Nachukiaga sana jitu lazima litaje neno "kijana" kama ni sifa meritocratic ya uwezo wa leadership
Ukiona jitu linataja sana "ujana" ujue linaficha madhaifu yake
We dont even wanna know you goddamn age
Mzee kubali tu kiuongozi Makamba Jr. kamuacha mbali sana Magufuli. Magufuli siyo kiongozi mzuri, hauhitaji kuwa Newton or Einstein kuliona hilo. Tutabishana hapa bila sababu zozote.elimu ya kubumba na isiyo ya kubumba unaijuaje??
malezi bora yanapimwa kwa mzani upi??maana mimi pia naweza sema hukuelelewa malezi bora,au kinyume chake sababu tu unakasirikia watu hovyo.
mkapa huyu mnayesema hakuheshimu watz akawatukana hadharani,ndio unasema amekuwa mwalimu bora wa makamba kiungozi!!!
sipendi sana chuki kwa magufuli zihusishwe na kila kitu anachofanya,mtakosa hoja ya kusimamia.
kila mtu ana mtizamo wake.Mzee kubali tu kiuongozi Makamba Jr. kamuacha mbali sana Magufuli. Magufuli siyo kiongozi mzuri, hauhitaji kuwa Newton or Einstein kuliona hilo. Tutabishana hapa bila sababu zozote.
Yusuph Makamba na Magufuli nani kala pepo zaidi nchi hii?
Unajua Makamba kaupata ukuu wa mkoa mwaka gani na Magufuli kawa wazirini lini?
Ebu acheni kuongea upuuzi kwa sababu watu hawana tabia za kujikwaza.
Watoto wa Makamba wanakumbuka walivyoachwa Bukoba, wakati watoto wa Magufuli awajui maisha nje ya baba kama waziri.
Kuna watu wanapenda kujikuza tu.
Good AnalysisNape is an average politician his main goal is to last long in politics hiyo ndio career pekee anayoijua (silimilar to Emmanuel Nchimbi) until he makes enough savings to try something else, mengine maajaliwa. Hakuna ubaya wowote if that is the life path he has chosen and entitled to it.
Whereas January is an exceptional politician ilo halina ubishi he has leadership qualities tatizo lake he is not adaptive to Tanzania challenges yeye kama robot aliekariri leadership traits.
Halafu na kaushamba fulani which makes it wary kupewa majukumu fulani because he doesn’t show the attitudeness to move things forward.
Nafasi kuu za nchi kwa mazingira yetu azitaki mtu wa kutukuza marafiki wafanyabiashara, watoto wa vigogo kwa sababu baba zao unawajua au sijui mlikuwa majirani etc to do with his twitter nonsense, aonyeshi kama priority yake ya siasa ni kuwafanyia kitu watanzania.
Hiko ndio kinachomfanya aonekana January ni average kama wengi wao, and yet you can see there is more if he changed his attitude kwa sababu ya leadership qualities zingine unazoziona kwake.
Basically J.K was good on his tenure but we don’t want another one back again back if we are to move forward. Therefore January needs find another role model for inspiration vinginevyo apigwe bench tu in my opinion.
So dawa ni kujipaka super black kama Majaliwa?Bongo kama huna mvi wewe ni kijana
Cha ajabu unakuta hata sio kijana,lizee kabisa na mamvi kidevu kizima 45years +
Eti "unajua sisi viongozi vijana...blah blah blah"
So dawa ni kujipaka super black kama Majaliwa?
Jiwe ni muoga wa vijana smart anawaundia zengwe kabaki na misukule yakina mwigulu akiitukana inasema asante tusi zuri
Wapo waliokuwa diaspora na walifanya kazi katika makampuni makubwa. Lakini waliporudi nyumbani na kupata kazi walivurunda vibaya na kuanza ufisadi.
Sisi waafrika ubinfsi ni dna yetu. Wakiwa nje wanafanya vizuri kwa sababu ya mifumo iliyopo na hakuna mwanya wa rushwa. Hakuna njia ya ku shine zaidi ya kupiga kazi!
Lakini hapa nyumbani ni a different ball game!!
Ukitumbuliwa hata ufanye maamuzi sahihi raisi akutumbue kwa hayo maamuzi kutomfurahisha, taswira yako ndani ya jamii itachafuka maana yeye ndiye atasema mabaya yako, wewe hutokuwa na nafasi ya kujja kujitetea itabidi ukae kimya. Nikuulize, Nape na Makamba ni kosa gani walilolifanya?
Huyo John Mashaka hawezi kukubali kazi za serikali. From Wallstreet to Mkuu wa wilaya sidhani.hivi John Mashaka na professor Shayo wako wapi??lol
Jamani January Makamba kwanza yuko ndani ya Tanzania and too Mediocre compared to people like Saudin, Mashaka etc... January amebebwa na JK, na kutumia resources za serikali kujipa promo, ila kichwani ni better than Bashite but too mediocre kwa wakina Saudin.Mzee kubali tu kiuongozi Makamba Jr. kamuacha mbali sana Magufuli. Magufuli siyo kiongozi mzuri, hauhitaji kuwa Newton or Einstein kuliona hilo. Tutabishana hapa bila sababu zozote.
Ila makamba umemuonea yuko vizuri the rest umepatia,bashite and company ni vilazaJamani January Makamba kwanza yuko ndani ya Tanzania and too Mediocre compared to people like Saudin, Mashaka etc... January amebebwa na JK, na kutumia resources za serikali kujipa promo, ila kichwani ni better than Bashite but too mediocre kwa wakina Saudin.
The only brain ni BASHE........ !
January, Nape, Mwigulu, Kingwangalla, Sabaya, Bashite ndio chanzo cha vijana kuonekana hawafahi....... Bashungwa ni kama Robot fulani ZERO kabisa
Bro, Nimefanya kazi na Makamba.....kwa hao matahira, yeye ni Genius lakini ukienda kwa thinkers ni mediocre !Ila makamba umemuonea yuko vizuri the rest umepatia,bashite and company ni vilaza
Bro mimi ni mtumbuliwa NSSF na sasa mwanasiasa. Sina mahusiano na hao watuMwandishi wa thread hii ni mmoja wa watu watatu waliojitaja hapa😀
Poleni sana kwa kukosa uteuzi. Ila kazi zipo nyingi sio lazima kupata uteuzi hata kulima matikiti maji ni kazi wandugu.
Sisi tunajadili hao matahira kwanza yakina bashite makamba kayazidi pakubwaBro, Nimefanya kazi na Makamba.....kwa hao matahira, yeye ni Genius lakini ukienda kwa thinkers ni mediocre !
Kigwangallah kwa mfano siyo wa kujadiliSisi tunajadili hao matahira kwanza yakina bashite makamba kayazidi pakubwa