Vijana na Wazee Arusha waahidi kura ya Ndiyo kwa Katiba Inayopendekezwa

Vijana na Wazee Arusha waahidi kura ya Ndiyo kwa Katiba Inayopendekezwa

Inategemea ni vijana wa aina gani unaowazungumzia broda, sio Kila kijana ana mtindio wa ubongo kiasi cha kuikubali katiba yenye makengeza, hatudanganyiki; hatushawishiki!! Katiba ya Chenge na Six ni HAPANA, period.

Wenzio walikuwa hivo hivo baadae wakabadilika kwahiyo wewe MTK a.k.a TYTA a.k.a TETTY wala ckushangai kwa upungufu wa akili ulo nao.
 
Hao ni wale wazee wa Arusha waizi wabaomsaidia kinana kuiba nyaraka za umma na chenge wao mwizi abakabidhiwa katiba kweki haya makitu ni maizi.


swissme

Hata ukisema wenzio ndo wako tayari kupiga NDIYOOOO ikuume tuuu!
 
Kamalizeni kuandikisha watu kwanza

Zoezi linaendelea kama kawaida ndo maana NEC wakazogeza mbele tarehe ya kupiga kura ya maoni, hivyo ondoa shaka juu ya hilo na hakika nawaambia kura ya NDIYOOOOOOOO Haiepukiki ng'ooooooooo hata muende kwa waganga maana Mungu yuko pamoja na Watanzania wazalendo na sio wale wenye kuitakia mabaya Katiba hii.
 
Mimi sijapinga wala kukubali kwakuwa sijaisoma. Ila asitusemee kuwa ni wazee wote. Alitukutanisha lini tukaoa hilo tamko? Karibu Tengeru utupe Elimu

Kwani kunamajina yametajwa kuwa wazee flani na flani? tumia akili bhana kuelewa wewe husemewi bali unasisitizwa kuisoma katiba hiyo na kisha kufanya maaumuzi sahihi hapo baaadae kwa kuipigia kura ya NDIYOOOO!
 
Mkuu wazee watakuwa bado hai wakati kura hiyo inapigwa? maana tume ya uchaguzi ilihairisha
upigaji wa kura hiyo kwa muda usiojulikana.
 
Mkuu wazee watakuwa bado hai wakati kura hiyo inapigwa? maana tume ya uchaguzi ilihairisha
upigaji wa kura hiyo kwa muda usiojulikana.

Weka hoja ya maana bhana hivi hiyo nayo ni hoja? wewe una ahadi na Mungu kwamba hao wazee hawatafika huo muda?
 
Kura ni siri ya mtu, twaweza kukubaliana kwa leo ila ikifika wakati mwafaka kila mtu akatoa anachoamini ndio sahihi kwake
 
Zoezi linaendelea kama kawaida ndo maana NEC wakazogeza mbele tarehe ya kupiga kura ya maoni, hivyo ondoa shaka juu ya hilo na hakika nawaambia kura ya NDIYOOOOOOOO Haiepukiki ng'ooooooooo hata muende kwa waganga maana Mungu yuko pamoja na Watanzania wazalendo na sio wale
 

Attachments

  • 1428403808292.jpg
    1428403808292.jpg
    89.3 KB · Views: 115
Zoezi linaendelea kama kawaida ndo maana NEC wakazogeza mbele tarehe ya kupiga kura ya maoni, hivyo ondoa shaka juu ya hilo na hakika nawaambia kura ya NDIYOOOOOOOO Haiepukiki ng'ooooooooo hata muende kwa waganga maana Mungu yuko pamoja na Watanzania wazalendo na sio wale wenye kuitakia mabaya Katiba hii.


Soma hapo chini
 
Weka hoja ya maana bhana hivi hiyo nayo ni hoja? wewe una ahadi na Mungu kwamba hao wazee hawatafika huo muda?
Hiyo signature yako ya maana?
imeandikwa mjibu mjinga kwa kadri ya ujinga wake asije akajiona mwenye hekima machoni pake mwenyewe.
 
Mie nadhan katika Hilo la katiba pendekezwa watu wameaanza kujitambua!acha makundi ambayo yalizaliwa kupinga tu mambo waendelee kuhamasisha kupinga katiba!sijaona Mtu ukitaka kuishi unavyotaka ukipinga katiba!labda Kama kidogo kuna shida
 
Zoezi linaendelea kama kawaida ndo maana NEC wakazogeza mbele tarehe ya kupiga kura ya maoni, hivyo ondoa shaka juu ya hilo na hakika nawaambia kura ya NDIYOOOOOOOO Haiepukiki ng'ooooooooo hata muende kwa waganga maana Mungu yuko pamoja na Watanzania wazalendo na sio wale
Endelea kuweka mazwazo ya watu na hao sio miungu watu wala ckushangai na hizo attachments zako za kinafki.
 
Back
Top Bottom