Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

Labda magonjwa ya minyoo na malaria ndio mnatibu...everything about systemic pathology mko empty maana hamjasoma hii koz....muwe na heshima bhn...yaan Dr mlinganishe na dentist ila sio kozi za like kama nursing..bullshit
Nimefanya kazi na residents na registers wachache na wamenifundisha vitu vingi. Intern doctors sikuvutiwa nao coz wengi wao ni weupe kichwani na wamesoma hiyo systemic pathology. Kuna mambo mengi unapaswa kuyajua ili uwe daktari ingekuwa ni systemic pathology basi kila MD 2 na MD3 student angekuwa daktari.

Zaidi ya hayo kuna course ambazo nurse wanazisoma ndo sinafanya wawe nurses kama vile medical and surgical nursing ambayo daktari haisomi na haimuhusu
 
Tatzo unahasira kisa umesomea unesi....komaa tu na unesi wako ila usituaminishe upuuz wako hapa....siku nikiamini nesi ni sawa na daktari in status bhc naombeni mniue tu jmn.....heshima iwepo Dada yangu
Kuna kitu hakiko sawa kwako unapenda kujikweza sana yaani ila unayemjibu kazungumzia kwamba hivyo vitu nitofauti ww bd unangangania siku hiz heshima pesa mzee kuna watu wa darasa la saba wanaheshimika kuliko huyo doctor so usitafute heshima kwa stahili hiyo ukweli ni hakuna ambaye yupo juu ya mwenzake hapo kila mtu ana nafasi yake ndo maana zinatolewa tofauti huko vyuoni
 
Nyie ndio mnakuwa mashoga kisa mnafata ur fantasy[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kasome tu unesi ila itachukua miaka bilioni kuniaminisha unesi n mzur kulko udaktari...pambaneni na hali zenu tu muache majungu na roho mbaya
Sidhani ka unahitaji kujitetea kiasi hicho mkuu hakuna bora zaidi na haitakaa iwe hivyo
 
Sijasema MTU akiwa Dr aabudiwe ,na wala mm sisemi unesi ni kaz isiyofaa..nachompinga mleta mada n kusema unesi ni superior over Md.. Hapo tu...n bora aseme tu kila koz INA umuhimu wake ila sio kusema et nesi n bora kulko doctor..hii sikubali had kesho yaan
According tu uhitaji ni sawa kabisa nesi atatangulia kuhitajika doctor atafuata
 
Unajua Bipolar Disorder Plus Schizophrenia Zinakusumbua Sana,

Kivipi Unaniqoute Kwenye Emoji Na Hayo
Maneno Yote Ya Attention Seeker?

Ebu Pita Kule Nurse James Wewe!

People Who Acts Like Rats I Treat Them Like Honey badger.
Grandiose, obsessive compultion na lack of exposure ni chanzo cha shida zako. Toka nje ya box ukaone thamani ya daktari na nurse.

Yaani wewe mpaka uwe daktari mwenyewe thamani kwenye Jamii you must invest a lot in terms of years and exposure. Yaani wewe ili ujulikane nilaazima uwe bingwa na mahili kwelikweli, vingine utakuwa no news ndani ya Jamii. Unatoa jasho jiiingi kwa maslahi kiduuchu.
 
Hii ni kweli....mkuu huwa n mmoja tu ila wasaidiz lazma wawe wengi
Naomba siku wewe tuje tufanyekazi jamoja kwenye firm/ward/clinic moja na mimi, hivyo vidiagonosis vyako uchura na prescription ambavyo havitaendana na hali ya mgonjwa nitavikataa vyooote mbele yako. Nitavipiga chini vyote kama vina matege, au nakwambia umpe dawa mgonjwa wewe mwenyewe dawa zako.
Usifikirie ule uuguzi wa enzi zile.

