Vijana tafuteni partner sio mke

Vijana tafuteni partner sio mke

Kama wanawake wamekua wabia ndani ya karakana ya shetani katika kuifanya ndoa kua mwiba mchungu kwa wanaume kwa kuchomekea 50/50, iliyozaa ujuaji, kiburi, jeuri.

Je, Wanaume wangefanyaje basi ?!. huku mifumo ya sheria ikiwakandamiza wanaume, mwanamke anaweza kufanya upuuzi na akaleta jeuri anajua kuna "dawati la jinsia" ambalo kimsingi lipo kumtetea mwanamke na kumkandamiza mwanaume ?!

ndoa nyingi zimekua janga na chanzo ni WANAWAKE na wanalo dawati la kuwatetea. Nawaunga mkono vijana wakiona upepo hauko sawa wasioe, kwanza siku hizi maku zimekua cheap na available na hata wakijaribu kuoa hakuna jipya wanawake wa leo ni mabwawa matupu.

View attachment 2522482

Kwa andiko hili unapwaya kwenye nafasi ya MWANAUME
Jitafute
Jiheshimu
Heshimu wanawake pia
 
Umesema "Mungu anusuru hiki kizazi" Huyo Mungu aliamuru mwanaume aoe mwanamke bikra, sasa hao wanawake bikra wako wapi ulimwengu wa leo ambao hakuna mwanamke ambae hajatoa mimba walau tatu ?!.

Huyo Mungu anusuru kizazi na upinde ila enyi wanake kua makombo machafu ni sawa eti ?!!
 
Nawaunga mkono wanaokataa ndoa, ndoa kwa sasa ni utapeli hususani kwa vijana wa kiume na wanaume.
Kijana wa kiume ukishindwa kabisa kujizuia kutoishi na mwanamke basi tafuta mwanamke atakayekuwa jirani na wewe ambaye atakusaidia mambo fulani yaende.
Usifunge ndoa, Ishi naye akiwa hajui kama ana hadhi ya kuwa mke ama hawara.
Usiwekeze moyo kwa mwanamke na wala usiwekeze Mali kwake. K
Ukiishi naye hivyo hatakusumbua sana kwakuwa anakuwa anajua yeye si mke.
Ishi kwako naye kwake, mpangie huko na asijue Mishe zako nyingi.
Akikuzingua piga chini songa mbele.
Hatufungi ndoa,sababu yakutafuta mke, tunafunga ndoa sababu ya kutunza familia katika maadili.Mtu anayesema ndoa,mbaya na mshangaa sana.Mimi binafsi nitaoa sababu nimelelewa kwenye misingi ya baba na mama.
 
Kwa andiko hili unapwaya kwenye nafasi ya MWANAUME
Jitafute
Jiheshimu
Heshimu wanawake pia

Je ni uongo upi nimesema, kama nimesema ukweli ya nini kunihukumu kua napwaya kama mwanaume ?!

Nyie wanawake kwenu mwanaume hua ni yule anaetetea upumbavu wenu, mwanaume akiwapa ukweli mnamdhihaki na wala hiyo haisaidii. Mapema yote hii badala mwanamke umuandalie mwanaume kifungua kinywa wewe uko mitandaoni unalumbana, hata hivyo ungempata wapi mume ulivyo malayer wa mtandaoni ??!

Jumapili mwanamke mwema anawahi kanisani "Tuwapate wapi wanawake wanaojua kuomboleza" : Malaki Lenyewe mapemaa hiyo mitandaoni kudanga afu linamtaja Mungu anusuru kizazi stupid, dirty, silly, feminist bitch.
 
Hatufungi ndoa,sababu yakutafuta mke, tunafunga ndoa sababu ya kutunza familia katika maadili.Mtu anayesema ndoa,mbaya na mshangaa sana.Mimi binafsi nitaoa sababu nimelelewa kwenye misingi ya baba na mama.
Kuna Jamaa mmoja hapo juu kadai kuwa Wazee wa "KATAA NDOA" wengi ni Mapunga(michicha miba) daaah [emoji1784][emoji30]
 
Je ni uongo upi nimesema, kama nimesema ukweli ya nini kunihukumu kua napwaya kama mwanaume ?!

Nyie wanawake kwenu mwanaume hua ni yule anaetetea upumbavu wenu, mwanaume akiwapa ukweli mnamdhihaki na wala hiyo haisaidii. Mapema yote hii badala mwanamke umuandalie mwanaume kifungua kinywa wewe uko mitandaoni unalumbana, hata hivyo ungempata wapi mume ulivyo malayer wa mtandaoni ??!

Jumapili mwanamke mwema anawahi kanisani "Tuwapate wapi wanawake wanaojua kuomboleza" : Malaki Lenyewe mapemaa hiyo mitandaoni kudanga afu linamtaja Mungu anusuru kizazi stupid, dirty, silly, feminist bitch.
Punguza jazba Ndugu, Ke wengine walisali jana maana si wote ni Waumini katika madhehebu yanayosali Jpili.
 
