Vijana utajiri upo kwenye kilimo, tokeni mjini huko aisee!

Vijana utajiri upo kwenye kilimo, tokeni mjini huko aisee!

For almost 2 year ambapo nilianza kufanya kilimo serious nimeingiza almost 30 milioni for two year aisee! Nyie sasa kutwa kushinda kwenye betting na msingi kiuno halafu mtegemee kutoboa kwenye maisha?

Vijana pambaneni kwenye kilimo tokeni hapo Dar esSalaam hapo nendeni mkalime mwishowe mkiendelea kukaa hapo hapo Dar mtafanywa msingi kiuno

Eti kisa umesoma ndiyo hamji kwenye kilimo? Makima nyie? Infact kama mnataka mali njoeni shambani aisee kima nyie.

" mjini msingi kiuno"
kijana kwanza ulishapata kazi ya kuzibua vyoo??



ukiwa muongo uwe na kumbukumbu

 
Tutahamia shambani mkuu tumekuelewa.
For almost 2 year ambapo nilianza kufanya kilimo serious nimeingiza almost 30 milioni for two year aisee! Nyie sasa kutwa kushinda kwenye betting na msingi kiuno halafu mtegemee kutoboa kwenye maisha?

Vijana pambaneni kwenye kilimo tokeni hapo Dar esSalaam hapo nendeni mkalime mwishowe mkiendelea kukaa hapo hapo Dar mtafanywa msingi kiuno

Eti kisa umesoma ndiyo hamji kwenye kilimo? Makima nyie? Infact kama mnataka mali njoeni shambani aisee kima nyie.

" mjini msingi kiuno"
 
mkuu kama hutojali share uzoefu wako hivo hivo ulivyoanguka, watu wengi tunapenda kusikiliza mafanikio tunakosa sehem muhim yakujifunza..
Kwangu mimi ni timing mbovu hasa kwenye perishable goods. Naendelea kujifunza pia.

Lakini kwenye mbegu ndio sijajua nakosea wapi. Tunaambiwa 40bags/acre kwenye mahindi lakini sasa hayo mavuno Yanasikitisha
 
For almost 2 year ambapo nilianza kufanya kilimo serious nimeingiza almost 30 milioni for two year aisee! Nyie sasa kutwa kushinda kwenye betting na msingi kiuno halafu mtegemee kutoboa kwenye maisha?

Vijana pambaneni kwenye kilimo tokeni hapo Dar esSalaam hapo nendeni mkalime mwishowe mkiendelea kukaa hapo hapo Dar mtafanywa msingi kiuno

Eti kisa umesoma ndiyo hamji kwenye kilimo? Makima nyie? Infact kama mnataka mali njoeni shambani aisee kima nyie.

" mjini msingi kiuno"
30 million madogo wanaingiza per week hapa mjini
 
For almost 2 year ambapo nilianza kufanya kilimo serious nimeingiza almost 30 milioni for two year aisee! Nyie sasa kutwa kushinda kwenye betting na msingi kiuno halafu mtegemee kutoboa kwenye maisha?

Vijana pambaneni kwenye kilimo tokeni hapo Dar esSalaam hapo nendeni mkalime mwishowe mkiendelea kukaa hapo hapo Dar mtafanywa msingi kiuno

Eti kisa umesoma ndiyo hamji kwenye kilimo? Makima nyie? Infact kama mnataka mali njoeni shambani aisee kima nyie.

" mjini msingi kiuno"
toka kuwa nesi mkunga hadi kilimo dah basi kweli kilimo kinalipa
 
Back
Top Bottom