Vijana na Wazee Arusha waahidi kura ya Ndiyo kwa Katiba Inayopendekezwa

Vijana na Wazee Arusha waahidi kura ya Ndiyo kwa Katiba Inayopendekezwa

Hapa kunakuchanganyana kwa kuwa kama mtu mmoja hapendi na haelewi basi haina shida,tulio wengi tunaelewa na tumeisoma katiba inayopendekezwa vzr,kura yetu hapa arusha ni ya ndio
 
Nilijua tu utaduwaa!! lakini kwa kuwa nimeshaona wewe hauko katika ligi yangu hususani katika midahalo na mijadala kama hii; naishia hapo mzee, jazba; mitusi; kuitana majina ya ajabu ajabu na kashfa sio hulka yangu; napenda mijadala ya Nguvu ya hoja sio Hoja ya nguvu. pole.

peleka zako huko mbona unanishobokea sasa,kama mada haikuhusu unapotezea sio lazima uongee!Katiba inayopendekezwa umeielewa subiri tarehe ya kupiga kura ifike ukapige kura ya ndiyo sio uache ubishi na hasira!
 
HUYO NI MGANGA NJAA... kapewa buku 7 ndo zinamsumbua humu JF

Usiponiona hujitambui maana nakuchanganya kinoma!zee zima unapiga kelele tulia wee jero jero!!Katiba inayopendekezwa lazima ikumeze wee mzee!!!
 
Ndio mlijikusanya mkasema nyie machalii wa R katiba pendekezwa NDIYO.:lol::lol:
Kwanza wewe sio wa Arusha hiyo rubega lazima wewe wa MANYARA.
Wewe unashangaa vijana wa Arusha kuipigia kura katiba pendekezwa badala ya kushangaa baharini shilingi inapozama halafu meli inaelea! Hahahaha
 
Wewe unashangaa vijana wa Arusha kuipigia kura katiba pendekezwa badala ya kushangaa baharini shilingi inapozama halafu meli inaelea! Hahahaha

Mimi sijashangaa ila nimestuka katiba kama umeisoma wewe ujumuishe wote wasema Ndiyo.
 
Mimi sijashangaa ila nimestuka katiba kama umeisoma wewe ujumuishe wote wasema Ndiyo.

Theki,aisee vijana saa hivi tumejitambua tumetumika vya kutosha sasa hivi tumeshtuka tunamaamuzi yetu!uungana nasi sio kila time tunapigwa mabomu afu wanaotutuma wanakula kuku kwenye helkopta!!
 
Mimi sijashangaa ila nimestuka katiba kama umeisoma wewe ujumuishe wote wasema Ndiyo.
Nakushauri bwana theki siku ya kupiga kura uende ukapige kura ya NDIYO maana haki zako kama kijana zimo mule ndani, kwa sasa isome kwa makini kisha uielewe na unapoona una mashaka mashaka uliza watu wakufafanulie.
 
Theki,aisee vijana saa hivi tumejitambua tumetumika vya kutosha sasa hivi tumeshtuka tunamaamuzi yetu!uungana nasi sio kila time tunapigwa mabomu afu wanaotutuma wanakula kuku kwenye helkopta!!

Sasa unataka niendelee kuvaa kijani na kula pilau mimi nimechoka kudanganyika aaaah wee Baki mwenyewe Huko.
 
Ha ha ha ha, Mlikutana wapi na hao wazee na vijana mkaamua mambo hayo. Usichanganye vijana wa Arusha na wale wanaoletwa na malori kutoka mikoa mingine kuja kuamulia vijana na wazee halisi wa Arusha. Arusha ni waelewa hawasemewi. Umepata ngapi kwa hili?
 
Sasa unataka niendelee kuvaa kijani na kula pilau mimi nimechoka kudanganyika aaaah wee Baki mwenyewe Huko.

Theki maji huwa yanachemka lakini hayasahau ubaridi,usikubali kutumika suala la Katiba mpya halina Chama,ndo maana CDM,CCM,TLP,CUF,NCCR -MAGEUZI na wote wasio na vyama, wenye dini na wapagani wote wamo ndani ya nyumba!tukileta ushabiki wa vyama hatufiki ndugu na tutaendelea kutumia ya zamani ambayo tumekua tukiilalamikia kuwa na mapungufu!
 
