Atacms
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 4,884
- 8,924
kijana kwanza ulishapata kazi ya kuzibua vyoo??For almost 2 year ambapo nilianza kufanya kilimo serious nimeingiza almost 30 milioni for two year aisee! Nyie sasa kutwa kushinda kwenye betting na msingi kiuno halafu mtegemee kutoboa kwenye maisha?
Vijana pambaneni kwenye kilimo tokeni hapo Dar esSalaam hapo nendeni mkalime mwishowe mkiendelea kukaa hapo hapo Dar mtafanywa msingi kiuno
Eti kisa umesoma ndiyo hamji kwenye kilimo? Makima nyie? Infact kama mnataka mali njoeni shambani aisee kima nyie.
" mjini msingi kiuno"
I am seeking a job
Mzuka, Kindly refer the heading! Mimi John kimario kalungeyeye natakufa kazi yoyote Ile wakuu mimi ni mhitimu master degree in business administration kutoka chuo cha st. Stewart University cha nchini Kenya. Natafuta kazi yoyote Ile hata kuzibua vyoo nipo tayari wakuu! Tafadhalini naomba kazi...
ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
Wabongo mkija majuu au ughaibuni acheni unafiki, majungu na ukora mnaliabisha Taifa lenu
Yaani wabongo ni watu wa ajabu sana, yaani wao wamekalia majungu, chuki, unafiki na ukora tu. Yaani wao wakiona mwenzao amewazidi kwa chochote kile wanaanza kukupiga majungu, nasema hii tabia inakera. Ndio maana mie huwa napenda kujitenga na wabongo, aisee yaani ni watu ambao wamekalia majungu...