Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #101
Acha kashfa mkuu, MINOCYCLINE hana tabia hizo.Kabadilisha ID,anajiita MINOCYCLINE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kashfa mkuu, MINOCYCLINE hana tabia hizo.Kabadilisha ID,anajiita MINOCYCLINE
Wameanza kutumia nebo ya [emoji304] kama kueneza ushoga bidhaa nyingi iyo nebo imepachikwa mtahadhalishe vijana wasio kua na kazi na elimu wa epuke hiyo mitego
Dhambi haikomeshwi kwa risasi vinginevyo majambazi yangeisha kitamboDawa ilikuwa kupigwa Shaba
Speaking of hormones, hebu nitajie hormone moja (na mechanism yake) inayochochea anus ya shoga kutamani kubanguliwa.Huna ufahamu wa haya mambo kwa hiyo bora ukae kimya. Kuna watu wanazaliwa na hormones za jinsia tofauti na miili yao. Unakuta mtu ni mwanamke kimwili lakini ni kihisia ni mwanaume. Hili lipo kitaalama na siyo jambo la kubishana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dunia iko kwenye kipindi cha ajabu sana kuwahi kutokea, kuna campaign kubwa sana ya kuhamasisha ushoga na kuwashawishi vijana waingie kwenye mapenzi ya jinsia moja wakidanganywa kwamba maisha yao yata rahisishwa na yatakuwa ya kifahari yaliyogubikwa na utajiri uliopitiliza.
Kuna mashoga kadhaa wamekuwa wakitumika kama kioo cha kuwahadaa vijana wengi, muongoni mwa mashoga hao ni kijana mmoja ambaye anainekana akiivinjari dunia akila raha za kila aina.
Vijana nawaonya, ushoga una majuto makubwa, matarajio makubwa mapato kidogo, stress, kujidhalilisha na kudhalilishwa.
Ushoga unafungua mlango wa laana na mauti, mshahara wa dhambi no mauti.
Pia ukifanya dhambi ya ushoga nakuhakikishia utakuwa umeukaribisha ushoga kwenye uzao wako.
Utazaa watoto mashoga na utapata wajukuu mashoga. Dhambi ina utamaduni wa kurithi vizazi na vizazi.
Pia dhambi ya ushoga hufunga milango yako ya baraka. Biashara zako hazitakuwa na mafanikio, hazitaweza kujiendesha zenyewe. Hela ya biashara utaitafuta huko kwingine na usoni utazuga una furaha lakini moyo wako unayiririka damu.
Nakusihi sana kijana, maisha magumu na ugumu wa maisha hauishi kwa kufanya ushoga. Fanya kazi halali, dunduliza, jibane nawe utafanikiwa
"Ushoga hauna dini boss. Akifanya muislam au mkristo ni nje ya taratibu za imani zote mbili."Sasa Hilo shoga linakuambia msikitini warabu wanafirana,wakati hizo kashfa zipo Sana kwa mapadri na waumini wao
Acha udini haukusaidii, ulikuja na hoja hizi kwenye ule uzi wa mambo kumi kuhusu Zanzibar, ukapewa facts na waliopo huko ukawa mpole. Kwa sasa umeibukia huku na hoja zile zile.Sasa Hilo shoga linakuambia msikitini warabu wanafirana,wakati hizo kashfa zipo Sana kwa mapadri na waumini wao
Eminem nakataaaMartin, Paul, Ommy, Mtimkavu, Noel n.k
Elton John, Sisqo, Yule mshikaji wa prison break, Eminem n.k
Dudu alisema wabongo fleva wengi ni jinsia ya 3, kuna ukweli?
Kuna clip niliona anahojiwa, alianza kwa kuzunguka kisha akasema wazi!Eminem nakataaa
Mtoe Eminem na sisqo kwahio list ,Martin, Paul, Ommy, Mtimkavu, Noel n.k
Elton John, Sisqo, Yule mshikaji wa prison break, Eminem n.k
Dudu alisema wabongo fleva wengi ni jinsia ya 3, kuna ukweli?
Em ilikua prank anafanya kwa kipind cha television wamba wakajaaEminem nakataaa
Sisqo alisema, hakuna starehe hajafanya duniani! FuatiliaMtoe Eminem na sisqo kwahio list ,
Denis Rodman ndio mwenye huo msemo sisqo aliachana na game ya mzik sababu ya huo ushetani saiv yuko zake tu familia yakeSisqo alisema, hakuna starehe hajafanya duniani! Fuatilia
Kaka Mualabu alivyombadilisha jinsia VictimNdo nani huyo?
Dhambi haikomeshwi kwa risasi vinginevyo majambazi yangeisha kitambo
Sio Mimi mkuu niliyeleta huo uzi wa mambo 10 ya znzAcha udini haukusaidii, ulikuja na hoja hizi kwenye ule uzi wa mambo kumi kuhusu Zanzibar, ukapewa facts na waliopo huko ukawa mpole. Kwa sasa umeibukia huku na hoja zile zile.
Uko sahihi sana, ni RodmanDenis Rodman ndio mwenye huo msemo sisqo aliachana na game ya mzik sababu ya huo ushetani saiv yuko zake tu familia yake
[emoji23][emoji23] dahh iyo siyo poa mkuu kwa hali ilivyo watu wanavyopenda mtelezo angewapata wengi sanaSijui, alikuwa anakaa Upanga, alianza na.punga kabla hajawa boflo. Punga ilipigwa life ban.
Vijana wa leo kwa ile mikwara ya Boflo wangemkanyaga sana. Akiomba namba ya simu ukimpa tu, anakurushia laki, akiomba mkutane anakurushie laki nyingine ya taxi
Kuna maiti isiyonuka?Kipind fulani nikiwa hapa dar mtaa fulani wa uswazi ,palikufa jamaa akasemekana ni punga alikuwa nakaa karibu na ninapokaa aisee walichelewa kuzima ile maiti ilipokuja kutolewa ilikuwa inanuka kinoma wamepulizia madaw mpaka basi