Vijana tusiozidi miaka 25 ambao tupo humu JF tukutane hapa

Vijana tusiozidi miaka 25 ambao tupo humu JF tukutane hapa

Hahaha nimecheka saana aseeh.

Kwamba kwenye comments ulikuwa unajipa maujiko hatari??? Ulikuwa unajisifia kwa yapi mkuu labda nami nijaribu mbinu.


Kwa hiyo sasa unamlia buyu tu...ila yeye haijui hii ID.
[emoji23] [emoji23] mzee Google ilikuwa inafanya kazi..
mtu akiuliza swali au kuomba msaada Mimi fasta nakimbilia Google nameza wee.then nakuja kuyatema
kule intelligence nilikuwa napeleka habari copy&paste kutoka Google na mitandao mingine. then source nikawa najiweka Mim...yaani kama habari inahusu hivi bhasi nitaiongezea chumvi+kujipa masifa
hali ile iliniongezea wafuasi sanaa..na wengi kuniamini na hata baadhi ya thread kuni mention [emoji23] [emoji23] [emoji23]ukiwa MJANJA jf rahaaa Sanaa ...
yaani laiti wangekuwa wanatambua kuwa alikuwa ni mtoto mdogo...
sema ukitaka kupata watu uwe mtu wa attention ...
Mimi nilikuwa na attention sanaa so ilikuwa easy sanaa kuingia Pm ya manzi na kumpiga swagz+manjonjo
kumbe holaa tuu..

haha namlia buyu ndiyo japo bado yupo humu na i'd yake sema na mvungia tu lakini bahati nzuri hajuh hii I'd labda aperuzi humu akumbuke hiki kisa....

ahaa mkuu hii ni I'd ya 3...
ile ambayo nilianzisha nikiwa 4m 4 ndiyo nilipata huyo mmama nilikuwa ndo nabalehe so swagz nyingi sana
kwa wadada sema nilikuwa nawapata shida age na maujiko yangu yalikuwa ni inversely kabisa ..

first time kuwa jf nilikuwa darasa la 6 hii I'd na password nilizisahau

second time kuwa jf ni 2012 baada ya kumaliza 4m 4 na hiyo I'd ndo ilikuwa ina Kiki bado naikumbuka sema naihifadhi huwa naiperuzi mara chache sanaa

third time. 2014 mpaka sasa...hii ndiyo imebadilishwa I'd zaid ya mara 20 kila nikiharibu sehemu nabadili I'd
 
[emoji23] [emoji23] mzee Google ilikuwa inafanya kazi..
mtu akiuliza swali au kuomba msaada Mimi fasta nakimbilia Google nameza wee.then nakuja kuyatema
kule intelligence nilikuwa napeleka habari copy&paste kutoka Google na mitandao mingine. then source nikawa najiweka Mim...yaani kama habari inahusu hivi bhasi nitaiongezea chumvi+kujipa masifa
hali ile iliniongezea wafuasi sanaa..na wengi kuniamini na hata baadhi ya thread kuni mention [emoji23] [emoji23] [emoji23]ukiwa MJANJA jf rahaaa Sanaa ...
yaani laiti wangekuwa wanatambua kuwa alikuwa ni mtoto mdogo...
sema ukitaka kupata watu uwe mtu wa attention ...
Mimi nilikuwa na attention sanaa so ilikuwa easy sanaa kuingia Pm ya manzi na kumpiga swagz+manjonjo
kumbe holaa tuu..

haha namlia buyu ndiyo japo bado yupo humu na i'd yake sema na mvungia tu lakini bahati nzuri hajuh hii I'd labda aperuzi humu akumbuke hiki kisa....

ahaa mkuu hii ni I'd ya 3...
ile ambayo nilianzisha nikiwa 4m 4 ndiyo nilipata huyo mmama nilikuwa ndo nabalehe so swagz nyingi sana
kwa wadada sema nilikuwa nawapata shida age na maujiko yangu yalikuwa ni inversely kabisa ..

first time kuwa jf nilikuwa darasa la 6 hii I'd na password nilizisahau

second time kuwa jf ni 2012 baada ya kumaliza 4m 4 na hiyo I'd ndo ilikuwa ina Kiki bado naikumbuka sema naihifadhi huwa naiperuzi mara chache sanaa

third time. 2014 mpaka sasa...hii ndiyo imebadilishwa I'd zaid ya mara 20 kila nikiharibu sehemu nabadili I'd
Aseeh wewe ni nooma na fix zako.
 
