Sasa ni gani jombaa🤣🤣ka vipi tuachieni Arusha yetu tuamie kenya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ni gani jombaa🤣🤣ka vipi tuachieni Arusha yetu tuamie kenya
Hajiulizi tu mbona hawa wasanii wao wote wamekimbilia dar. Wameicha arusha..?Sawa. Ila kwa kuanza, weka wewe takwimu za vijana wa Dar wenye wivu na vijana wa Arusha nami niweke. Kisha tuendelee. Unaonaje hilo?
Watu wa dar hawajawahi shoboka na hako kamjini ka kihuniKwamba kumbe kuna watalii walalahoi pia?[emoji23] kwanza jamaa kasema yeye ni mtu wa Dar ila watu wa Dar washamba sana.
tetea chombo yetu dingilai hii ni culture arifu.Mkuu kuvuta bangi sio uhuni,samahani sana
Unajua maana ya mzawa?Halafu asilimia kubwa ni wazawa
wenyeji tumetulia tu tunawachora
Sent from my DRA-LX2 using JamiiForums mobile app
ukiishi chugga mwaka dar hutorudi asilani.Watu wa dar hawajawahi shoboka na hako kamjini ka kihuni
nakumanya ile yenyewe we mamsi rudisha kwanza hilo libandari ndo tubonge acha kupiga lomoni nyingi .Vijana wa Arusha usela mavi mwingi sana. Kuhusu uhalifu ni miaka yote. Arusha unakuta mtoto wa tajiri naye ni jambazi. Miaka ya nyuma kidogo kuna kikundi cha majambazi kiliuwawa na polisi usiku maeneo ya clocktower.. kwenda kutazama ni watoto wa matajiri tupu. Huu usela mavi uliopo sasa hivi unakinaisha mno kwasababu uharibifu wake ni kwa vijana wengi.
ona jinga limekuja kupanic hukuFata mambo yako jomba temana na raia waishi life lao dingilii!
Mbona huko kweni kumejaa wachawi na hatubongii!
Unakuja hapa eti Arusha Arusha kama vipi tuachieni Arusha yetu tuamie kenya
Unaona sasaSawa. Ila kwa kuanza, weka wewe takwimu za vijana wa Dar wenye wivu na vijana wa Arusha nami niweke. Kisha tuendelee. Unaonaje hilo?
Uchafu gani huo unaousema dingiiUchafu wote uko kaloleni
Haina wori arifu kwani niaje jombaaona jinga limekuja kupanic huku
Umetoa darasa zuri sana kwa vijana cha kuongezea kiini cha nchi hii ni PwaniWatu wa pwani ndio waliomuhusisha Nyerere na Sio Nyerere ndie, baada ya Uhuru aliipotosha historia.
Yeye alikuta tayari harakati zimeanza wakampa uongozi wa chama kwa sababu tu ya usomi wake.
Uhuru wa Tanganyika ni matokeo ya makubaliano ya wazee wa pwani na shetani mapangoni bagamoyo ikiwemo masharti Kama uwepo wa umasikini,mbio za mwenge,nk
Nishaishi miaka 3 hapo hata sijapaelewaukiishi chugga mwaka dar hutorudi asilani.
sawa mkuu.Nishaishi miaka 3 hapo hata sijapaelewa
Hapo sasa. Njaa! Njaa! Njaa! Wamekimbilia msosi na exposure.Hajiulizi tu mbona hawa wasanii wao wote wamekimbilia dar. Wameicha arusha..?
Kabisa....! Na iwe mwanzo na mwisho hata kufikiria tu kulingalisha Dar na Arusha. Heavy weight vs light weight? Masihara sana.Watu wa dar hawajawahi shoboka na hako kamjini ka kihuni
Tuishie hapa. Hii nchi tunawezq ondoa hiyo mikoa afu ika songa tu ikitegemea mikoa ya pwani kama dar nkHapo sasa. Njaa! Njaa! Njaa! Wamekimbilia msosi na exposure.
Toka zako.ukiishi chugga mwaka dar hutorudi asilani.
😀😀😀nakumanya ile yenyewe we mamsi rudisha kwanza hilo libandari ndo tubonge acha kupiga lomoni nyingi .