Vijana na Wazee Arusha waahidi kura ya Ndiyo kwa Katiba Inayopendekezwa

Vijana na Wazee Arusha waahidi kura ya Ndiyo kwa Katiba Inayopendekezwa

sasa vijana!! hamuwez kuwa sawa kwa kila jambo,kila mtu anamtazamo wake pia mkubali kutokukubaliana.NIVYEMA MTOA MADA USIWEBIASED maana hawawezi kaka kikao wazee 500 na vijana 500 ukasema vijana na wazee wote wamekubali.kwa jiji kama hilo kitafiti sample iliyotumika hainishawishi japo mk nimeweka idadi kubwa lakini bado hainishawishi.KATIBA SIO USHINDANI BALI NIMARIDHIANO
Kaka bhana topic hapo juu haijataja idadi hiyo ya wazee 500 na vijana 500 kama unavyosema wewe naona unachanganya frequencies au umevaa miwani ya mbao hapo? Soma tena topic afu uone kama kawa bias, angelikuwa amespecify hapo sawa lkn hajataja ni idadi gani na kutoka wilaya zipi au kata zipi, kuwa muelewa kwa vitu simple kama hivyo. Waonekana class ulikuwa unavamia maswali pasipo kusoma instructions eeenh! Dah kuwa makini utakuwa unafail mara kwa mara maana kila kona unaenda opp.
 
Wewe ondoa bangi zako humu, Hakuna Chuga kuna Arusha tuuu, na wazee na vijana ndo hao wameahidi hivyo bado wewe.

Hahaha aisee ungejua kazi ya bangi arifu hata usinge itaja ....ila kwa sababu umezoea kula utumbo wa kuku arifu sio kosa lako
 
Chukua hiyo katiba ya chenge uifanye mfumo wa familia yako na ukoo wako. Uendelee na ushabiki wa kicheza ngoma sisi tunasimamia maslahi ya taifa. Kwa mtu kama wewe usiyejua hata katiba ya chenge, baki unywe uji. Tukilikomboaa taifa tuwetakuita ila kwa sasa samahni hatuwezi kutayembea na wewe maana ni mzigo.
lKwa heri.

BTW, jifunze namna ya kuuliza maswali na kujenga hoja. Unasound ridiculous!.


Katiba ya Chenge hatuijui,Wazee na vijana wa Arusha tunawafahamu na tumezaliwa hapa hapa wewe unauliza kwa mamlaka ya nani?Huwezi zuia mafuriko ya mvua kwa ulimi utang'oka meno!!! Katiba Inayopendekezwa haizuiliki!!
 
Chukua hiyo katiba ya chenge uifanye mfumo wa familia yako na ukoo wako. Uendelee na ushabiki wa kicheza ngoma sisi tunasimamia maslahi ya taifa. Kwa mtu kama wewe usiyejua hata katiba ya chenge, baki unywe uji. Tukilikomboaa taifa tuwetakuita ila kwa sasa samahni hatuwezi kutayembea na wewe maana ni mzigo.
lKwa heri.

BTW, jifunze namna ya kuuliza maswali na kujenga hoja. Unasound ridiculous!.

Huyu naye, Utalikomboa taifa kutoka wapi wewe? Mtu mwenyewe hujielewi unabaki kutaja vyakula tu hapa, kale kwanza usije kuanza kung'ata mbu hapa kwa miayo ya njaa. Huyo chenge unampenda sana ee maana huwezi maliza kuandika bila kumkumbuka. Tanzania tuna Katiba Inayopendekezwa na wala hatuna katiba ya chenge.
 
Chukua hiyo katiba ya chenge uifanye mfumo wa familia yako na ukoo wako. Uendelee na ushabiki wa kicheza ngoma sisi tunasimamia maslahi ya taifa. Kwa mtu kama wewe usiyejua hata katiba ya chenge, baki unywe uji. Tukilikomboaa taifa tuwetakuita ila kwa sasa samahni hatuwezi kutayembea na wewe maana ni mzigo.
lKwa heri.