Mkuu kuwa na amani tuu
Your a great thinker.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yupo humu...Yule mmama alitokea kunielewa sanaa.shida nilikuwa najipaisha sanaaa kumbe holaa....
ya mkini kama ningwambia ukweli ningepata vingi toka kwake..coz alitokea kuniamini sanaaa...na kunishirikisha mambo yake mengi...
na yeye ndiyo aliomba kuonana na Mimi.
shida baada ya kukutana yeye kashuka kwenye gari Mimi nipo na MIGUU. mbaya zaidi umri ulikuwa mdogo ndo nimemaliza 4m 4. .ukicheki yeye muajiriwa na mfanyabiashara

Alibaki kushangaa sanaa na kutoamini kuwa kumbe alikuwa anachat na katoto na kumwambia mambo yake..
alinilaumu snaa Y? nilikuwa na mdanganya...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Nikaona huu msalaa maana ndizo zilikuwa swaga zangu enzi hizo kwa mademu wa humu..
na isitoshe alisema ataleta ushuhuda na kuniponda +kunianika jukwaani
nikasema heri lawama kuliko fedhea nika mute kuingia humu...
 
[emoji23] [emoji23] mzee Google ilikuwa inafanya kazi..
mtu akiuliza swali au kuomba msaada Mimi fasta nakimbilia Google nameza wee.then nakuja kuyatema
kule intelligence nilikuwa napeleka habari copy&paste kutoka Google na mitandao mingine. then source nikawa najiweka Mim...yaani kama habari inahusu hivi bhasi nitaiongezea chumvi+kujipa masifa
hali ile iliniongezea wafuasi sanaa..na wengi kuniamini na hata baadhi ya thread kuni mention [emoji23] [emoji23] [emoji23]ukiwa MJANJA jf rahaaa Sanaa ...
yaani laiti wangekuwa wanatambua kuwa alikuwa ni mtoto mdogo...
sema ukitaka kupata watu uwe mtu wa attention ...
Mimi nilikuwa na attention sanaa so ilikuwa easy sanaa kuingia Pm ya manzi na kumpiga swagz+manjonjo
kumbe holaa tuu..

haha namlia buyu ndiyo japo bado yupo humu na i'd yake sema na mvungia tu lakini bahati nzuri hajuh hii I'd labda aperuzi humu akumbuke hiki kisa....

ahaa mkuu hii ni I'd ya 3...
ile ambayo nilianzisha nikiwa 4m 4 ndiyo nilipata huyo mmama nilikuwa ndo nabalehe so swagz nyingi sana
kwa wadada sema nilikuwa nawapata shida age na maujiko yangu yalikuwa ni inversely kabisa ..

first time kuwa jf nilikuwa darasa la 6 hii I'd na password nilizisahau

second time kuwa jf ni 2012 baada ya kumaliza 4m 4 na hiyo I'd ndo ilikuwa ina Kiki bado naikumbuka sema naihifadhi huwa naiperuzi mara chache sanaa

third time. 2014 mpaka sasa...hii ndiyo imebadilishwa I'd zaid ya mara 20 kila nikiharibu sehemu nabadili I'd
Ila unajiamini...kwa hiyo ukamtoa mmama wa watu kwake na gari yake...wewe unajitembeza kwa mguu? Tehtehteh.
 
Big brain matter more
Kumbe tunabishana na vitukuu wetu sometimes.....kweli jf ni uwanja huru,
yaani wakati mwingine unamwita mtu MKUU kumbe ni mwanao wa kumzaa.
 
Vizuri mkuu
Jf niliifahamu kipindi nipo form 4, awamu ya pili ya J.K. Nilikuwa msomaji tuuu mpaka nilipomaliza form 6 ndiyo nikajiunga kwa mara ya kwanza.
Siku ya kwanza tu kuweka bandiko humu nilijibiwa "pumba" na mkuu bulldog, nilipanic sana ila baadae nikajifunza namna ya ku-handle matters online.

