Vijana msidanganywe na maisha ya mtandaoni ya mashoga, hawana utajiri wanaouonyesha

Vijana msidanganywe na maisha ya mtandaoni ya mashoga, hawana utajiri wanaouonyesha

Halafu kweli, boflo alikuaga mtu wako wa karibu yupo wapi siku hizi
Sijui, alikuwa anakaa Upanga, alianza na.punga kabla hajawa boflo. Punga ilipigwa life ban.

Vijana wa leo kwa ile mikwara ya Boflo wangemkanyaga sana. Akiomba namba ya simu ukimpa tu, anakurushia laki, akiomba mkutane anakurushie laki nyingine ya taxi
 
Kipind fulani nikiwa hapa dar mtaa fulani wa uswazi ,palikufa jamaa akasemekana ni punga alikuwa nakaa karibu na ninapokaa aisee alikufa walichelewa kumzima ile maiti ilipokuja kutolewa ilikuwa inanuka kinoma wamepulizia madaw mpaka basi
 
14052737_1255509277795016_1735060407_n.jpg

Huyo kulia mwanenu
 
Sijui, alikuwa anakaa Upanga, alianza na.punga kabla hajawa boflo. Punga ilipigwa life ban.

Vijana wa leo kwa ile mikwara ya Boflo wangemkanyaga sana. Akiomba namba ya simu ukimpa tu, anakurushia laki, akiomba mkutane anakurushie laki nyingine ya taxi
Dah!!!kwahiyo simba nyanaume umekula sana mpunga wa boflo sio?
 
Dunia iko kwenye kipindi cha ajabu sana kuwahi kutokea, kuna campaign kubwa sana ya kuhamasisha ushoga na kuwashawishi vijana waingie kwenye mapenzi ya jinsia moja wakidanganywa kwamba maisha yao yata rahisishwa na yatakuwa ya kifahari yaliyogubikwa na utajiri uliopitiliza.

Kuna mashoga kadhaa wamekuwa wakitumika kama kioo cha kuwahadaa vijana wengi, muongoni mwa mashoga hao ni kijana mmoja ambaye anainekana akiivinjari dunia akila raha za kila aina.

Vijana nawaonya, ushoga una majuto makubwa, matarajio makubwa mapato kidogo, stress, kujidhalilisha na kudhalilishwa.

Ushoga unafungua mlango wa laana na mauti, mshahara wa dhambi no mauti.

Pia ukifanya dhambi ya ushoga nakuhakikishia utakuwa umeukaribisha ushoga kwenye uzao wako.

Utazaa watoto mashoga na utapata wajukuu mashoga. Dhambi ina utamaduni wa kurithi vizazi na vizazi.

Pia dhambi ya ushoga hufunga milango yako ya baraka. Biashara zako hazitakuwa na mafanikio, hazitaweza kujiendesha zenyewe. Hela ya biashara utaitafuta huko kwingine na usoni utazuga una furaha lakini moyo wako unayiririka damu.

Nakusihi sana kijana, maisha magumu na ugumu wa maisha hauishi kwa kufanya ushoga. Fanya kazi halali, dunduliza, jibane nawe utafanikiwa
Nakusihi sana kijana, maisha magumu na ugumu wa maisha hauishi kwa kufanya ushoga. Fanya kazi halali, dunduliza, jibane nawe utafanikiwa[emoji1545][emoji1752]
 
Pambana na hali yako acha kutishia watu, wewe kama ni shoga utakuwa shoga tuu na kama sio shoga hautakuwa shoga , mafanikio hayana uhusiano wowote wa kuwa shoga au laa, good chance hiyo computer unayotumia ni apple na CEO wa apple ni shoga ambaye ni one of the best in business na ni millionaire (successful), mabilioneo wengi wa Hollywood ni mashoga ,wall street & Washington ambako ndio mnaomba ruzuku kulipa mishahara yenu ni mashoga watupu,halafu watu wa dini ndio mmejaza mashoga huko makanisani na mna kesi kila kona ya ulawiti, huko misikitini nasikia waarabu wote wana boyfriends, wanaume na wanawake wengi bila kuingiliana huko nyuma ni kama hawajafanya tendo la ndoa, acheni unafiki nyie, mimi sio shoga lakini nitawatetea mashoga kutokana na wanafiki kama nyie mnaojiona watu safi kumbe dhambi tupu
 
  • Media zilizopo sasa nyingi zimeajiri mashoga na wana promote sana hiyo hali
  • Wanamuziki wa kizazi kipya ni kichocheo kizuri, wanaishi na kufanya kazi na mashoga
  • social media, sasa hii ndio baba lao. mashoga maarufu wana page zao na zinawafuasi wengi mno
  • sherehe nyingi za wanawake wa mjini ilizipendeze lazima zina mashoga
NJIA ZOTE HIZI NI KUWAANDA KIAKILI KUA USHOGA NI BARAKA KAMA BARAKA ZINGINE TU.
Miaka 7-10 ijayo, hali ya ushoga tanzania itakubarika na itaonekana ni kawaida tu. wataweza kuwa na vyama vya siasa, makanisa yenye kupigania jinsia yao hiyo. Kwa sasa wako, na wanapokea uzoefu kupitia chama hiki kilichopo.
 
Back
Top Bottom