Vijana tafuteni pesa, mapenzi hayana umri ukiwa na pesa

Vijana tafuteni pesa, mapenzi hayana umri ukiwa na pesa

Kuwa na pesa inaweza ikawa ni kigezo cha kuwa na wanawake wengi au yeyote lakini isiwe kigezo cha wewe kupendwa kwa dhati (kutoka moyoni) na hao wanawake.
Hapo ndio tunapokuja kubali kuwa "Pesa ina uwezo wa kununua chakula, ila haina uwezo wa kununua hamu ya kula"

Wengi wamelizwa kwa kuamini kuwa kumiliki pesa ndio kupata mpenzi wa kweli (anae kupenda kutoka moyoni) na matokeo yao wakaambulia maumivu tu.
Nyie mapenzi yaacheni tu, hayanaga formula.

Utaweza kununua penzi lake (ngono) ila hautaweza kununua upendo wake wa dhati kutoka moyoni.
Sana sana atachota pesa kwako atampelekea aliempenda.

Mabilionea duniani wasingeachana, ukiwafatilia utakuta kiuhalisia wanateseka tu kwenye mahusiano au ndoa zao na mpunga wanao.
Unataka kupendwa kwa dhati? Mama yako huyo?
 
Ila watu wa JF bana 50k USD mnaiona ni kubwa Sana wakati Jana nimenunua saa ya diamonds na Ruby yenye thamani ya 400k USD huku Dubey!
 
Kweli mapenzi sio pesa ila pesa inakuweka kwenye nafasi nzuri ya kupigania penzi.

Kaka zangu tafuteni pesa. Mwanaume mwenye pesa haachwi kirahisi huwa anapumzishwa tuu.

Ukiangalia 90% ya wanaume wanaolia lia kuumizwa na mapenzi ni wale kaka zangu mimi pangu pakavu tia mchuzi.

Ukiwa na pesa ni rahisi hata kumpata mwanamke wa ndoto zako.

Pesa haijawahi kushindwa..
 
Kweli mapenzi sio pesa ila pesa inakuweka kwenye nafasi nzuri ya kupigania penzi.

Kaka zangu tafuteni pesa. Mwanaume mwenye pesa haachwi kirahisi huwa anapumzishwa tuu.

Ukiangalia 90% ya wanaume wanaolia lia kuumizwa na mapenzi ni wale kaka zangu mimi pangu pakavu tia mchuzi.

Ukiwa na pesa ni rahisi hata kumpata mwanamke wa ndoto zako.

Pesa haijawahi kushindwa..
Kuna movie niliangalia, kijana tajiri alikua anatafuta mchumba. Alikwenda mbali kutafuta chumba na kuishi kisela ili ampate mke atakae mpenda kimapenzi.

Alimuangukia beauty Queen mmoja mtaani, dada alikataa katakata akidai hataki kuambukizwa umasikini. Mwanaume anapikia jiko la mafuta hata jiko la gas hana.

Alikuja kupendwa na dada mmoja na alimuoa. Siku ya harusi ndiyo watu walijua bwana harusi ni tajiri. Beauty Queen alikunywa sumu kuona alitupa kipande cha almasi chooni.
 
Kuna movie niliangalia, kijana tajiri alikua anatafuta mchumba. Alikwenda mbali kutafuta chumba na kuishi kisela ili ampate mke atakae mpenda kimapenzi.

Alimuangukia beauty Queen mmoja mtaani, dada alikataa katakata akidai hataki kuambukizwa umasikini. Mwanaume anapikia jiko la mafuta hata jiko la gas hana.

Alikuja kupendwa na dada mmoja na alimuoa. Siku ya harusi ndiyo watu walijua bwana harusi ni tajiri. Beauty Queen alikunywa sumu kuona alitupa kipande cha almasi chooni.
Dooh
 
Ndio ile uko na mpenz wako unaumwa hoi yeye anachezea simu yuko instgm ana selfie tuu...utaumia kisaikolojia had uchanganyikiwe...well..nahis hata hao matajiri wanafaham hilo kuwa hawapendwi ila na wao wanatafta utamu tuu
KWELI kabisa,
Pesa Ni sabuni ya roho

Na ndo maana Ni wepesi Sana kuhonga pesa.

Iyo roho ata iwe ngumu vipi italainika TU[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi humu ndani kuna mabilionea au lakionea [emoji1787][emoji1787]
Mkuu nimetolea mfano tu, so kama pesa hata baadhi ya wanawake wanazo za kutosha tu, wanaume wa dizaini kama nyie/ mitazamo kama yenu mlio kalilishwa kuwa kumiliki mwanamke mpaka uwe na pesa ndio huwa mnawaogopa sana wanawake wenye uchumi wao tayari, maana unamuona kashakuzidi uchumi na wewe ulishakalilishwa kuwa kumpata mwanamke mpaka uwe na pesa. Wajanja mjini ndio wanaoopoa pisikali wenye mikwanja yao.
(Yaani wanakula kuku na mayai yake)
Mwanaume rijali mwenye confidence huwa hategemei amiliki uchumi ndio aweze kumiliki mwanamke wa ndoto yake.
 
Trust Me Kuna baadhi ya wanaume wanawaogopa Sana wanawake mjini wenye uchumi wao, makampuni yao n.k. wengi wanaishia kutafuta wanawake waliowazidi japo kidogo ili wawatawale hawajiamini[emoji1787][emoji1787] kwakua hawana pesa
Kuna wanawake waliotayari na uchumi na wanatafuta real gentlemen (mwenye kukujiamini)
 
Back
Top Bottom