Vijana na Wazee Arusha waahidi kura ya Ndiyo kwa Katiba Inayopendekezwa

Vijana na Wazee Arusha waahidi kura ya Ndiyo kwa Katiba Inayopendekezwa

Wenzio walikuwa hivo hivo baadae wakabadilika kwahiyo wewe MTK a.k.a TYTA a.k.a TETTY wala ckushangai kwa upungufu wa akili ulo nao.

Umeonaaa! yaani hapo umefikia ukomo wa akili yako kujadili uzi wako mwenyewe kwa kina ukaona ukinitusi utashinda mjadala?!

Ndio maana nikasema inategemea ni vijana wa aina gani; kama vijana wenyewe ni kama wewe; basi mkakati wenu umebuma kabla haujaanza; tukana kashifu mpaka uchoke lakini mmeshashindwa kama upeo wa weledi wenu katika maswala haya ni kama huu unaoonyesha hapa!! pole sana. nimetambua wewe hauko katika ligi yangu; unacheza chandimu wakati mwenzio niko VPL!! Bs
 
Acha uchizi vijana wa Arusha ipi hiyo hebu tupe proof unaweza kuta hata wewe katiba yenyewe hujaisoma unaanza kujumuisha mambo eti vijana Arusha.
Yambafu

We chalii acha hizo unafikiri vijana wote wa Arusha wameshikiwa akili? Unataka akupe proof ipi tena hiyo afu unatukana hujielewi wewe!sema yako huwezi peleka zako bana!
 
Umeonaaa! yaani hapo umefikia ukomo wa akili yako kujadili uzi wako mwenyewe kwa kina ukaona ukinitusi utashinda mjadala?!

Ndio maana nikasema inategemea ni vijana wa aina gani; kama vijana wenyewe ni kama wewe; basi mkakati wenu umebuma kabla haujaanza; tukana kashifu mpaka uchoke lakini mmeshashindwa kama upeo wa weledi wenu katika maswala haya ni kama huu unaoonyesha hapa!! pole sana. nimetambua wewe hauko katika ligi yangu; unacheza chandimu wakati mwenzio niko VPL!! Bs

Sema unataka nini hapa?????
 
We chalii acha hizo unafikiri vijana wote wa Arusha wameshikiwa akili? Unataka akupe proof ipi tena hiyo afu unatukana hujielewi wewe!sema yako huwezi peleka zako bana!
Ndio mlijikusanya mkasema nyie machalii wa R katiba pendekezwa NDIYO.:lol::lol:
Kwanza wewe sio wa Arusha hiyo rubega lazima wewe wa MANYARA.
 
Sema unataka nini hapa?????

Nilijua tu utaduwaa!! lakini kwa kuwa nimeshaona wewe hauko katika ligi yangu hususani katika midahalo na mijadala kama hii; naishia hapo mzee, jazba; mitusi; kuitana majina ya ajabu ajabu na kashfa sio hulka yangu; napenda mijadala ya Nguvu ya hoja sio Hoja ya nguvu. pole.
 
Imefuta msisitizo wa maadili ya viongozi, inasema wabunge mizizgo wasiwajibinywe, ya nini katiba mpya, ni bomu ambalo matatizo yataanza siku ya pili tu ikianza kutumika, katiba pendekezwa ni mbaya
Ebaeban nashukuru kwa kuonyesha kuwa hujasoma Katiba Inayopendekezwa. Hebu soma Katiba Inayopendekezwa utakuta maadili na miiko ya watumishi wa umma na viongozi yameainishwa vizuri sana. Usiongee kama wengine wanasema kuwa maadili na miiko ya uongozi vimeondolewa. Isome barabara Katiba hiyo.
 
Vijana wakiwemo na wazee wa Arusha wamevunja mzizi wa fitina kwa kuielewa katiba inayopendekezwa huku wengi wakisema kuwa hawaoni haja ya wao kuipinga na kuichukia katiba hiyo. Kutokana na kuikubali Katiba Inayopendekezwa wanawaomba vijana wenzao kote nchini kuipigia kura ya NDIYO. Huu ni ukweli usiopingika kuwa Katiba hii imejali makundi karibu yote. Nawapongeza wazee na vijana hao kwa hatua waloifikia na naamininTanzania nzima wataamka na kuwa mfano kama hawa. Safi sana.

Acha kutumika vibaya Kijana, wenzako watakuharibu na Ngamia atapita ktk tundu la sindano lakini wewe na wenzio wanao kuharibu itakuwa NGUMU.
 
Arusha ipi?
Wewe nina wasiwasi hata kama Arusha unaifahamu. Vijana wa Sanawari, Kijenge, Ngarenaro, Hailesilasie, Unga Limited. Au wewe siku hiyo ulikuwa mto wa mmbu au Longido. Au ulienda kuangalia mawe yako Mererani.:scared::biggrin1:
 
Labda mtaa wa Arusha hapo Ilala, ila na wao hawawezi kuikubali.
Kwa Chuga, sahau. Ni kura ya HAPANA tu.
 
Acha kutumika vibaya Kijana, wenzako watakuharibu na Ngamia atapita ktk tundu la sindano lakini wewe na wenzio wanao kuharibu itakuwa NGUMU.

Jitambue mwenyewe acha kurukaruka na kuishi kwa hisia kama zombi,vijana wenzio wamejitambua!
 
Kwenye msafara wa mamba na kenge wamo,arusha ni kura ya ndio kwa sisi vijana,hata ww mmoja natumaini si muda mrefu utabadilika tu,najua hujaisoma katiba inayopendekezwa vzr hivyo unatrgemea maneno ya kusikia toka kwa wanasiasa uchwara,akili za kuambiwa changanya na zako,tuko pamoja,karibu kwenye kundi la waliosoma na kuielewa katiba inayopendekezwa,hutajutia,utaelimika vzr na utatoa wingu lililotanda mbele yako. Sema ndio kwa katiba inayopendekezwa
 
Kwenye msafara wa mamba na kenge wamo,arusha ni kura ya ndio kwa sisi vijana,hata ww mmoja natumaini si muda mrefu utabadilika tu,najua hujaisoma katiba inayopendekezwa vzr hivyo unatrgemea maneno ya kusikia toka kwa wanasiasa uchwara,akili za kuambiwa changanya na zako,tuko pamoja,karibu kwenye kundi la waliosoma na kuielewa katiba inayopendekezwa,hutajutia,utaelimika vzr na utatoa wingu lililotanda mbele yako. Sema ndio kwa katiba inayopendekezwa

hiyo TOILETPAPER PENDEKA yenu mngeweka vile vipengele muhimu mlivyovinyofoa kutoka RASIMU YA WANANCHI mimi ningeweza kubadili msimamo lkn hii karatasi kama ilivyo mtaitumia nyie mburula hukooo MSALANI mkienda kujisaidia. ni MARUKUFFF MARUKUFFF kutumika mtaani na ikionekana tu tumbukiza MSALANI aka CHOO
 
Ndio mlijikusanya mkasema nyie machalii wa R katiba pendekezwa NDIYO.:lol::lol:
Kwanza wewe sio wa Arusha hiyo rubega lazima wewe wa MANYARA.

Mkabaji tu,Katiba inayopendekezwa iko pouwa sana machalii wote tunasalute!
 
Back
Top Bottom