Siku hizi hata entry qualifications za muuguzi zimebadilika. Hata anayehitaji kusoma certificate lazima awe na C biology, C chemistry na D physics/hesabu. Usifikirie ule upuuzi wenu wa zamali wa manesi waliofeli mitiani.
 
Naomba siku wewe tuje tufanyekazi jamoja kwenye firm/ward/clinic moja na mimi, hivyo vidiagonosis vyako uchura na prescription ambavyo havitaendana na hali ya mgonjwa nitavikataa vyooote mbele yako. Nitavipiga chini vyote kama vina matege, au nakwambia umpe dawa mgonjwa wewe mwenyewe dawa zako.
Usifikirie ule uuguzi wa enzi zile.
Siku hizi hata entry qualifications za muuguzi zimebadilika. Hata anayehitaji kusoma certificate lazima awe na C biology, C chemistry na D physics/hesabu. Usifikirie ule upuuzi wenu wa zamali wa manesi waliofeli mitiani.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] umepaniki mkuu.....in order to have better results in any study ,u have to compare the two things which are equal in quantity and quality...mfano inawezekana wew n nesi wa masters au hata PhD so unavoona unawazd madokta wenye degree moja bhc unajiona wee n mtaalamu sana kulko madokta huku ukisahau wao wana degree moja tu huku ww una elimu ya juu zaidi na experience ya kazini kuwazd wao...ili tupate matokeo chanya ya yupi n mzuri ktk diseases diagnosis and tx we have to set one nurse and one doctor with the same education level and qualification plus same working experience, then u will see how a nurse will be inferior to a doctor...acha hasira zisizo na msng...ukitaka kujua we ni nesi tu na utakuwa nesi hvyohvyo find a doctor with the same education level as you I mean kama ww una masters tafuta mwenye masters kama wew na awe na same working experience years sawa naww, ikiwezekana awe amesoma chuo sawa nawew then utaona n jins gan utakavyobwela.....
Wew unazungumzia madokta wale wanaofaulu kimagumashi tu ila mm kama daktar kwa level yangu hakuna nesi wa kunitisha kwa shule....yule aliyekaa kazin sana atanizd tu experience ambapo ukiicompare capacity yake in handling patients na madokta wa experience sawa nayake hawez kufua dafu.....sjui kama umenielewa lkn....
 
Uuguzi balaaa. Unaijua hospitali au unasema tuu. Vidonda.kutapika.kuzaa na ile mimaji inayomwajika.mausaha ya majipu. Orodha ni ndefuuu.
Jikague kwanza.
uko sawa sana!! uuguzi sio kirahisi hivyo ni mgumu sana tena sana na usijaliwa kwa chochote!! usikae mbele kujisifia sana uuguzi
 
Kumbuka nesi hajui systemic pathology and these is the mainstay in diagnosing diseases...half unavosema nesi anaisoma anatomy kumbuka anatomy ya nesi sio sawa na ya daktari,doctor anasoma hadi dissectional anatomy huku nesi akiishia theory tu...sjui labda n kwa chuo nachosoma mm ila nesi na Dr kuwa sawa utatumia muda sana kuniaminisha
no kwa chuo kama Kairuki nurse na M.D. wanasoma course sawa kwa mwaka wa kwanza zikiwemo hiyo anatomy theory and dissection
 
