Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Umebakiza akili za kuvukia barabara tuDawa ilikuwa kupigwa Shaba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umebakiza akili za kuvukia barabara tuDawa ilikuwa kupigwa Shaba
diploma yangu ya cuba imenisaidia kuulewa huu uzi haraka.Dunia iko kwenye kipindi cha ajabu sana kuwahi kutokea, kuna campaign kubwa sana ya kuhamasisha ushoga na kuwashawishi vijana waingie kwenye mapenzi ya jinsia moja wakidanganywa kwamba maisha yao yata rahisishwa na yatakuwa ya kifahari yaliyogubikwa na utajiri uliopitiliza.
Kuna mashoga kadhaa wamekuwa wakitumika kama kioo cha kuwahadaa vijana wengi, muongoni mwa mashoga hao ni kijana mmoja ambaye anainekana akiivinjari dunia akila raha za kila aina.
Vijana nawaonya, ushoga una majuto makubwa, matarajio makubwa mapato kidogo, stress, kujidhalilisha na kudhalilishwa.
Ushoga unafungua mlango wa laana na mauti, mshahara wa dhambi no mauti.
Pia ukifanya dhambi ya ushoga nakuhakikishia utakuwa umeukaribisha ushoga kwenye uzao wako.
Utazaa watoto mashoga na utapata wajukuu mashoga. Dhambi ina utamaduni wa kurithi vizazi na vizazi.
Pia dhambi ya ushoga hufunga milango yako ya baraka. Biashara zako hazitakuwa na mafanikio, hazitaweza kujiendesha zenyewe. Hela ya biashara utaitafuta huko kwingine na usoni utazuga una furaha lakini moyo wako unayiririka damu.
Nakusihi sana kijana, maisha magumu na ugumu wa maisha hauishi kwa kufanya ushoga. Fanya kazi halali, dunduliza, jibane nawe utafanikiwa
Wenye Dini yao huko Vatican wamesema waachwe kwani wote ni watoto wa Mungu ila nyie Wamatumbi mnajifanya mna hasira sana na hamjui kua wanafungishwa na ndoa huko?NJIA ZOTE HIZI NI KUWAANDA KIAKILI KUA USHOGA NI BARAKA KAMA BARAKA ZINGINE TU.
- Media zilizopo sasa nyingi zimeajiri mashoga na wana promote sana hiyo hali
- Wanamuziki wa kizazi kipya ni kichocheo kizuri, wanaishi na kufanya kazi na mashoga
- social media, sasa hii ndio baba lao. mashoga maarufu wana page zao na zinawafuasi wengi mno
- sherehe nyingi za wanawake wa mjini ilizipendeze lazima zina mashoga
Miaka 7-10 ijayo, hali ya ushoga tanzania itakubarika na itaonekana ni kawaida tu. wataweza kuwa na vyama vya siasa, makanisa yenye kupigania jinsia yao hiyo. Kwa sasa wako, na wanapokea uzoefu kupitia chama hiki kilichopo.
Eminem!! [emoji15]
www.wionews.com
Cubing Diplomadiploma yangu ya cuba imenisaidia kuulewa huu uzi harakaka.
Umebakiza akili za kuvukia barabara tu
Kwa hiyo tusikemee ushoga? Unaonaje mwanao wa kiume akiwa shoga, naye awe na boyfriend wakePambana na hali yako acha kutishia watu, wewe kama ni shoga utakuwa shoga tuu na kama sio shoga hautakuwa shoga , mafanikio hayana uhusiano wowote wa kuwa shoga au laa, good chance hiyo computer unayotumia ni apple na CEO wa apple ni shoga ambaye ni one of the best in business na ni millionaire (successful), mabilioneo wengi wa Hollywood ni mashoga ,wall street & Washington ambako ndio mnaomba ruzuku kulipa mishahara yenu ni mashoga watupu,halafu watu wa dini ndio mmejaza mashoga huko makanisani na mna kesi kila kona ya ulawiti, huko misikitini nasikia waarabu wote wana boyfriends, wanaume na wanawake wengi bila kuingiliana huko nyuma ni kama hawajafanya tendo la ndoa, acheni unafiki nyie, mimi sio shoga lakini nitawatetea mashoga kutokana na wanafiki kama nyie mnaojiona watu safi kumbe dhambi tupu
Well saidHakuna Baba mwenye uchungu na mwanaye akiwa shoga akipigwa shaba
Anatumia app ya mashoga, grinder kukutana na marafiki wapya.Eminem huyu mwamba wa hip hop?
www.wionews.com
hali ya ushoga tanzania itakubarika na itaonekana ni kawaida tu. wataweza kuwa na vyama vya siasa, makanisa yenye kupigania jinsia yao hiyo.Wenye Dini yao huko Vatican wamesema waachwe kwani wote ni watoto wa Mungu ila nyie Wamatumbi mnajifanya mna hasira sana na hamjui kua wanafungishwa na ndoa huko?
