Vijana msidanganywe na maisha ya mtandaoni ya mashoga, hawana utajiri wanaouonyesha

Vijana msidanganywe na maisha ya mtandaoni ya mashoga, hawana utajiri wanaouonyesha

Pambana na hali yako acha kutishia watu, wewe kama ni shoga utakuwa shoga tuu na kama sio shoga hautakuwa shoga , mafanikio hayana uhusiano wowote wa kuwa shoga au laa, good chance hiyo computer unayotumia ni apple na CEO wa apple ni shoga ambaye ni one of the best in business na ni millionaire (successful), mabilioneo wengi wa Hollywood ni mashoga ,wall street & Washington ambako ndio mnaomba ruzuku kulipa mishahara yenu ni mashoga watupu,halafu watu wa dini ndio mmejaza mashoga huko makanisani na mna kesi kila kona ya ulawiti, huko misikitini nasikia waarabu wote wana boyfriends, wanaume na wanawake wengi bila kuingiliana huko nyuma ni kama hawajafanya tendo la ndoa, acheni unafiki nyie, mimi sio shoga lakini nitawatetea mashoga kutokana na wanafiki kama nyie mnaojiona watu safi kumbe dhambi tupu
Ona hili shoga linatetea uchafu, usikute liliharibiwa kwenye Sunday school
 
Wenye Dini yao huko Vatican wamesema waachwe kwani wote ni watoto wa Mungu ila nyie Wamatumbi mnajifanya mna hasira sana na hamjui kua wanafungishwa na ndoa huko?
exactly, kwenye dini ya hao wenzetu huo uchafu kwao Ni ruksa,siunaona hata yule padri Chuo alikuwa anajipigia watoto wa waumini,na wenyewe walivyo matahila ya akili yakawa yanamtetea eti kulinda hadhi ya imani yao
 
Elimu itolewe,kama athari za misuli kulegea zinatokea,walajib Na waliwaji,wapewe elimu,ili waache toka moyoni.
 
Kuna ushoga wa kuzaliwa na ushoga wa kujifunza. Siyo mashoga wote wamejifunza, kuna wanaozaliwa na hali ile. Umeshasikia au hata kuona watu wanaoonekana ni wanawake kabisa lakini wanakuwa na ''kajinsia'' ka kiume?
Hakuna ushoga wa kuzaliwa. Kuna mwanaume na mwanamke ikitokea ukazaliwa na jinsia mbili kibiolojia hiyo ndo itilafu ila si ushoga. Na hurekebishwa kwa operation maalum kitabibu kwa kupima gender ambayo ipo active.

HAKUNA UUMBAJI NDANI YA TUMBO LA MWANAMKE ULITENGENEZA BINADAMU AMBAYE ATAFANYA NGONO KUPITIA AJA KUBWA, HATA WANYAMA HAWANA. KWAMBA MTU ALIZALIWA AKIWA NA UUME ILA KIASILI NJIA YA HAJA KUBWA NDO INATAKIWA ITUMIKE KATIKA NGONO? HAPANA HAKUNA.
 
Hakuna ushoga wa kuzaliwa. Kuna mwanaume na mwanamke ikitokea ukazaliwa na jinsia mbili kibiolojia hiyo ndo itilafu ila si ushoga. Na hurekebishwa kwa operation maalum kitabibu kwa kupima gender ambayo ipo active.

HAKUNA UUMBAJI NDANI YA TUMBO LA MWANAMKE ULITENGENEZA BINADAMU AMBAYE ATAFANYA NGONO KUPITIA AJA KUBWA, HATA WANYAMA HAWANA. KWAMBA MTU ALIZALIWA AKIWA NA UUME ILA KIASILI NJIA YA HAJA KUBWA NDO INATAKIWA ITUMIKE KATIKA NGONO? HAPANA HAKUNA.
Huna ufahamu wa haya mambo kwa hiyo bora ukae kimya. Kuna watu wanazaliwa na hormones za jinsia tofauti na miili yao. Unakuta mtu ni mwanamke kimwili lakini ni kihisia ni mwanaume. Hili lipo kitaalama na siyo jambo la kubishana.
 
Pambana na hali yako acha kutishia watu, wewe kama ni shoga utakuwa shoga tuu na kama sio shoga hautakuwa shoga , mafanikio hayana uhusiano wowote wa kuwa shoga au laa, good chance hiyo computer unayotumia ni apple na CEO wa apple ni shoga ambaye ni one of the best in business na ni millionaire (successful), mabilioneo wengi wa Hollywood ni mashoga ,wall street & Washington ambako ndio mnaomba ruzuku kulipa mishahara yenu ni mashoga watupu,halafu watu wa dini ndio mmejaza mashoga huko makanisani na mna kesi kila kona ya ulawiti, huko misikitini nasikia waarabu wote wana boyfriends, wanaume na wanawake wengi bila kuingiliana huko nyuma ni kama hawajafanya tendo la ndoa, acheni unafiki nyie, mimi sio shoga lakini nitawatetea mashoga kutokana na wanafiki kama nyie mnaojiona watu safi kumbe dhambi tupu
Mbona hata majibu yako hapo juu yanaonyesha wewe sio shoga

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Dunia iko kwenye kipindi cha ajabu sana kuwahi kutokea, kuna campaign kubwa sana ya kuhamasisha ushoga na kuwashawishi vijana waingie kwenye mapenzi ya jinsia moja wakidanganywa kwamba maisha yao yata rahisishwa na yatakuwa ya kifahari yaliyogubikwa na utajiri uliopitiliza.

Kuna mashoga kadhaa wamekuwa wakitumika kama kioo cha kuwahadaa vijana wengi, muongoni mwa mashoga hao ni kijana mmoja ambaye anainekana akiivinjari dunia akila raha za kila aina.

Vijana nawaonya, ushoga una majuto makubwa, matarajio makubwa mapato kidogo, stress, kujidhalilisha na kudhalilishwa.

Ushoga unafungua mlango wa laana na mauti, mshahara wa dhambi no mauti.

Pia ukifanya dhambi ya ushoga nakuhakikishia utakuwa umeukaribisha ushoga kwenye uzao wako.

Utazaa watoto mashoga na utapata wajukuu mashoga. Dhambi ina utamaduni wa kurithi vizazi na vizazi.

Pia dhambi ya ushoga hufunga milango yako ya baraka. Biashara zako hazitakuwa na mafanikio, hazitaweza kujiendesha zenyewe. Hela ya biashara utaitafuta huko kwingine na usoni utazuga una furaha lakini moyo wako unayiririka damu.

Nakusihi sana kijana, maisha magumu na ugumu wa maisha hauishi kwa kufanya ushoga. Fanya kazi halali, dunduliza, jibane nawe utafanikiwa
Whenever i see your posts.... namkumbuka GiLEsi mwenye wowowo la kutikisika hadi kumshinda control...

Allah aturehemu.
 
Back
Top Bottom