Nawaunga mkono wanaokataa ndoa, ndoa kwa sasa ni utapeli hususani kwa vijana wa kiume na wanaume.
Kijana wa kiume ukishindwa kabisa kujizuia kutoishi na mwanamke basi tafuta mwanamke atakayekuwa jirani na wewe ambaye atakusaidia mambo fulani yaende.
Usifunge ndoa, Ishi naye akiwa hajui kama ana hadhi ya kuwa mke ama hawara.
Usiwekeze moyo kwa mwanamke na wala usiwekeze Mali kwake. K
Ukiishi naye hivyo hatakusumbua sana kwakuwa anakuwa anajua yeye si mke.
Ishi kwako naye kwake, mpangie huko na asijue Mishe zako nyingi.
Akikuzingua piga chini songa mbele.
Huyo mwanamke wa hivyo labda awe mjane au jishangazi flani hivi. Mtoto wa kike below 25 huwezi mfanya partner bila malengo ya kumvisha pete. Utapoteza sana hela za kodi hizo 😀😀😀
 
Je ni uongo upi nimesema, kama nimesema ukweli ya nini kunihukumu kua napwaya kama mwanaume ?!

Nyie wanawake kwenu mwanaume hua ni yule anaetetea upumbavu wenu, mwanaume akiwapa ukweli mnamdhihaki na wala hiyo haisaidii. Mapema yote hii badala mwanamke umuandalie mwanaume kifungua kinywa wewe uko mitandaoni unalumbana, hata hivyo ungempata wapi mume ulivyo malayer wa mtandaoni ??!

Jumapili mwanamke mwema anawahi kanisani "Tuwapate wapi wanawake wanaojua kuomboleza" : Malaki Lenyewe mapemaa hiyo mitandaoni kudanga afu linamtaja Mungu anusuru kizazi stupid, dirty, silly, feminist bitch.
umepanic sana mkuu,take a chill pill
 
Nawaunga mkono wanaokataa ndoa, ndoa kwa sasa ni utapeli hususani kwa vijana wa kiume na wanaume.
Kijana wa kiume ukishindwa kabisa kujizuia kutoishi na mwanamke basi tafuta mwanamke atakayekuwa jirani na wewe ambaye atakusaidia mambo fulani yaende.
Usifunge ndoa, Ishi naye akiwa hajui kama ana hadhi ya kuwa mke ama hawara.
Usiwekeze moyo kwa mwanamke na wala usiwekeze Mali kwake. K
Ukiishi naye hivyo hatakusumbua sana kwakuwa anakuwa anajua yeye si mke.
Ishi kwako naye kwake, mpangie huko na asijue Mishe zako nyingi.
Akikuzingua piga chini songa mbele.
Nyie ni wale vijana mnavaaga makobazi na soksi na vipensi
 
Kwa andiko hili unapwaya kwenye nafasi ya MWANAUME
Jitafute
Jiheshimu
Heshimu wanawake pia
One thing I know, mpunguze kupeleka lawama zote kwa mwanaume kana kwamba yote yalipoanza kutokea mpaka kufika hapa kwa wanawake hamkuyaona. Implementation za women empowerment ambazo zilivuka mipaka na kuingilia hadi dhumuni halisi ya ndoa, watoto wa kike kulelewa katika maadili yasiyosahihi akiandaliwa kutokumuheshimu mumewe na huku akitegemea atunzwe na sheria zilizotungwa zinazomfanya mwanaume awe obedient more than mwanamke huku yakifumbia macho matatizo mengi wanayofanya wanawake. Mngekuwa kweli nimsaada mngetatua chanzo nasio kutupa lawama. You kill masculinity, blaming it's toxic then expect a man to exercise masculinity, that is madness. Nashuhudia wanawake kwenye maovu hufumbiana macho sana tena hushabikia ila hamtaki kurekebishana. Mnataka msaada kwamtu mliyemfunga, thats not justice or empowerment bali ni uonevu. Tabia nyingi za wanawake za ajabu zimekuwa normalized kwaneno kuwa wanawake ndiyo walivyo then you want to blame a man. Mind you walionormalize ni society na society at large ni women. So take accountability of your actions maana mlianzisha sehemu kubwa ya hayo majanga. Bases ni feminism!
 
Umesema "Mungu anusuru hiki kizazi" Huyo Mungu aliamuru mwanaume aoe mwanamke bikra, sasa hao wanawake bikra wako wapi ulimwengu wa leo ambao hakuna mwanamke ambae hajatoa mimba walau tatu ?!.

Huyo Mungu anusuru kizazi na upinde ila enyi wanake kua makombo machafu ni sawa eti ?!!
Wht Abt you men were you allowed to have a sex with a woman without marriage?,[emoji57] virginity works on both sides
 
Back
Top Bottom