Nipo ghetto naendelea na harakati za kuboresha kesho yangu, chuo nimeshamaliza tayari ila mambo bado hayajawa "mswanu", tunakomaa kimtaa-mtaa.
 
Uko vizur mkuu.
Juhud hufanya malengo yatimie.
And big brain matter more
Niliijua JF kwakua mimi ni mtu wa kusoma soma online nilikua namsoma Dinahcious & co kuna siku nikiwa nasearch online story yenye kutisha ikaja link ya jf. Nilivyoingia na kuzidi kuperuzi nikakuta stori ya jamaa ambaye alitaitiwa na vibaka akiwa na mpenzi wake wakataka kumlawiti mshkaji, jamaa akakimbia akamuacha mke.

Niko mtaani, najitegemea ila soon narudisha mpira kwa kipa.

Kwa wazee ilinibidi tu nitoke sikua na option. Ila sitaelezea kilichotokea.

Bado nasota mtaani.

Sijaoa. Sipo single.
 
Tuliza kishimo hicho wewe mtoto wa kiume/sjui wa kike!!! Where is the crime there? You don't know me well...kama unataka battle na mimi sema ila utaumbuka.
Nikufahamu/Nisikufahamu/ uwe mkubwa au mdogo... Me nakuchana tyuuuuuu
 
Ni kweli wakuu, kuna viumbe humu umri umeenda wakiona mada za vijana huwa nikujibu pumba tu.


Kama wew ni Rika tajwa hapo juu.
Usisahau ku subscribe uzi huu.
Jf niliifahamu kipindi nipo form 4, awamu ya pili ya J.K. Nilikuwa msomaji tuuu mpaka nilipomaliza form 6 ndiyo nikajiunga kwa mara ya kwanza.
Siku ya kwanza tu kuweka bandiko humu nilijibiwa "pumba" na mkuu bulldog, nilipanic sana ila baadae nikajifunza namna ya ku-handle matters online.

Nipo ghetto naendelea na harakati za kuboresha kesho yangu, chuo nimeshamaliza tayari ila mambo bado hayajawa "mswanu", tunakomaa kimtaa-mtaa.
Vizuri mkuu
 
Tupo hapa,,,

Wengine Mitaa haitaki kutuelewa.

Wengine tupo tupo tu Utadhani tumetoka Jeshi la Wafu.

Wengine tunaota ndoto zilizolowa ya kwamba kabla ya kufikia Miaka Thelathini na tano tutakuwa Mabilionea.

Dunia Tambara bovu,

Mapambano yanaendelea:
 
Kumbe Daby mzee baba wewe ni chalii...
Mi nilidhani avatar yako inaakisi rika lako
 
Naweza kusema kuwa Mimi.ndiyo nilikuwa member mdogo sanaa lakini michango yangu ilikuwa kama.mtu mwenye master

niliifahamu jf nikiwa darasa la 5 enzi hizo tunafundishwa somo la TeHAMa
nikiwa darasa la 6 2007 ndipo nikajiunga na jf...enzi hizo kumiliki email na interview kwangu mimi haikuwa inshu...

baada ya harakati za maisha + O level nikasahau username na password coz ilikuwa kitambo kweli

mwaka 2012 nikiwa nimemaliza 4m 4 mikajiunga tena ..lakini safari hii nilikuwa ndo nabalehe so nikawa mzee wa fiksi sanaa jukwaani mara kujifanya wa kishua kumbe hovyo tu..
kuna manzi fulani mtu mzima akajaa kwangu sasa baada ya kuonana naye...alinijibu SHOmbo sanaa na kusema ataniumbua humu jukwaani
hapo ni ka mute jf kwa muda wa miaka 2.....pasipo kuingia humu kwa kuhofia
mpaka kuingia 2014 baada ya kumaliza nikajiunga tena na hii I'd ambayo imebadilishwa zaidi ya mara 20 sasa...

maisha ya sasa yapo guda
nipo UDSM CoET Civil mwak wa 4..
Id unabadilishaje?!??
 
Back
Top Bottom