Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Wanaosagana hawashambuliwi sana sababu wale hawaharibu sana mfumo wa mwili, labda waanze kutanuana hiyo njia ya haja kubwa na vifaa vya ngono. Msagaji na msagwaji wakati wowote anaweza fanya ngono na kushika mimba. Madhara yake yapo kiimani na kisaikolojia zaidi na kibiolojia kidogo sana. Ila anayetumia njia ya haja kubwa ni tatizo kubwa kibiolojia na kisaikolojia.Mtu yeyote anayemuingilia shoga kinyume na maumbile Hana tofauti na huyo mwanaume anayeingiliwa , mwanaume yeyote anayemuingilia mke wake kinyume na maumbile Hana tofauti na homosexual , kuna lundo la wanawake wanasagana hao wote hamuwaoni mmejazana Tu na male homosexuals , acheni unafiki na ignorance , moral degradation ina mnyororo mrefu na haitatuliwi kipumbav namna hiyo
Haja kubwa ni kwa ajili ya kutoa kinyesi baasi. Dunia yote ikibadili matumizi ya viungo vya uzazi ikaamia kwenye haja kubwa hakuna kuzaliana tena, ndo mwisho wa binadamu. Haijalishi ni mwanamke na mwanaume au mwanaume kwa mwanaume, ile njia ni exit ya mabaki baada ya mwili kufyonza nutrients.