Vijana tupo kwenye kizazi kigumu sana

Vijana tupo kwenye kizazi kigumu sana

Paul dybala

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2023
Posts
524
Reaction score
2,097
Hivi hawa dada zetu mtaani ni nani kawaambia kuwa mwanaume akiwatongoza muda huohuo waanze kuomba pesa?

Hivi mtu nimeonesha nia tu ya kukutaka hata papuchi nimeona sio kipaumbele kwanza...sababu nataka tujenge mahusiano kwanza mtu anashindwa kujikaza kusubiri hata wiki iishe wakuu.

Yani kwa tafiti ndogo niliyoifanya ndani ya wadada watano, aisee hakuna ambae hakuomba hela Pele baada ya tulivomaliza tu kutongozana

Kizazi cha ajabu sana sijui nani yuko nyuma ya haya maswala.

Screenshot_20240716_201500_Messages.jpg
 
Hivi hawa dada zetu mtaani ni nani kawaambia kuwa mwanaume akiwatongoza mda huohuo waanze kuomba pesa?
Hivi mtu nimeonesha nia tu ya kukutaka hata papuchi nimeona sio kipaumbele kwanza...sababu nataka tujenge mahusiano kwanza mtu anashindwa kujikaza kusubiri hata wiki iishe wakuu...
Yani kwa tafiti ndogo niliyoifanya ndani ya wadada watano ...aisee hakuna ambae hakuomba hela Pele baada ya tulivomaliza tu kutongozana

Kizazi cha ajabu sana sijui nani yuko nyuma ya haya maswala....
Walioko nyuma ya hii Kadhia ni Wamarekani😅😅
 
Back
Top Bottom