Vijana tupo kwenye kizazi kigumu sana

Vijana tupo kwenye kizazi kigumu sana

Kuna lingne juz nlikutana nalo nkapga nalo story nkaliomba namba likanpa zkapta kama sku 3 si nkatext kulipa hi, we likaniulza npo wp nkalijbu si likanambia eti lina chakula ila halina mboga nlinunulie lost yan nlicheka sn nikalijbu kwa kfupi si rahis kama anavyodhania..
Acha uchoyoo weyeee!!!
 
Ila uchafu unaoitwa wanaume ndo unaotaka kuusikia?
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Mwanamkeni shetani anayetembea Dunia na makalio makubwa na uchafu wake..ni loophole ya shetani tokea kale na kale..Na ipo hivi mwanaume mwenye akili hafungi ndoa,na mwenye akili zaidi hawaoi kabisa na SUPER genius haoi wala hafanyi mapenzi,na wanaume waliogundua mambo makubwa duniani hawajawahi kuishi wala kufanya mapenzi na kiumbe kinachoitwa mwanamke..mfano Galilee Galileo,Sir.Isack Newton,Father of mathematics n.k
 
Mwanamkeni shetani anayetembea Dunia na makalio makubwa na uchafu wake..ni loophole ya shetani tokea kale na kale..Na ipo hivi mwanaume mwenye akili hafungi ndoa,na mwenye akili zaidi hawaoi kabisa na SUPER genius haoi wala hafanyi mapenzi,na wanaume waliogundua mambo makubwa duniani hawajawahi kuishi wala kufanya mapenzi na kiumbe kinachoitwa mwanamke..mfano Galilee Galileo,Sir.Isack Newton,Father of mathematics n.k

We utakuwa ni upinde mkuu sema tuishi nao kwa akili. Hawo wasomi na wakubwa ujui behind their scene mkuu
 
Hivi hawa dada zetu mtaani ni nani kawaambia kuwa mwanaume akiwatongoza muda huohuo waanze kuomba pesa?

Hivi mtu nimeonesha nia tu ya kukutaka hata papuchi nimeona sio kipaumbele kwanza...sababu nataka tujenge mahusiano kwanza mtu anashindwa kujikaza kusubiri hata wiki iishe wakuu.

Yani kwa tafiti ndogo niliyoifanya ndani ya wadada watano, aisee hakuna ambae hakuomba hela Pele baada ya tulivomaliza tu kutongozana

Kizazi cha ajabu sana sijui nani yuko nyuma ya haya maswala.

View attachment 3044156
Huenda inatokana na tatizo la ukosefu wa ajira kwahiyo wamechagua kuwa omba omba kujiingizia kipato.
Pia kuna mdau aliwahi kuleta mada humu kuwa pisi kali wengi shuleni huwa vilaza. Kwa minajili hiyo kama umekutana na demu mkali tena alikuwa kilaza shule maana yake hana hata cheti cha kumkomboa kwenda kutafuta ajira yenye kipato cha kueleweka kwakuwa alikuwa kilaza na usikute hata alizungusha.
Kwa mantiki hiyo demu wa hivyo atakuwa mdangaji mpaka atakapokutana na bwege atakayebabaika naye na kumuoa.
 
We? Speak for yourself. Acha watu watoe ya moyoni. Ndio maana watu wameamua kutoka na mataifa mengine sasa hivi. Huku nyumbani wamezidi kuomba hela.
Ukiona mtu topic hajaandikiwa yeye halafu anajifanya imemgusa then jua ujumbe umefika penyewe.
 
Ukiona mtu topic hajaandikiwa yeye halafu anajifanya imemgusa then jua ujumbe umefika penyewe.

E bhana hilo wala sikulifiria before. Kasema wamechoshwa na threads za aina hii. Kweli inawezekana na yeye walewale, kikosi cha mizinga
 
Hivi hawa dada zetu mtaani ni nani kawaambia kuwa mwanaume akiwatongoza muda huohuo waanze kuomba pesa?

Hivi mtu nimeonesha nia tu ya kukutaka hata papuchi nimeona sio kipaumbele kwanza...sababu nataka tujenge mahusiano kwanza mtu anashindwa kujikaza kusubiri hata wiki iishe wakuu.

Yani kwa tafiti ndogo niliyoifanya ndani ya wadada watano, aisee hakuna ambae hakuomba hela Pele baada ya tulivomaliza tu kutongozana

Kizazi cha ajabu sana sijui nani yuko nyuma ya haya maswala.

View attachment 3044156
Kila mtu hutafuta kile asichonacho.
Dadaz wengi wa kiswahili mafukara njaa kali wananuka njaa.
Ndio maana pesa wameweka mbele.
 
Aufuate uo umeme ili mpeane aina mbili za umeme, umpe wa luku nayeye akupe ule mwingine.
 
Mwanamkeni shetani anayetembea Dunia na makalio makubwa na uchafu wake..ni loophole ya shetani tokea kale na kale..Na ipo hivi mwanaume mwenye akili hafungi ndoa,na mwenye akili zaidi hawaoi kabisa na SUPER genius haoi wala hafanyi mapenzi,na wanaume waliogundua mambo makubwa duniani hawajawahi kuishi wala kufanya mapenzi na kiumbe kinachoitwa mwanamke..mfano Galilee Galileo,Sir.Isack Newton,Father of mathematics n.k
Bila watu kuoana na kufanya mapenzi Galileo Galilei,Isaac Newton,Arsitotle wangezaliwajwe!?
Kila binadamu ana thamani yake,kama wanawake takataka hata MAMA YAKO MZAZI ALOKUBEBA TUMBONI MIEZI TISA NAYE NI TAKATAKA.
Makosa ya baadhi ya wanawake usihukumu wanawake wengine wastaarabu wanaojielewa.
Kuna wanawake wanahudumia,wanajitoa kwa wapenzi wao,wanawapambania wapenzi wao na pia wamediriki kukubali kuwa watumwa kwa wanaume zao,je hao unawazungumziaje!??

Unaonekana kijana hujamaliza balehe wewe,mwanaume anayejielewa na aliye na akili timamu hawezi kumuita mwanamke takataka ilhali yeye pia anaye mama kazaliwa na huyo mama.

Aibu yako aibu yako kijana.Jifunze busara na hekima.
 
Hivi hawa dada zetu mtaani ni nani kawaambia kuwa mwanaume akiwatongoza muda huohuo waanze kuomba pesa?

Hivi mtu nimeonesha nia tu ya kukutaka hata papuchi nimeona sio kipaumbele kwanza...sababu nataka tujenge mahusiano kwanza mtu anashindwa kujikaza kusubiri hata wiki iishe wakuu.

Yani kwa tafiti ndogo niliyoifanya ndani ya wadada watano, aisee hakuna ambae hakuomba hela Pele baada ya tulivomaliza tu kutongozana

Kizazi cha ajabu sana sijui nani yuko nyuma ya haya maswala.

View attachment 3044156
Dunia ngumu hii!
 
Back
Top Bottom