Vijana msidanganywe na maisha ya mtandaoni ya mashoga, hawana utajiri wanaouonyesha

Vijana msidanganywe na maisha ya mtandaoni ya mashoga, hawana utajiri wanaouonyesha

Dunia iko kwenye kipindi cha ajabu sana kuwahi kutokea, kuna campaign kubwa sana ya kuhamasisha ushoga na kuwashawishi vijana waingie kwenye mapenzi ya jinsia moja wakidanganywa kwamba maisha yao yata rahisishwa na yatakuwa ya kifahari yaliyogubikwa na utajiri uliopitiliza.

Kuna mashoga kadhaa wamekuwa wakitumika kama kioo cha kuwahadaa vijana wengi, muongoni mwa mashoga hao ni kijana mmoja ambaye anainekana akiivinjari dunia akila raha za kila aina.

Vijana nawaonya, ushoga una majuto makubwa, matarajio makubwa mapato kidogo, stress, kujidhalilisha na kudhalilishwa.

Ushoga unafungua mlango wa laana na mauti, mshahara wa dhambi no mauti.

Pia ukifanya dhambi ya ushoga nakuhakikishia utakuwa umeukaribisha ushoga kwenye uzao wako.

Utazaa watoto mashoga na utapata wajukuu mashoga. Dhambi ina utamaduni wa kurithi vizazi na vizazi.

Pia dhambi ya ushoga hufunga milango yako ya baraka. Biashara zako hazitakuwa na mafanikio, hazitaweza kujiendesha zenyewe. Hela ya biashara utaitafuta huko kwingine na usoni utazuga una furaha lakini moyo wako unayiririka damu.

Nakusihi sana kijana, maisha magumu na ugumu wa maisha hauishi kwa kufanya ushoga. Fanya kazi halali, dunduliza, jibane nawe utafanikiwa
diploma yangu ya cuba imenisaidia kuulewa huu uzi haraka.
 
  • Media zilizopo sasa nyingi zimeajiri mashoga na wana promote sana hiyo hali
  • Wanamuziki wa kizazi kipya ni kichocheo kizuri, wanaishi na kufanya kazi na mashoga
  • social media, sasa hii ndio baba lao. mashoga maarufu wana page zao na zinawafuasi wengi mno
  • sherehe nyingi za wanawake wa mjini ilizipendeze lazima zina mashoga
NJIA ZOTE HIZI NI KUWAANDA KIAKILI KUA USHOGA NI BARAKA KAMA BARAKA ZINGINE TU.
Miaka 7-10 ijayo, hali ya ushoga tanzania itakubarika na itaonekana ni kawaida tu. wataweza kuwa na vyama vya siasa, makanisa yenye kupigania jinsia yao hiyo. Kwa sasa wako, na wanapokea uzoefu kupitia chama hiki kilichopo.
Wenye Dini yao huko Vatican wamesema waachwe kwani wote ni watoto wa Mungu ila nyie Wamatumbi mnajifanya mna hasira sana na hamjui kua wanafungishwa na ndoa huko?
 
Pambana na hali yako acha kutishia watu, wewe kama ni shoga utakuwa shoga tuu na kama sio shoga hautakuwa shoga , mafanikio hayana uhusiano wowote wa kuwa shoga au laa, good chance hiyo computer unayotumia ni apple na CEO wa apple ni shoga ambaye ni one of the best in business na ni millionaire (successful), mabilioneo wengi wa Hollywood ni mashoga ,wall street & Washington ambako ndio mnaomba ruzuku kulipa mishahara yenu ni mashoga watupu,halafu watu wa dini ndio mmejaza mashoga huko makanisani na mna kesi kila kona ya ulawiti, huko misikitini nasikia waarabu wote wana boyfriends, wanaume na wanawake wengi bila kuingiliana huko nyuma ni kama hawajafanya tendo la ndoa, acheni unafiki nyie, mimi sio shoga lakini nitawatetea mashoga kutokana na wanafiki kama nyie mnaojiona watu safi kumbe dhambi tupu
Kwa hiyo tusikemee ushoga? Unaonaje mwanao wa kiume akiwa shoga, naye awe na boyfriend wake
 
That is why I give this advice: any couple that wants to meet together or have sexual intercourse, whether they want a baby or not, they should cover themselves with the blood of Jesus Christ and sanctify the bed with the power of the Holy Ghost. This would keep you from producing demons into this world. This explains why there are children that do not resemble the father and mother in many Christian homes. These children act so strange and behave differently from the whole family. This is because the parents did not know that there were some unseen spirit programming against their intercourse when they were meeting together. My prayer is that every one of you that has been in this kind of condition or has such a person in their family, that the Lord that touched and changed my life will also touch and change their lives. And if the ones born into their family are demon re-incarnate, may the Lord should uproot and remove them from that family in the mighty name of Jesus Christ.