Grandiose, obsessive compultion na lack of exposure ni chanzo cha shida zako. Toka nje ya box ukaone thamani ya daktari na nurse.
Yaani wewe mpaka uwe daktari mwenyewe thamani kwenye Jamii you must invest a lot in terms of years and exposure. Yaani wewe ili ujulikane nilaazima uwe bingwa na mahili kwelikweli, vingine utakuwa no news ndani ya Jamii. Unatoa jasho jiiingi kwa maslahi kiduuchu.
Mimi daktari nayempa heshima zake ni MMED. Sijawahi kutana na MMED mbabaishaji ila hawa wengine wababaishaji wengi
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] umepaniki mkuu.....in order to have better results in any study ,u have to compare the two things which are equal in quantity and quality...mfano inawezekana wew n nesi wa masters au hata PhD so unavoona unawazd madokta wenye degree moja bhc unajiona wee n mtaalamu sana kulko madokta huku ukisahau wao wana degree moja tu huku ww una elimu ya juu zaidi na experience ya kazini kuwazd wao...ili tupate matokeo chanya ya yupi n mzuri ktk diseases diagnosis and tx we have to set one nurse and one doctor with the same education level and qualification plus same working experience, then u will see how a nurse will be inferior to a doctor...acha hasira zisizo na msng...ukitaka kujua we ni nesi tu na utakuwa nesi hvyohvyo find a doctor with the same education level as you I mean kama ww una masters tafuta mwenye masters kama wew na awe na same working experience years sawa naww, ikiwezekana awe amesoma chuo sawa nawew then utaona n jins gan utakavyobwela.....
Wew unazungumzia madokta wale wanaofaulu kimagumashi tu ila mm kama daktar kwa level yangu hakuna nesi wa kunitisha kwa shule....yule aliyekaa kazin sana atanizd tu experience ambapo ukiicompare capacity yake in handling patients na madokta wa experience sawa nayake hawez kufua dafu.....sjui kama umenielewa lkn....
Umekaa Tz unafikiri dunia yote ni kama Tz and your thinking is still local and not global. Katika training yangu nimebahatika hufundishwa na lecturers kutoka US na kwa nchi kama US wana Diploma, degree, Masters, Doctor of Nursing Practice (DNP) hawa ndo wamepunguza demand ya doctors US na PhD.

Sisi hapa kwetu walio na masters ni wa kubahatisha na waliopo wako level zingine huwezi kuwakuta wakistruggle kama ninyi vinginevyo awe mbabaishaji. Mimi na madaktari huwa tunaheshimiana na tunafanya kazi kwa kushirikiana na si mashindano dhana unayoijenga
 
Umekaa Tz unafikiri dunia yote ni kama Tz and your thinking is still local and not global. Katika training yangu nimebahatika hufundishwa na lecturers kutoka US na kwa nchi kama US wana Diploma, degree, Masters, Doctor of Nursing Practice (DNP) hawa ndo wamepunguza demand ya doctors US na PhD. Sisi hapa kwetu walio na masters ni wa kubahatisha na waliopo wako level zingine huwezi kuwakuta wakistruggle kama ninyi vinginevyo awe mbabaishaji. Mimi na madaktari huwa tunaheshimiana na tunafanya kazi kwa kushirikiana na si mashindano dhana unayoijenga
Unachikiongea mm sikatai kama sio kweli ila nachokataa mpk kesho n kwamba nursing is better than Md ,hii ntakukatalia tena usiwapotoshe vijana kabisa et wakimbilie kusoma unesi kwa nchi kama Tanzania..hamasisha hukohuko ulaya na marekani ambako mambo ya wanawake yako juu kulko wanaume na sio bongo ......umesema unafanya kazi na madaktari tena kwa kuheshimiana zaidi ,labda nikuulize swali moja..kati ya wew na hao madaktari unafanya nao kazi ni yupi kati yako nawao huwa rahs kumuongoza mwenzie ktk kutibu??

Mm navojua na navoona nesi n muhimu katika kutibu lkn sio muhimu kulko doctor...in health the doctor starts in any health consultation then manesi na waphamasia will do their roles baadae..huwez fananisha kabisa nesi na doctor,maana doctor anajua mambo mengi zaidi ktk kutibu kulko nesi..a doctor will perform major surgeries, will diagnose tumors and many cancers,will do forensic autopsy ,will know different congenital anomalies za watoto,vtu ambavyo a nurse will not be able to do!!!! Kitu ambacho ungesema tu n kwamba nesi na doctor wote n muhimu ktk kuleta afya ya mgonjwa ila usituaminishe kwamba a nurse knows much than a physician..... Uongo wa wazi juu peleka kolomije huko
 
