Vijana tafuteni pesa, mapenzi hayana umri ukiwa na pesa

Vijana tafuteni pesa, mapenzi hayana umri ukiwa na pesa

Kuwa na pesa inaweza ikawa ni kigezo cha kuwa na wanawake wengi au yeyote lakini isiwe kigezo cha wewe kupendwa kwa dhati (kutoka moyoni) na hao wanawake.
Hapo ndio tunapokuja kubali kuwa "Pesa ina uwezo wa kununua chakula, ila haina uwezo wa kununua hamu ya kula"

Wengi wamelizwa kwa kuamini kuwa kumiliki pesa ndio kupata mpenzi wa kweli (anae kupenda kutoka moyoni) na matokeo yao wakaambulia maumivu tu.
Nyie mapenzi yaacheni tu, hayanaga formula.

Utaweza kununua penzi lake (ngono) ila hautaweza kununua upendo wake wa dhati kutoka moyoni.
Sana sana atachota pesa kwako atampelekea aliempenda.

Mabilionea duniani wasingeachana, ukiwafatilia utakuta kiuhalisia wanateseka tu kwenye mahusiano au ndoa zao na mpunga wanao.
Mapenzi pesa utampataje sasa uyo mwanamk bila pesa
[/QUOTE]
unahitaji mapenzi ya kweli ili iweje. achana na hizo dhana
kwanza hakuna kitu kinaitwa mapenzi ya kweli kwa binadamu. uigizaji tu
 
Mwanadada Regina Daniels(21) asherehekea mume wake huyo Ned Nwoko(61) kumtumia zawadi ya Xmas dola $50,000 ambazo ni zaidi ya milioni 115 za Kibongo. Mrembo huyo ambaye ni mwigizaji maarufu Nigeria ametupia screenshot ya hamisho la pesa hizo

Wawili hao walifunga ndoa 2019 na wana mtoto mmoja, hata hivyo, Regina Daniels anatajwa kuwa ni mke wa 6 wa mfannyabishara huyo tajiri mwenye wake wengine na watoto mbalimbali

Kwa upande wako wewe eti sikukuu hii mpenzi wako kakupa zawadi gani?

View attachment 2058974


Kuna binti jirani yangu alikuwa kisu na kumbuka nipo Advance yy O-Level, mtoto mweupe guu guu, tako la maana ,mzee wake kaweka fensi kubwa.

Mabrother man walikuwa hawakauki asubuhi mpaka jioni, kipindi hiko shule imeninyoosha, pamba zenyewe za Karume, dem ukimsalimia ana kuchunia. Alikuwa na boyfriend wake wanasoma shule moja kipindi cha likizo walikuwa wanakutana kwenye mgahawa full kulana mate.

Nimeenda chuo ile nimemaliza, ukapita kama miaka miwili na muona siku hiyo yupo na babu fulani wana ongozana, babu kala pesi, tshirt, shingoni kala cheni. Ndipo na pewa story yake,yule babu ndiye mumewe na mzee alivyo kuwa mafia, kampiga mimba mbili za faster na mpaa na vitz. Yule boyfriend kumbe alikatiwa Mawasiliano, ila kijana nasikia ni kidumu cha yule binti siku hizi.

Mabinti wanao chagua kustick na true love mbele ya pesa kati ya 1000 hawazidi 3.
 
Sema nini?? Pesa muhimu wahuni! Kuna watu wanasema ooh sijui pesa hainunui upendo wa kweli,, kwahyo umaskini unanunua upendo wa kweli au?!! Cha muhimu,,muhuni pesa iwepo na na urijali uwepo!!! Wanawake wako hivi; Mwanamke pesa ikiwepo ata-demand mapenzi ya dhati na kuridhishwa kimapenzi,,Mapenzi ya dhati na kuridhishwa kimapenzi ikiwepo ata-demand pesa! Ukiweza kumpatia vyote hivyo viwili kuna uwezekano mkubwa wa yeye kutulia na wewe unless awe tu na sifa za umalaya!!
Kuwa na pesa ndo kuanzia sh ngap?maana naona tu kelele kuwa tutafute hela wkt hatujaweka max or min
 
Wake 6 huyu ndo kidume Sasa, sio sisi wa humu tunaosema kuwa na mke mmoja Ni discipline.
 
Mwanadada Regina Daniels(21) asherehekea mume wake huyo Ned Nwoko(61) kumtumia zawadi ya Xmas dola $50,000 ambazo ni zaidi ya milioni 115 za Kibongo. Mrembo huyo ambaye ni mwigizaji maarufu Nigeria ametupia screenshot ya hamisho la pesa hizo

Wawili hao walifunga ndoa 2019 na wana mtoto mmoja, hata hivyo, Regina Daniels anatajwa kuwa ni mke wa 6 wa mfannyabishara huyo tajiri mwenye wake wengine na watoto mbalimbali

Kwa upande wako wewe eti sikukuu hii mpenzi wako kakupa zawadi gani?

View attachment 2058974
Miaka 61 ni mstaafu umri wa pinda
 
Back
Top Bottom