 
Wenye Dini yao huko Vatican wamesema waachwe kwani wote ni watoto wa Mungu ila nyie Wamatumbi mnajifanya mna hasira sana na hamjui kua wanafungishwa na ndoa huko?
hali ya ushoga tanzania itakubarika na itaonekana ni kawaida tu. wataweza kuwa na vyama vya siasa, makanisa yenye kupigania jinsia yao hiyo.
 
That is why I give this advice: any couple that wants to meet together or have sexual intercourse, whether they want a baby or not, they should cover themselves with the blood of Jesus Christ and sanctify the bed with the power of the Holy Ghost. This would keep you from producing demons into this world. This explains why there are children that do not resemble the father and mother in many Christian homes. These children act so strange and behave differently from the whole family. This is because the parents did not know that there were some unseen spirit programming against their intercourse when they were meeting together. My prayer is that every one of you that has been in this kind of condition or has such a person in their family, that the Lord that touched and changed my life will also touch and change their lives. And if the ones born into their family are demon re-incarnate, may the Lord should uproot and remove them from that family in the mighty name of Jesus Christ.

Tatizo linakuja pale mzazi mmoja anapoona tabia ya Mtoto haifai lakini anamtetea mtoto Kwa kigezo cha upendo wa kipuuzi.

Yesu alikuja kukomboa watu wenye utayari.
Sheria ipo Kwa ajili ya kuwafanya waliotayari au wasiotayari wote wafanya Mema.
Ndio maana nikasema wapigwe Shaba.
Sheria za Dini zote zinaeleza hivyo.

Hata tamaduni za kiafrika zilikuwa hivyo
 
Wenye Dini yao huko Vatican wamesema waachwe kwani wote ni watoto wa Mungu ila nyie Wamatumbi mnajifanya mna hasira sana na hamjui kua wanafungishwa na ndoa huko?
Mashoga wapo tangu enzi na enzi. Hata mimi nakubali kuwa kuna binadamu wamezaliwa na hitilafu hivyo ushoga kwao ni kama only option. Kinachogomba na kukatisha tamaa ni kuona ushoga sasa hivi unapigiwa debe na kuhimiza watu wawe mashoga. Kwangu mimi ushoga ni ulemavu kama ulivyo ulimavu wowote. Wanasayansi walitakiwa kuwekeza nguvu kwenye kuona namna ya kutatua hili tatizo na siyo kuli-promote. Sisemi wauawe bali nasema tuwe active kwenye kutafuta tiba yake na siyo kama sasa hivi unakuta maandamano yakishirikisha mpaka watoto wadogo eti waukubali ushoga.
 
Pambana na hali yako acha kutishia watu, wewe kama ni shoga utakuwa shoga tuu na kama sio shoga hautakuwa shoga , mafanikio hayana uhusiano wowote wa kuwa shoga au laa, good chance hiyo computer unayotumia ni apple na CEO wa apple ni shoga ambaye ni one of the best in business na ni millionaire (successful), mabilioneo wengi wa Hollywood ni mashoga ,wall street & Washington ambako ndio mnaomba ruzuku kulipa mishahara yenu ni mashoga watupu,halafu watu wa dini ndio mmejaza mashoga huko makanisani na mna kesi kila kona ya ulawiti, huko misikitini nasikia waarabu wote wana boyfriends, wanaume na wanawake wengi bila kuingiliana huko nyuma ni kama hawajafanya tendo la ndoa, acheni unafiki nyie, mimi sio shoga lakini nitawatetea mashoga kutokana na wanafiki kama nyie mnaojiona watu safi kumbe dhambi tupu
Umeanza vizuri, umemaliza vbaya. Hakuna sababu yoyote ya kutetea ushoga. Hakuna excuse.!
 
Back
Top Bottom