Ha ha ha ha, Mlikutana wapi na hao wazee na vijana mkaamua mambo hayo. Usichanganye vijana wa Arusha na wale wanaoletwa na malori kutoka mikoa mingine kuja kuamulia vijana na wazee halisi wa Arusha. Arusha ni waelewa hawasemewi. Umepata ngapi kwa hili?

Ondoka zako Arusha huijui wewe huwezi fikiri sawasawa ukadhani vijana wote tunaotoka Arusha akili zetu zinafanana,wajinga ndo bado wanatumiwa kama misukule afu wanaachwa hoi badala ya kufanya maendeleo wanabaki chokq mbayaaaa kinyama!
 
Theki maji huwa yanachemka lakini hayasahau ubaridi,usikubali kutumika suala la Katiba mpya halina Chama,ndo maana CDM,CCM,TLP,CUF,NCCR -MAGEUZI na wote wasio na vyama, wenye dini na wapagani wote wamo ndani ya nyumba!tukileta ushabiki wa vyama hatufiki ndugu na tutaendelea kutumia ya zamani ambayo tumekua tukiilalamikia kuwa na mapungufu!

Mimi sijapinga katiba mpya au kusema watu wasishiriki Tatizo utaratibu unaotumika nchi hii kuforce mambo.Katiba ni suala la ushirikiano wa wananchi kwanini ccm inaforce mambo.
Mimi katiba nikasema Hapana that is my vote kususa sio sahihi ila hapana yangu ipo.
Wewe unaavyoonyesha mshakubaliana mseme ndio Sababu coz nyie ccm hamtaki kuangushana na hii sio sahihi.
Ndiyo maana mimi mwaka huu hawanipati ng'oo we kama ushakula pilau Hilo unalo.
 
Nakushauri bwana theki siku ya kupiga kura uende ukapige kura ya NDIYO maana haki zako kama kijana zimo mule ndani, kwa sasa isome kwa makini kisha uielewe na unapoona una mashaka mashaka uliza watu wakufafanulie.

Tatizo ukishakuwa uvccm kila kitu Ndiyo.
Nitasemaje ndio wakati hakuna mawazo yangu kama mwananchi au kijana ambayo yalichukuliwa?katiba Imetungwa na ccm then I takuwaje na uwakilishi pande zote.wewe kama ushazoea Ndiyo mwaka huu Mbona watakoma haburunzi mtu kbs tushastuka ndio maana hatuendelei kila siku bora ya Jana.
 
Tatizo ukishakuwa uvccm kila kitu Ndiyo.
Nitasemaje ndio wakati hakuna mawazo yangu kama mwananchi au kijana ambayo yalichukuliwa?katiba Imetungwa na ccm then I takuwaje na uwakilishi pande zote.wewe kama ushazoea Ndiyo mwaka huu Mbona watakoma haburunzi mtu kbs tushastuka ndio maana hatuendelei kila siku bora ya Jana.

Ndg yangu theki sikubalia nawe kabisa kuwa “katiba Imetungwa na ccm” nikukumbushe kitu juu ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba. Sheria hii Sura ya 83 imezingatia nakusimamia masuala hayo ya Katiba baada ya kuwekwa pamoja mabadiliko yote yaliyofanywa katika Sheria hii tangu ilipotungwa mwaka 2011 hadi tarehe 31 Desemba, 2013. Hebu soma na jiulize usemi wako upo sahihi juu ya sheria ya Mabadiliko ya Katiba?


Kwanza, Uundaji wa Tume Amri ya 2 aya (f), 5. Rais, baada ya kushauriana na kukubaliana na Rais wa Zanzibar, na kwa kuzingatia hali ya kijamii, kisiasa na kiuchumi iliyopo katika Jamhuri ya Muungano, kwa amri itakayochapishwa katika Gazeti la Serikali, ataunda Tume.


