Vijana na Wazee Arusha waahidi kura ya Ndiyo kwa Katiba Inayopendekezwa

Vijana na Wazee Arusha waahidi kura ya Ndiyo kwa Katiba Inayopendekezwa

yo mum about such we **** tu mtoto mama utsliwa town hii
 
We ------ kila kitu tell u mom. Unaliwa nini kajibiwa mwingine we unadandia. Mbona hudandii vingine?

Umechanganya frequency wewe kwani unadhani nani kamwambia? you too tell yo mum about those slugishes!! go to hell demon!
 
Huo utumbo wakuku unaokula utakuweusha cc kama vijana na wazee wetu wanaotutegemea hakuna kura ya ndiyo na fahamu hili nitaifa la waerevu kwa sasa ujinga wako waeleze walarushwa wenzako
 
Vijana wakiwemo na wazee wa Arusha wamevunja mzizi wa fitina kwa kuielewa katiba inayopendekezwa huku wengi wakisema kuwa hawaoni haja ya wao kuipinga na kuichukia katiba hiyo. Kutokana na kuikubali Katiba Inayopendekezwa wanawaomba vijana wenzao kote nchini kuipigia kura ya NDIYO. Huu ni ukweli usiopingika kuwa Katiba hii imejali makundi karibu yote. Nawapongeza wazee na vijana hao kwa hatua waloifikia na naamininTanzania nzima wataamka na kuwa mfano kama hawa. Safi sana.

Arusha ipi?
 
Back
Top Bottom