Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Mkuyenge ndio utaamua tabia ya mke sio jambo lingine lolote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo hatari zaidi, Kuna wengine wanategemewa kulisha familia kwakutumia mbususu za Binti zao kwahiyo kuweni makini sana, mabint wa zamani hata ukimnunulia saa anakataa kwamba ataiweka wapi???. Wa saizi mzazi ana kiswaswadu bint ana iphone shituka hapo!!Ukiona wa hivyo anaweza akaaga anaenda kwao,na asifike akaishia kwa jamaa yake, na wewe ukiuliza kwao watakwambia amekuja
Mkuyenge unazoeleka, kwani hujawah ambiwa na msichana bila wewe siwezi ishi na mlishaachana na anaendelea na maisha yake jiulize anaishije bila wewe shituka!!Mkuyenge ndio utaamua tabia ya mke sio jambo lingine lolote.
Kabisa ,umeongea ukweli mtupu ,ndio mana ndoa za siku hizi hazidumu,wazazi wamewafanya mabinti zao kuwa vitega uchumiHilo hatari zaidi, Kuna wengine wanategemewa kulisha familia kwakutumia mbususu za Binti zao kwahiyo kuweni makini sana, mabint wa zamani hata ukimnunulia saa anakataa kwamba ataiweka wapi???. Wa saizi mzazi ana kiswaswadu bint ana iphone shituka hapo!!
Mke ni zaidi ya sura.Hee kwahiyo sisi wa boarding kuanzia form 1 hadi chuo(hostel) ndiyo tusitegemee ndoa kabisa [emoji23][emoji23] wanaume hamueleweki mnahitaji nini , vigezo gani hivo sasa. Siyo sura wala chura tena, mnatuchanganya[emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]🥱[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]🥱🥱🥱🥱🥱🥱Kuoa na ni maamuzi mazito sana. Ukikosea unaweza ukaumia sana. Ni bora kubaki kama ulivyo zaliwa, ulikuja bila kitu na utaandoka bila kitu
Sindio maana bill gate kaachwa kumbe na Yeye Akili Hana bwana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Endeleeni kupambana.
Ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Humu ndani wanaume vilio havikauki. Hi Vita inaonekana kuwa ngumu, sjui wadogo zetu itakuaje Mana vijana wa hovyo ndio watakuja kuwa wazee wa kuwashauri.
#Mass Destruction [emoji856]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndg yangu anakaa na manzi aliekimbia kwao hajarudi mwaka mzima kwahiyo nimshauri nn mkuu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimemkumbuka Farhia msomali wangu.
Shetani anajua kuwahi na kujimegea vitu vizuri.
Eee Farhia ni nani aliyekuloga?
Uzuri umepewa lakini huuheshimu kabisa
Tchaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Binti ukiona muda wake mwingi wa shule kautumia boarding/hosteli hakuna mke hapo.
Labda Kama unatafuta house mate. Hapo sawa.
Si ndio.Sindio maana bill gate kaachwa kumbe na Yeye Akili Hana bwana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ungemalizia hapa kwenye bwana ..bwana Mungu.Binadamu tunabadilika unaweza kuoa anajiheshimu mcha mungu ila huko mbele akawa nyoka tena mwenye sumu kali. Mke mwema hutoka kwa bwana