Vijana na wazee mliopo kwenye ndoa msipende kujibu SMS za michepuko zinazotokea juu ya Screen

Hii ni asili kabsa mwanaume sio rahis kukubal au kuomba msamaha , ata akikubali hawez sema direct kuna kaujanja tu atakatumia kukuweka sawa.
 
Wewe ndo muelewa tunahitaji wanawake kama wewe kwenye mahusiano
 
Mwanaume akichepuka sio kwamba hakupendi
Hili somo ni gumu sana wanawake kutuelewa sisi tukichepuka ni tofauti na wao. Mwanamke akichepuka ujue hisia zake na upendo vinahamia kwa njemba ya nje

Ni ngumu sana kukuta mwanamume anamponda mke wake mbele ya mchepuko lakini wake za watu mara nyingi hadi wanawadhalilisha na wanawatukana waume zao tukiwa nao 6×6
 
Ni kwel kabsa mkuu mwanamke mchepukaji hafai kabsa kuendelea nae tena anaweza ata kukuua.
 
Hutoboi.
 
Ahahhahah Wanawake aga wanalipa visas, unataka akubless kumkomoa mwamba eeh.
 
iyo kitu ogopa sana mm nashkr ilinitokea kipind sijaoa nlipigwa chini mazima coz nlkua mtu wa matukio sana..nyingine usipende kumuonyesha vitu kwenye simu mkeo kunakuaga na tumesej twa wasap kitatumwa mida hio
Hii usiombe ikukute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…