Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 524
- 2,097
Hata kama mkuu...si ajikaze tu nisingemtongoza sasaNunua umeme mkuu hakuna chupi ya bure nowdays
sex in exchange of money is equal to prostitution ....kuwa makini aisee😀😀Nunua umeme mkuu hakuna chupi ya bure nowdays
Washanipiga sana za uso hawa viumbe saivi naishi kitasha😀😀😀 sema uyo mwamba nae amekaa kitaalamu.
🏃Mnunulie 15k sio ishu alafu msubiri atakuja na stori gani nyingine
Pointohohoh, ukituma we ni boya, vunga vunga kwanza. WANAWAKE WANA NJAA SANA.
Walioko nyuma ya hii Kadhia ni Wamarekani😅😅Hivi hawa dada zetu mtaani ni nani kawaambia kuwa mwanaume akiwatongoza mda huohuo waanze kuomba pesa?
Hivi mtu nimeonesha nia tu ya kukutaka hata papuchi nimeona sio kipaumbele kwanza...sababu nataka tujenge mahusiano kwanza mtu anashindwa kujikaza kusubiri hata wiki iishe wakuu...
Yani kwa tafiti ndogo niliyoifanya ndani ya wadada watano ...aisee hakuna ambae hakuomba hela Pele baada ya tulivomaliza tu kutongozana
Kizazi cha ajabu sana sijui nani yuko nyuma ya haya maswala....
Huyo ni mfagiaji hapo nssf, mlinzi au ni mwajiriwa proffesional
Itakuwa mkuu...Walioko nyuma ya hii Kadhia ni Wamarekani😅😅
Hii sasa imezisi kipimo......unapochukua namba tu tayari anaona ameongeza Vyanzo vya mapato.ohohoh, ukituma we ni boya, vunga vunga kwanza. WANAWAKE WANA NJAA SANA.
Utaliwa kichwa mchana kweupeHivi hawa dada zetu mtaani ni nani kawaambia kuwa mwanaume akiwatongoza mda huohuo waanze kuomba pesa?
Hivi mtu nimeonesha nia tu ya kukutaka hata papuchi...
Huyo ni mfagiaji hapo nssf, mlinzi au ni mwajiriwa proffesional