Pili, Uteuzi wa wajumbe wa Tume 6.-(1) Rais, baada ya kushauriana na kukubaliana na Rais wa Zanzibar, atateua Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na wajumbe wa Tume. Na Muundo wa Tume hiyo upo kwa mujibu wa Tangazo la Serikali Na.394 la Mwaka 2011 Amri ya 2 aya (h). Kwa hiyo Bunge Maalum liliitishwa kwa Sheria Na. 9 ya mwaka, 2013 Kupitia Tangazo la Serikali Na.394 la mwaka 2011 Amri ya 2 aya (r) ambalo linaundwa na wajumbe wafuatao: (a) wabunge wote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano; (b) wajumbe wote wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar; (c) wajumbe mia mbili na moja watakaoteuliwa na Rais kwa makubaliano na Rais wa Zanzibar kama ifuatavyo: (i) wajumbe ishirini kutoka Taasisi zisizokuwa za Kiserikali;Sheria ya Mabadiliko ya Katiba [Sura ya 83 Toleo la mwaka 2014] (ii) wajumbe ishirini kutoka Taasisi za Kidini; (iii) wajumbe arobaini na mbili kutoka Vyama vyote vya Siasa vyenye usajili wa kudumu; (iv) wajumbe ishirini kutoka Taasisi zaElimu;(v) wajumbe ishirini kutoka katika makundiya watu wenye ulemavu;(vi) wajumbe kumi na tisa kutoka Vyama vyaWafanyakazi;(vii) wajumbe kumi kutoka Vyamavinavyowakilisha Wafugaji;(viii) wajumbe kumi kutoka Vyamavinavyowakilisha Wavuvi;(ix) wajumbe ishirini kutoka Vyama vyaWakulima;(x) wajumbe ishirini kutoka makundimengine yoyote ambayo yana malengoyanayofanana.

Jamani ujasiri wa kusema uongo kiasi hicho unautoa wapi kuwadanganya Watanzania? theki uwe mkweli na mzalendo kwa ukweli wako. Sura hiyo ya Bunge Maalum na wajumbe wake wote ni wa chama kimoja? Ona sasa (iii) wajumbe arobaini na mbili kutoka Vyama vyote vya Siasa vyenye usajili wa kudumu. Acha uongo kama umetumwa kamwambie aliyekutuma Watanzania wamekugundua na hawadanganyiki.
 
Mimi sijapinga katiba mpya au kusema watu wasishiriki Tatizo utaratibu unaotumika nchi hii kuforce mambo.Katiba ni suala la ushirikiano wa wananchi kwanini ccm inaforce mambo.
Mimi katiba nikasema Hapana that is my vote kususa sio sahihi ila hapana yangu ipo.
Wewe unaavyoonyesha mshakubaliana mseme ndio Sababu coz nyie ccm hamtaki kuangushana na hii sio sahihi.
Ndiyo maana mimi mwaka huu hawanipati ng'oo we kama ushakula pilau Hilo unalo.


Sio kweli jambo la msingi ni kusimamia maamuzi yako usikubali kuburuzwa kwani tatizo liko wapi ukisema unaiunga mkono Katiba inayopendekezwa?
 
Mimi niko Arusha. acha uongo na nikikukamata utahadithia. Pumbavu umeona cc wa arusha ndi mbulula kama wewe.
 
Hao ni wale wazee wa Arusha waizi wabaomsaidia kinana kuiba nyaraka za umma na chenge wao mwizi abakabidhiwa katiba kweki haya makitu ni maizi.


swissme

Ulikua umelala nini ukakurupushwa mbona unapumua povu tu hapa!
 
Mimi niko Arusha. acha uongo na nikikukamata utahadithia. Pumbavu umeona cc wa arusha ndi mbulula kama wewe.
Acha ushamba wewe kiazi, wenzio wanasubiri kuipa kura ya ndiyo tuu, we endelea kupoteza muda wako, we wa wapi wewe hata hujui wenzio wameikubali hiyo katiba na wameshaahidi kupiga YESSSSSSS kazi kwako ukitaka jinyonge kama imekuuma.
 
Mimi niko Arusha. acha uongo na nikikukamata utahadithia. Pumbavu umeona cc wa arusha ndi mbulula kama wewe.

Karibu mi niko Hapa soko Kuu njoo upate na mahitaji yako afu tuonane vizuri andaa na hela soda kabisa na ole wako usije utanitambua nikikukamata!
 
Mimi niko Arusha. acha uongo na nikikukamata utahadithia. Pumbavu umeona cc wa arusha ndi mbulula kama wewe.

Acha hizo WEWE mi nipo kijweni hapa njia ya Ng'ombe ya pili Sombetini, njooo tuonane tutakamatana kwa Katiba Inayopendekezwa. Usiwe unahanyahanya tu!
 
Back
Top Bottom