Vijana na Wazee Arusha waahidi kura ya Ndiyo kwa Katiba Inayopendekezwa

Vijana na Wazee Arusha waahidi kura ya Ndiyo kwa Katiba Inayopendekezwa

hao walokutuma namashaka nao maana wamemweka mtu ambaye ni paranormal human afu unajiita mwala, we ni mwala au Mwaloni?

hivii mi na wewe mburula na waganga njaa wenzio ni nani anapokea buku 7???
 
peleka zako huko mbona unanishobokea sasa,kama mada haikuhusu unapotezea sio lazima uongee!Katiba inayopendekezwa umeielewa subiri tarehe ya kupiga kura ifike ukapige kura ya ndiyo sio uache ubishi na hasira!

tuambie wewe kiboga mnapiga lini kura ya hiyo TOILET PAPER kuamua kama tuitumie msalani au HAPANA?
 
watumishi wa LUMUMBA at work

Umekurupuka usingizini unapinga kila kitu kinachopita mbele yako mpaka familia yako unapinga wasile inabidi ukapimwe vinasaba ili twende sawa inaelekea wewe sio normal human being!
 
Wewe umetumwa na nani ? Inaonekana wewe ni ccm usiye watakia watanzania mema acha hiyo kapeni kipofu
 
Wewe umetumwa na nani ? Inaonekana wewe ni ccm usiye watakia watanzania mema acha hiyo kapeni kipofu

Na wewe umetumwa na nani kurukia mdahalo huu inaelekea wewe ni kibaraka wa ccm unayefikiri mdahalo wa katiba ni wa vyama vya siasa!acha kulipuka.
 
tuambie wewe kiboga mnapiga lini kura ya hiyo TOILET PAPER kuamua kama tuitumie msalani au HAPANA?

Wewe sio Mtanzania unauliza tarehe ya kupiga kura ya nini? Haikusaidii hiyo endelea kukaa Somalia.
 
Mada husika ni ipi Mimi nimemuuliza mtoa mada ni arusha ipi hiyo wameongea na vijana na wazee nyie mnajiofanya mnajua kuongea mnadakia ooh sijui bangi ..kwa akili zako timamu Nani katoka nje ya mada hapo
NB bora Mimi nabana mdomo ..wewe umebana nini ????? Alafu watu wanafukua kiulaini

Wewe unawaza uhalifu,nyie ndo mnaolipwa 500 muandamane na wala wewe sio wa Arusha unapoteza muda tu hapa,ungekua unajielewa usingeanza kunifuatilia mimi wa Arusha sehemu gani?inakuhusu nini?au wewe mbakaji nini?suala la msingi hapo ni vijana tumejitambua na sasa tuna maamuzi yetu,Arusha ya zamani sio ya sasa tumekataa kutumika kwenye maandamano sasa hivi tunatafuta chapaa kwa kufanya kazi kama huelewi nchi yako inaelekea wapi na suala la katiba inayopendekezwa tupishe!!!
 
Wewe unawaza uhalifu,nyie ndo mnaolipwa 500 muandamane na wala wewe sio wa Arusha unapoteza muda tu hapa,ungekua unajielewa usingeanza kunifuatilia mimi wa Arusha sehemu gani?inakuhusu nini?au wewe mbakaji nini?suala la msingi hapo ni vijana tumejitambua na sasa tuna maamuzi yetu,Arusha ya zamani sio ya sasa tumekataa kutumika kwenye maandamano sasa hivi tunatafuta chapaa kwa kufanya kazi kama huelewi nchi yako inaelekea wapi na suala la katiba inayopendekezwa tupishe!!!

Hivi wewe mwanamke unajielewa au umekurupuka tu asubuhi unavuja damu ukaona ukimbilie Jamii forum
Kweny post zangu kuna sehemu nliyosema nakufuatilia ????
Halafu ndio Mimi ni mbakaji ila mbaya zaidi na deal na under age sio ajuza Kama wewe
Yeah mia tano nalipwa niandamane tatizo lako nini maisha yanaenda
Wewe unauza nini ili uishi ???
 
Hao ni wale wazee wa Arusha waizi wabaomsaidia kinana kuiba nyaraka za umma na chenge wao mwizi abakabidhiwa katiba kweki haya makitu ni maizi.


swissme


Out of point, out of context hunipotezei muda Arusha huijui pisha!!
 
Hivi wewe mwanamke unajielewa au umekurupuka tu asubuhi unavuja damu ukaona ukimbilie Jamii forum
Kweny post zangu kuna sehemu nliyosema nakufuatilia ????
Halafu ndio Mimi ni mbakaji ila mbaya zaidi na deal na under age sio ajuza Kama wewe
Yeah mia tano nalipwa niandamane tatizo lako nini maisha yanaenda
Wewe unauza nini ili uishi ???


Haaaaa nilisema tu wanaanza kujitaja kwa tabia zao! Hivi wewe kwa ID yako na sifa zako ulizomwaga hadharani unafaa kuingia humu???aisee pisha mbali kabisa kumbe nabishana na Mirembe type wanaolipwa mia tano kuandamana ha ha ha ha!!
 
Arusha???? Wanakubali katiba pendekezwa?? Weeeeeeeee nani kasema kuwa tunakubali kizembee.......
 

Haaaaa nilisema tu wanaanza kujitaja kwa tabia zao! Hivi wewe kwa ID yako na sifa zako ulizomwaga hadharani unafaa kuingia humu???aisee pisha mbali kabisa kumbe nabishana na Mirembe type wanaolipwa mia tano kuandamana ha ha ha ha!!

Wewe usitegemee uandike upuuzi alafu mie nikujibu kwa busara.... Hapa muosha huoshwa ..hakuna cha ukinipiga shavu hili nikugeuzie na lingine
Wewe hata ukijua sifa zangu unanisaidia nini
Bora mimi wa mirembe kuliko wewe unaejielewa ila kuchamba unaanzia nyuma kwenda mbele halafu unalalamika unaumwa UTI ...sasa asiejielewa Kati yangu na wewe sijui ni Nani
 
Vijana wa ccm arusha wenye umri kati ya 75 na 85 yrs na wazee wao wenye kati ya miaka 85 na 120 ndio hao pekee + mafisadi wachache kabisa ndio watakaopiga kura ya ndio ccm.
 
Wewe usitegemee uandike upuuzi alafu mie nikujibu kwa busara.... Hapa muosha huoshwa ..hakuna cha ukinipiga shavu hili nikugeuzie na lingine
Wewe hata ukijua sifa zangu unanisaidia nini
Bora mimi wa mirembe kuliko wewe unaejielewa ila kuchamba unaanzia nyuma kwenda mbele halafu unalalamika unaumwa UTI ...sasa asiejielewa Kati yangu na wewe sijui ni Nani
Waswahili husema, AISIFIAE MVUA UJUE IMEMNYEA, sina mashaka na hayo maneno ulomwambia mwenzio kuwa anachamba kuanzia nyuma inaonekana hapo kwamba wewe ndo tabia yako hiyo ndo maana unajua ukifanya hivo unaweza ukapata magonjwa kama UTI naamini sijakosea naposema hivo, anyway ni vema tukajikita kwenye mada kuliko kurushiana matuc humu ndani.
 
Back
Top Bottom