That is why I give this advice: any couple that wants to meet together or have sexual intercourse, whether they want a baby or not, they should cover themselves with the blood of Jesus Christ and sanctify the bed with the power of the Holy Ghost. This would keep you from producing demons into this world. This explains why there are children that do not resemble the father and mother in many Christian homes. These children act so strange and behave differently from the whole family. This is because the parents did not know that there were some unseen spirit programming against their intercourse when they were meeting together. My prayer is that every one of you that has been in this kind of condition or has such a person in their family, that the Lord that touched and changed my life will also touch and change their lives. And if the ones born into their family are demon re-incarnate, may the Lord should uproot and remove them from that family in the mighty name of Jesus Christ.
Mashoga wapo tangu enzi na enzi. Hata mimi nakubali kuwa kuna binadamu wamezaliwa na hitilafu hivyo ushoga kwao ni kama only option. Kinachogomba na kukatisha tamaa ni kuona ushoga sasa hivi unapigiwa debe na kuhimiza watu wawe mashoga. Kwangu mimi ushoga ni ulemavu kama ulivyo ulimavu wowote. Wanasayansi walitakiwa kuwekeza nguvu kwenye kuona namna ya kutatua hili tatizo na siyo kuli-promote. Sisemi wauawe bali nasema tuwe active kwenye kutafuta tiba yake na siyo kama sasa hivi unakuta maandamano yakishirikisha mpaka watoto wadogo eti waukubali ushoga.Wenye Dini yao huko Vatican wamesema waachwe kwani wote ni watoto wa Mungu ila nyie Wamatumbi mnajifanya mna hasira sana na hamjui kua wanafungishwa na ndoa huko?
Umeanza vizuri, umemaliza vbaya. Hakuna sababu yoyote ya kutetea ushoga. Hakuna excuse.!Pambana na hali yako acha kutishia watu, wewe kama ni shoga utakuwa shoga tuu na kama sio shoga hautakuwa shoga , mafanikio hayana uhusiano wowote wa kuwa shoga au laa, good chance hiyo computer unayotumia ni apple na CEO wa apple ni shoga ambaye ni one of the best in business na ni millionaire (successful), mabilioneo wengi wa Hollywood ni mashoga ,wall street & Washington ambako ndio mnaomba ruzuku kulipa mishahara yenu ni mashoga watupu,halafu watu wa dini ndio mmejaza mashoga huko makanisani na mna kesi kila kona ya ulawiti, huko misikitini nasikia waarabu wote wana boyfriends, wanaume na wanawake wengi bila kuingiliana huko nyuma ni kama hawajafanya tendo la ndoa, acheni unafiki nyie, mimi sio shoga lakini nitawatetea mashoga kutokana na wanafiki kama nyie mnaojiona watu safi kumbe dhambi tupu
Heee kwani muke ya mutu!!Yule sharobaro kapiga picha juzi pale Manchester aise naona vijana wengi wanatamani kuwa kama yeye, hata muziki siku hizi haimbi tena
Hadi Eminem ni choko pia?!Martin, Paul, Ommy, Mtimkavu, Noel n.k
Elton John, Sisqo, Yule mshikaji wa prison break, Eminem n.k
Dudu alisema wabongo fleva wengi ni jinsia ya 3, kuna ukweli?
Martin, Paul, Ommy, Mtimkavu, Noel n.k
Elton John, Sisqo, Yule mshikaji wa prison break, Eminem n.k
Dudu alisema wabongo fleva wengi ni jinsia ya 3, kuna ukweli?
Sio kila kinachoandikwa ni chakukipokea.![]()
Wait, did Eminem just confirm he is gay?
www.wionews.com
Sawa, wote ni wa kuwakemea.. famous na rich kuwa mashoga hawahalalishi ushogaMnadhani gays wote ni wale wa magomeni poleni. Matter of fact watu wengi famous and rich wanajihusisha directly