Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
Watalam wa afya saiv wengi ni mandaz[emoji16]Wengi wamekufa kwenye mazoezi sababu ya kutoanza kwanza kwa daktari au wataalamu wa afya kujua ni aina gani ya mazoezi wanayotakiwa kufanya na kwa kiwango kulingana na hali za kiafya za miili yao. Ushauri ni kwamba lazima kumona Daktari kwanza na kufanya vipimo stahiki vya mwili (check up) kabla ya kuingia kwenye mazoezi.
Yafaa kujua nini hakiko sawa kabla ya kufanya ulinganifu, Kuna mabadiliko mengi ya kimazingira na ya kidunia yanayochangiwa na shughuli za kibinadamu hali inayotishia kuongeze athari kwa binadamu kutokana na matumizi ya vyakula na vinywaji. Mathalani matumizi ya kimikali katika kilimo bila kuzingatia kanuni za afya kwa walaji, mabadiliko ya tabia ya nchi na matumizi ya dawa za mifugo bila kuzingatia kanuni na taratibu, hii imechangia kwa kiasi kikubwa kuathiri afya ya binadamu. Mfano kuna utafiti uliofanyika kuhusu wafugaji wa kuku kuwapa kuku amoxillin na ampliclox ili waweze kukabiliana na mafua. Nyama na mayai yaliyopiwa katika sampuli zilichokuliwa zilikutwa na kaisi kikubwa cha dawa hizo. Hivo binadamu hujikuta anatumia antibiotics indirectly hali inayosababisha usugu wa dawa na kudumiza uwezo wa mwili kupamnana na magonjwa.Usinywe bia, usinywe maziwa, usile nyama nyekundu.
Wazee wetu wamekula nyama, wamekunywa maziwa, wanakunywa pombe tena za kienyeji, wamevuta kiko.
Kuna kitu hakipo sawa.
Hii elimu ndiyo tulitegemea Wizara ya afya waihubiri sana kwenye media na hata kwenye mabasi na other public places kama ilivyokuwa kwa UKIMWI na TB lakini entertainment ya miziki na bongo movie ndiyo vimekuwa balanced diet ya watanzaniaMiaka tu 20 iliopita usingeweza kuona tabu hizi lakini sasa hivi zimekuwa chronic katika jamii, na sasa cha ajabu mostly katika vijana wadogo mno.
Najua hata wewe hapo haukosi ndugu au rafiki wa karibu ambae hakosi moja ya hizo conditions hapo juu.
Tumejitahidi kiasi kushindana na ukimwi, sasa hivi tushindanae na haya majanga mengine.
Mzungu cancer ndio inampa tabu, Waafrika tabu zilizo kuja ni hayo majanga niliyotaja hapo juu. Yana tesa sana, yana gharamisha na pia kifo cha uchungu sana.
Kama ni vigumu kufanya mazoezi jichange ununue kabaiskeli ka mazoezi weka ndani uwe unapiga mazoezi asubuhi na jioni.
TAKE CARE. Hamka sasa Kafanye full check up ya mwili mzima na full blood picture ili ujue status zako ili upambane na viatirishi vitakavyoonekana katika mwili wako
Nadhani kusema maandazi haiondoi uhalali au umuhimu wa watu kuwaona wataalamu wa afya kwa ajili ya tiba na ushauri, sidhani hapo ulipo uklipata tatizo la kiafya utajitibu peke yako au utamuona mtaalamu wa afya.Watalam wa afya saiv wengi ni mandaz[emoji16]
Yeah,ishi tu Mkuu...no way outLong distance Love ni ngumu sawa mkuu nimekuelewa mkuu...
Jamaa ka mention mambo mengi Kila kiboksi najikuta Nimo duu mambo mengine tumuachie MWENYEZI MUNGU....
Kwaiyo maziwa ya sababisha cancerAsubuhi ikipita bila kunywa maziwa sijisikii vizuri[emoji26] tho najua maziwa kupitiliza inasababisha cancer
Kwa hiyo kampeni tunayopaswa kuihimiza ni ubora wa chakula sio kuacha kula.Yafaa kujua nini hakiko sawa kabla ya kufanya ulinganifu, Kuna mabadiliko mengi ya kimazingira na ya kidunia yanayochangiwa na shughuli za kibinadamu hali inayotishia kuongeze athari kwa binadamu kutokana na matumizi ya vyakula na vinywaji. Mathalani matumizi ya kimikali katika kilimo bila kuzingatia kanuni za afya kwa walaji, mabadiliko ya tabia ya nchi na matumizi ya dawa za mifugo bila kuzingatia kanuni na taratibu, hii imechangia kwa kiasi kikubwa kuathiri afya ya binadamu. Mfano kuna utafiti uliofanyika kuhusu wafugaji wa kuku kuwapa kuku amoxillin na ampliclox ili waweze kukabiliana na mafua. Nyama na mayai yaliyopiwa katika sampuli zilichokuliwa zilikutwa na kaisi kikubwa cha dawa hizo. Hivo binadamu hujikuta anatumia antibiotics indirectly hali inayosababisha usugu wa dawa na kudumiza uwezo wa mwili kupamnana na magonjwa.
Unywaji wa mara kwa mara, mtindi ndo mzuriKwaiyo maziwa ya sababisha cancer
Yaani weweHawataki single mom Mkuu,wananiangalia tu kama dagaa chachu😪😭
Pelvic inflammatory disease (PID) Kwa wanawake wakitumia hii combination inasaidia sana Clindamycin 300mg tabs + Ornidazol 500mg tabs + azithromycin 500mg anapona kabisa...Kwani UTI sugu inatibiwaje jamani?
😂😂😂😂mambo? Ile namba naogopa tumia nahisi nitakutana na sauti yako ikiniambia njoo nipo hapa mwanjelwa😓Yaani wewe
Wewe mbinguni utaendaNipo na mpenz,yupo mbali kidogo hivyo ni kila tunapomeet Mkuu.Usihofu kuuliza swali Mkuu...be free...likiwezekana lajibika tu
❤😘na ninapambania kweli...mpaka nikaimbe na mwokozi wangu aiseeWewe mbinguni utaenda
Jana jioni tulikuwa na watu fulani kwenye kikao cha familia yao, wakawa wanatengeneza timu ya kwenda kumwona RPC ili wamtoe ndugu yao rumande, moja ya vigezo walivyozingatia kuunda timu ni vitambi ati wakienda wenye vitambi wanajenga ushawishi kwa RPC■Tuache vitu vitamu sana kama soda na carbonated drinks
■Tupunguze nyama nyingi nyekundu
■Tupunguze beer
■Tupunguze mafuta mengi katika milo e.g vyakula vya kukaaga na mafuta mengi
Nikiwa mwanjelwa si ndio fresh uje?😂😂😂😂😂😂mambo? Ile namba naogopa tumia nahisi nitakutana na sauti yako ikiniambia njoo nipo hapa mwanjelwa😓
NimekuelewaI said IF you are performing it.
Samahani lakini.
Kuna MTU kaniteka afu wala hana wivu...ni Mimi tu kuamua kutulia au nikipigisheNikiwa mwanjelwa si ndio fresh uje?😂😂
Asiye na wivu ..kakufanya mchrpuko tu.Kuna MTU kaniteka afu wala hana wivu...ni Mimi tu kuamua kutulia au nikipigishe