Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Umelima nini mkuu? Tupe mbinu na sie tutajirike. Mimi nakula hasara kila siku japo ni kitu nakipenda kufanya so siachi.
Wewe Mr Van anakubeba so ukipata hasara sio big issue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umelima nini mkuu? Tupe mbinu na sie tutajirike. Mimi nakula hasara kila siku japo ni kitu nakipenda kufanya so siachi.
Hamnaga kitu rahisi
Ila umeusuka! Tuombe Mungu26C6338 betpawa
Hahahaha hii inaendakijana kwanza ulishapata kazi ya kuzibua vyoo??
I am seeking a job
Mzuka, Kindly refer the heading! Mimi John kimario kalungeyeye natakufa kazi yoyote Ile wakuu mimi ni mhitimu master degree in business administration kutoka chuo cha st. Stewart University cha nchini Kenya. Natafuta kazi yoyote Ile hata kuzibua vyoo nipo tayari wakuu! Tafadhalini naomba kazi...www.jamiiforums.com
ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
Wabongo mkija majuu au ughaibuni acheni unafiki, majungu na ukora mnaliabisha Taifa lenu
Yaani wabongo ni watu wa ajabu sana, yaani wao wamekalia majungu, chuki, unafiki na ukora tu. Yaani wao wakiona mwenzao amewazidi kwa chochote kile wanaanza kukupiga majungu, nasema hii tabia inakera. Ndio maana mie huwa napenda kujitenga na wabongo, aisee yaani ni watu ambao wamekalia majungu...www.jamiiforums.com
Ukibebwa bebeka. Unabebwa mpaka mbeleko inachanika kweli?Wewe Mr Van anakubeba so ukipata hasara sio big issue
Hivi wote tukilima nani atanunua?For almost 2 year ambapo nilianza kufanya kilimo serious nimeingiza almost 30 milioni for two year aisee! Nyie sasa kutwa kushinda kwenye betting na msingi kiuno halafu mtegemee kutoboa kwenye maisha?
Vijana pambaneni kwenye kilimo tokeni hapo Dar esSalaam hapo nendeni mkalime mwishowe mkiendelea kukaa hapo hapo Dar mtafanywa msingi kiuno
Eti kisa umesoma ndiyo hamji kwenye kilimo? Makima nyie? Infact kama mnataka mali njoeni shambani aisee kima nyie.
" mjini msingi kiuno"
Hakuna sehemu nimsema nimemlazimisha mtu nimesema kushauriKwani umelazimishwa kutoa ushauri au wajipendekeza?
Nakazia"Mtu akianza na English flan ujue Muongo"
Jidode Mwafilombe, 2012
Hii namba kama sio ya Ummy basi ya Ndalichako😀🤣🤣🤣tajiri nirushie Basi laki moja nimepungukiwa Ada ya watoto
Mobile no:0764872812
Natanguliza shukran tajiri
Vizuri sana ......hujatuonesha mfano wakuwamotivate watu mfano nna shamba heka 7 mkoa X nalima viazi , Gharama ziko hivi...hivo sasa hapo si kama siasa tu hatukuelewi unalalamika tuFor almost 2 year ambapo nilianza kufanya kilimo serious nimeingiza almost 30 milioni for two year aisee! Nyie sasa kutwa kushinda kwenye betting na msingi kiuno halafu mtegemee kutoboa kwenye maisha?
Vijana pambaneni kwenye kilimo tokeni hapo Dar esSalaam hapo nendeni mkalime mwishowe mkiendelea kukaa hapo hapo Dar mtafanywa msingi kiuno
Eti kisa umesoma ndiyo hamji kwenye kilimo? Makima nyie? Infact kama mnataka mali njoeni shambani aisee kima nyie.
" mjini msingi kiuno"
Kwa gharama za maisha tulizo nazo wewe unaonaje?Kwa hio 750k na 1.5M ni ndogo?
Kilimo ni mchakatoFor almost 2 year ambapo nilianza kufanya kilimo serious nimeingiza almost 30 milioni for two year aisee! Nyie sasa kutwa kushinda kwenye betting na msingi kiuno halafu mtegemee kutoboa kwenye maisha?
Vijana pambaneni kwenye kilimo tokeni hapo Dar esSalaam hapo nendeni mkalime mwishowe mkiendelea kukaa hapo hapo Dar mtafanywa msingi kiuno
Eti kisa umesoma ndiyo hamji kwenye kilimo? Makima nyie? Infact kama mnataka mali njoeni shambani aisee kima nyie.
" mjini msingi kiuno"
Kmmmk la mama ykoKilimo ni mchakato
Kilimo kina miundombinu
Kilimo kina sayansi
Mwisho kabisa kilimo ni biashara
[emoji116][emoji116]
Amka kutoka usingizini ume vimbiwa maharage unakuja tu kusema umepata mil 30 ....ndani ya miezi 24 ..... mweleze kinaga ubaga hizo process hapo juu kijana awe na uelewa mpana asikurupuke kama ulivyo fanya ..... mwisho wa siku wew ni kenge hujui lolote kuhusu kilimo
mmnh japo sio mzoefu sana lakini nionavyo bora kuanza na kilimo cha nafaka zinazoeleweka kama mahindi, mpunga na vinavyofanana ili soko likiwa na wenge unatunza store.. pia kupunguza matarajio hizi mambo za 40bags hatuna tech hiyo kibongobongoKwangu mimi ni timing mbovu hasa kwenye perishable goods. Naendelea kujifunza pia.
Lakini kwenye mbegu ndio sijajua nakosea wapi. Tunaambiwa 40bags/acre kwenye mahindi lakini sasa hayo mavuno Yanasikitisha
Mimi naona freshman Ting sio vibaya nikikunja 1.5M bila makato kwa Mwezi namaanisha inachomoka hivyo hivyo kwenye ATM kwa Mwaka 18M [mshahara wa Mbunge kwa Mwezi] inakua imekunjwa nshaanzisha asset zingine za kuniingizia 1.5M kwa mwezi kila moja nikiajiri kijana nikawa nampa 200k kwa Mwezi kwenye kila asset nna hasara gani, hapo unaonaje?Kwa gharama za maisha tulizo nazo wewe unaonaje?