapiga picha juzi pale Manchester aise naona vijana wengi wanatamani kuwa kama yeye, hata muziki siku hizi haimbi tena
HadharaniDawa ilikuwa kupigwa Shaba
Kwa hiyo jamaa anapiga hela za Forex na kina ONTARIO?We jamaa mbona unaleta utata
😂😂😂Kwa hiyo jamaa anapiga hela za Forex na kina ONTARIO?
Siyo mwanetu ni mwanao 🤣🤣🤣View attachment 2374087
Huyo kulia mwanenu
Kuna picha kavalishwa pajama za kinamama kabisa anatangaza vyumba vya palm villageYule sharobaro kapiga picha juzi pale Manchester aise naona vijana wengi wanatamani kuwa kama yeye, hata muziki siku hizi haimbi tena
Dah!!!kwahiyo simba nyanaume umekula sana mpunga wa boflo sio?Sijui, alikuwa anakaa Upanga, alianza na.punga kabla hajawa boflo. Punga ilipigwa life ban.
Vijana wa leo kwa ile mikwara ya Boflo wangemkanyaga sana. Akiomba namba ya simu ukimpa tu, anakurushia laki, akiomba mkutane anakurushie laki nyingine ya taxi
Nakusihi sana kijana, maisha magumu na ugumu wa maisha hauishi kwa kufanya ushoga. Fanya kazi halali, dunduliza, jibane nawe utafanikiwa[emoji1545][emoji1752]Dunia iko kwenye kipindi cha ajabu sana kuwahi kutokea, kuna campaign kubwa sana ya kuhamasisha ushoga na kuwashawishi vijana waingie kwenye mapenzi ya jinsia moja wakidanganywa kwamba maisha yao yata rahisishwa na yatakuwa ya kifahari yaliyogubikwa na utajiri uliopitiliza.
Kuna mashoga kadhaa wamekuwa wakitumika kama kioo cha kuwahadaa vijana wengi, muongoni mwa mashoga hao ni kijana mmoja ambaye anainekana akiivinjari dunia akila raha za kila aina.
Vijana nawaonya, ushoga una majuto makubwa, matarajio makubwa mapato kidogo, stress, kujidhalilisha na kudhalilishwa.
Ushoga unafungua mlango wa laana na mauti, mshahara wa dhambi no mauti.
Pia ukifanya dhambi ya ushoga nakuhakikishia utakuwa umeukaribisha ushoga kwenye uzao wako.
Utazaa watoto mashoga na utapata wajukuu mashoga. Dhambi ina utamaduni wa kurithi vizazi na vizazi.
Pia dhambi ya ushoga hufunga milango yako ya baraka. Biashara zako hazitakuwa na mafanikio, hazitaweza kujiendesha zenyewe. Hela ya biashara utaitafuta huko kwingine na usoni utazuga una furaha lakini moyo wako unayiririka damu.
Nakusihi sana kijana, maisha magumu na ugumu wa maisha hauishi kwa kufanya ushoga. Fanya kazi halali, dunduliza, jibane nawe utafanikiwa
Eminem huyu mwamba wa hip hop?Martin, Paul, Ommy, Mtimkavu, Noel n.k
Elton John, Sisqo, Yule mshikaji wa prison break, Eminem n.k
Dudu alisema wabongo fleva wengi ni jinsia ya 3, kuna ukweli?
Hadharani
Eminem!! [emoji15]Martin, Paul, Ommy, Mtimkavu, Noel n.k
Elton John, Sisqo, Yule mshikaji wa prison break, Eminem n.k
Dudu alisema wabongo fleva wengi ni jinsia ya 3, kuna ukweli?