BTW, jifunze namna ya kuuliza maswali na kujenga hoja. Unasound ridiculous!.

Kunywa mwenyewe huo uji wako wa chumvi, hayo masilahi ya taifa unayasimamia ukiwa umeweka viroba mfukoni?acha kupelekeshwa wewe?Kwa taarifa yako Chenge hana katiba,endelea kusubiri kulikomboa taifa ambalo tayari liko huru!tunasubiri tarehe ya kupiga kura tukapige kura we najua utakua umelewa viroba!
 
Sasa kama si size yako si upishe unamjibu wa nini kupoteza muda wako au nenda kalale umezidiwa!

Avatar yako tu inaonyesha kwanini umeni quote ila pole Sana si ndio utamaduni wetu
Kisa wewe nafika saridalama nataka kujifanya mjanja ...wakati ukirudi Larusa bado wewe ni mama yeyo tuu na mila utafuata
 
Avatar yako tu inaonyesha kwanini umeni quote ila pole Sana si ndio utamaduni wetu
Kisa wewe nafika saridalama nataka kujifanya mjanja ...wakati ukirudi Larusa bado wewe ni mama yeyo tuu na mila utafuata

Ha ha ha kwisa choka wewe kalale!huna jipya rafiki mie nakushangaa kijana mzima unakua kigeugeu kama kinyonga!
 
Ha ha ha kwisa choka wewe kalale!huna jipya rafiki mie nakushangaa kijana mzima unakua kigeugeu kama kinyonga!

Hapana lala sasa hivi nalinda eti ..Kama nataka kukesha na Mimi hapa Jamii Forums sawa kuongea na wazeee kuna utaratibu wake ...kwa wamasai kuna laigwanani ..kwa wameru wana taratibu zao ..sasa hao ni wazee gani na vijana wapi mnataka kutuaminisha mmeongea nao
 
Hahaha aisee ungejua kazi ya bangi arifu hata usinge itaja ....ila kwa sababu umezoea kula utumbo wa kuku arifu sio kosa lako

Humu kuna watu sio wazima!!!Now I know kwa nini huelewi?aisee pumzika bwashee kesho basi!!
 
Hapana lala sasa hivi nalinda eti ..Kama nataka kukesha na Mimi hapa Jamii Forums sawa kuongea na wazeee kuna utaratibu wake ...kwa wamasai kuna laigwanani ..kwa wameru wana taratibu zao ..sasa hao ni wazee gani na vijana wapi mnataka kutuaminisha mmeongea nao

Acha kuzingua wewe unabana mdomo nini kama umemind si umfuate,huko alipo usipoteze muda jadili mada husika!
 
Mimi niko arusha.ni lini ulituitaa na tukakwambia hayo?huu ni uongo uliopitiliza na hakuna raia anaejitambua apigie kura ya ndio upuuzi huo.
 
Humu kuna watu sio wazima!!!Now I know kwa nini huelewi?aisee pumzika bwashee kesho basi!!

Sasa wewe mwenyewe hupendwi alafu unanifuata Mimi sioi meekiii ..halafu maana ya mzima unaijua wewe ???Mimi Masai eti na jando nimepita hiyo sio kitu ya kuuliza hata wewe unajua
 
Acha kuzingua wewe unabana mdomo nini kama umemind si umfuate,huko alipo usipoteze muda jadili mada husika!

Mada husika ni ipi Mimi nimemuuliza mtoa mada ni arusha ipi hiyo wameongea na vijana na wazee nyie mnajiofanya mnajua kuongea mnadakia ooh sijui bangi ..kwa akili zako timamu Nani katoka nje ya mada hapo
NB bora Mimi nabana mdomo ..wewe umebana nini ????? Alafu watu wanafukua kiulaini
 
Back
Top Bottom