no kwa chuo kama Kairuki nurse na M.D. wanasoma course sawa kwa mwaka wa kwanza zikiwemo hiyo anatomy theory and dissection
Hata Muhas wanaosoma kozi pamoja ila kwenye dissectional anatomy nurse hagusi...pia general pathology wanasoma wote ila systemic nesi hagusi na wala forensic pathology nesi hagusi....sasa unaanzaje kusema shule ya nesi n sawa na ya Dr?? HV unafkr walioweka Md isomwe miaka 5 na nurse 4 walkuwa wajinga au??? Waljua kabisa a doctor should know many things in treating than a nurse.. Wote n muhimu ktk kazi ila asiseme et nesi is better than a doctor ktk kuhakikisha afya ya mgonjwa...hili ntapinga na siku nikikubali basi mniue tu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Unachikiongea mm sikatai kama sio kweli ila nachokataa mpk kesho n kwamba nursing is better than Md ,hii ntakukatalia tena usiwapotoshe vijana kabisa et wakimbilie kusoma unesi kwa nchi kama Tanzania..hamasisha hukohuko ulaya na marekani ambako mambo ya wanawake yako juu kulko wanaume na sio bongo ......umesema unafanya kazi na madaktari tena kwa kuheshimiana zaidi ,labda nikuulize swali moja..kati ya wew na hao madaktari unafanya nao kazi ni yupi kati yako nawao huwa rahs kumuongoza mwenzie ktk kutibu??
Mm navojua na navoona nesi n muhimu katika kutibu lkn sio muhimu kulko doctor...in health the doctor starts in any health consultation then manesi na waphamasia will do their roles baadae..huwez fananisha kabisa nesi na doctor,maana doctor anajua mambo mengi zaidi ktk kutibu kulko nesi..a doctor will perform major surgeries, will diagnose tumors and many cancers,will do forensic autopsy ,will know different congenital anomalies za watoto,vtu ambavyo a nurse will not be able to do!!!! Kitu ambacho ungesema tu n kwamba nesi na doctor wote n muhimu ktk kuleta afya ya mgonjwa ila usituaminishe kwamba a nurse knows much than a physician..... Uongo wa wazi juu peleka kolomije huko
Chief unavopata tabu kumwelewesha huyo jamaa, mimi nimeona manurse wengi Wana inferiority complex na wengi wagumu kueleweshwa kama huyo jamaa,, chief mimi naona tuwaacha na taaluma yao BUT wasilinganishe na Dr's kwa namna yeyote ile
 
Mimi daktari nayempa heshima zake ni MMED. Sijawahi kutana na MMED mbabaishaji ila hawa wengine wababaishaji wengi
Mkuu hata manesi wanaonekana sio wababishaji kwa sababu they are given everything written... They just follow the instruction...usifkr kujua mgonjwa anachoumwa n kaz rahs mkuu!!!hata ingekuwa wagonjwa mnaenda moja kwa moja kwa manesi ndio ungewaona watakavobabaika .....
 
Chief unavopata tabu kumwelewesha huyo jamaa, mimi nimeona manurse wengi Wana inferiority complex na wengi wagumu kueleweshwa kama huyo jamaa,, chief mimi naona tuwaacha na taaluma yao BUT wasilinganishe na Dr's kwa namna yeyote ile
N kweli mkuu ...ila mm ntamuelewesha hadi aelewe tu maana vijana watapotoshwa bure wakidhan nursing is Better than Md... Uongo huu haupaswi kugumbia macho...kwanza inapaswaa aangalie n kwann watu wanaojiunga kusoma udaktari lazma wafaulu sana a level kulko wale wanaosomea unesi!! Md n ngumu kulko nesi bhc tu watu wanadharau
 
Back
Top Bottom