Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
We are fed up with with these topics,
🤣🤣Nunua umeme mkuu hakuna chupi ya bure nowdays
Kweli mambo magumu, hata hivyo tuna miezi mitano hatujalipwaHuyo ndio General manager wa hapo.
Kuzini ni dhambi so ni bora akuombe tu helasex in exchange of money is equal to prostitution ....kuwa makini aisee😀😀
mkuu uniwekee site hapa hao wa kimataifa, hawa wabongo nimeshachoka mim🚮We? Speak for yourself. Acha watu watoe ya moyoni. Ndio maana watu wameamua kutoka na mataifa mengine sasa hivi. Huku nyumbani wamezidi kuomba hela.
Yes your very right hujakosea mf. Mie i am tired of these niggas for sure hata nyie mnataka vya bure sio tu sisi mtu anasema my dear naomba tuchangie pesa fulani tufanye jambo unampa halafu hajui huna kazi zakuajiriwa unasota kupata hata buku anachukua anaenda kufungua duka kila kukicha faida niwadada wengine unachoka kabisa etiWe? Speak for yourself. Acha watu watoe ya moyoni. Ndio maana watu wameamua kutoka na mataifa mengine sasa hivi. Huku nyumbani wamezidi kuomba hela.
Not for allWomen bring love to the table and they expect Men to bring a nice car, a house and more money to the table in exchange for their empty vacuous emotional construct called "Love" which brings Nothing but Bills to the table.
Wake up Gentlemen, Love is a Scam.
Love is the mutual exchange of corresponding value.Not for all
Hata ukiandika mada 1000 hawataacha kamwe, labda wabadilishwe jinsia na wao waote duduWe? Speak for yourself. Acha watu watoe ya moyoni. Ndio maana watu wameamua kutoka na mataifa mengine sasa hivi. Huku nyumbani wamezidi kuomba hela.
Hata ukiandika mada 1000 hawataacha kamwe, labda wabadilishwe jinsia na wao waote dudu
Hizi mada zimejaa humu
Ukikutana na chenga si ndio unahonga haswaa ila sasa naona uko kwenye buttiNdio maana wanaume wanazidi kuwa maskini kuliko wanawake kwasababu tunachunwa sana...hizi takataka zinazoitwa wanawake sitaki kuzisikia kabisa
Nimewaza hivyo piaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo ni mfagiaji hapo nssf, mlinzi au ni mwajiriwa proffesional
Ila uchafu unaoitwa wanaume ndo unaotaka kuusikia? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana wanaume wanazidi kuwa maskini kuliko wanawake kwasababu tunachunwa sana...hizi takataka zinazoitwa wanawake sitaki kuzisikia kabisa