Vijana tufanye kazi nyingine, hamna tajiri Tanzania aliyetajirika na Forex

Vijana tufanye kazi nyingine, hamna tajiri Tanzania aliyetajirika na Forex

Bongo zozo anawaingiza king wazungu wana siri zao, hiyo forex anatrade saa ngapi na muda mwingi yupo kwenye misele maeneo mbalimbali?

Tena yeye amesema yupo kwenye Bitcoin lakini ni longolongo utakuta mwenzio anakula urithi alioacha Babu yake.
Ndiyo maana mnapurulwa vijisenti vyenu. Watu wenye mitaji yao wanatrade daily, weekly na monthly time frames. Anaweka set up zake mbili hadi nne kwa mwezi kwa lot ya kutosha halafu anaendelea na mishe nyingine za kitaa na anapiga hela ndefu bila kukaa kwenye computer muda mwwingi. Sisi na vimitaji vyetu vya dola 10 tunatrade 5min had 1hour ambako ni chenga tupu na muda wote macho kwanye kioo na mouse mkononi. Wengine wamepata hadi matatizo ya macho kwa kukaa sana kwenye screen. TRADE SMART NOT HARD.
 
Hesabu si kamali linakua na jibu na nji zza hesabu ziko bayana ushindwe wewe!! Sasa forex haina njia za uhakika apo apo unaambiwa muda wwote inaweza kubadilisha ulekeo bila hata indication!!!
Sasa mbona wengi hawazipendi hesabu na wanafeli sana japokuwa njia zake zipo bayana? Hata fx njia zake zipo bayana kwa wanajibidisha ila kwa wavivu na wataka mafanikio ya fasta lazima fx iwapige cha nyuma
 
Unajichosha kuelezea uzuri wa hio FX kwanini nasema hivi

"Binadamu hupendi kuambiwa anachotaka kusikia...kabla hata hujasema mwenzio ana expectations zake"

Unaumiza kichwa kumuambia mtu kitu asichotaka kuelewa .Mimi nilishachaana na huu ujinga hata kwenye mambo mengi.


FX traders pigine pips kimya kimya acheni kelele nobody will understand you.

Take your ups and downs personally, silently wachieni mambo yao kama watavyokuachia mambo yako usijiumize kichwa
 
Sema nini watu wanaliwa sana vichwa huko forex.. mimi kwa uzoefu wangu mdogo kinachopoteza wengi ni emotions na mitaji midogo...

Ila kama issue imekushinda usicoclude kwamba hakuna watu wanaotengeneza hela, mimi nilijaribu huo mchezo 2017, ila baada ya muda nikapiga hesabu nikakuta deposits ni nyingi kuliko withdraw nikapiga chini toka siku hiyo. Nilipopata alternative ya blogging sikurud tena mpaka leo.

Ila naona vijana bado wanakomaa, mm kuna dogo huwa namuuzia usd mpka 400 kila wiki, na ananunua toka kwa watu tofauti kuna muda ananunua mpka usd 10k na zote zinaenda fx, nyingine anaziuza na nyingine anadeposit yeye mwenyewe.

Kwahiyo nilichoona fx kuna watu inawalipa ndo maana soko la hizi usd halijawahi kauka.

Kama umeona kwako haiwezekani ni jambo jema, fanya mambo mengine.

Cjaelewa unamuuziaje usd 400, kwan hela yote c iko kwa mtandao!! From bank acc unadeposity!!?

Au yy huwa ananunua paper money
 
kwa mwaka huu kwa mwaka huu wacha nile pips kimya kimya tu muda wa uanze kumwaminisha mtu nishauacha tangu mwaka jana
 
"Ujana ugonjwa" forex ni aina ya kisasa ya upatu "ponzi scheme" ...... unamshawishi boya unampiga,huyo boya aliyepigwa nae anatafuta boya mwingine anampiga.
 
ONTARIO na lile life style la viwanja . Za chini nasikia yule dogo wa landcruiser sijui ndo richlitforex kashapiga watu 😀😀😀

makundi mawili yaliyo vichwa ngumu

(1) wanawake wasiolewa kwa kumuamini mwamposa huwaambii kitu
(2)vijana wa chuo na forex&betting
 
ONTARIO na lile life style la viwanja . Za chini nasikia yule dogo wa landcruiser sijui ndo richlitforex kashapiga watu 😀😀😀

makundi mawili yaliyo vichwa ngumu

(1) wanawake wasiolewa kwa kumuamini mwamposa huwaambii kitu
(2)vijana wa chuo na forex&betting

he he he
 
unapoenda Bank yoyote kununua au kuuza foreign currency tayari umetrade, sasa nashindwa kuelewa huo upatu unatoka wapi hapo.
Shida inakuja pale mtu anaweka $100 anataka baada ya dak 60 akute $150 na huo ndio nauita upatu.
Kiujumla mm nilitrade na nilipoteza $150 nakuamua kutuliza kichwa kutafakari wapi nakosea.
 
Back
Top Bottom