Vijana wa Arusha kuuona uhuni na usela ni ujanja kunazidi kulitafuna jiji, usalama umepungua, maadili yameshuka, serikali haina msaada

Kajiridhishe. Maana hao wote wanoingia kwenye kutalii chuga wengi hupotia airpot ya dar
Dar ni exit gate kwa watalii wanaotokea kaskazini.
Iko ivi KIA - kilimanjaro, ngorongoro, serengeti anapanda pipa kuelekea zanzibar or Dar kurudi nyumbani.
Watalii wanaopitia dar mara nyingi n selou,sadan au bagamoyo to zanzibar or back home mara chache wanaopitia huko kuja kaskazini.
Mnatulaumu sanaa na lifestyle letu ila si tunaona poa tu maana hata sisi tunachoshwa na masalamu mengi,na ndio utamu wa kuwa na mikoa mingi yenye lifestyles tofautitofauti.
Niko so proud kuzaliwa,kukulia Arusha.
 
Arusha wanaushamba mwingiii ila wao wanajiona ndio wajanja, hawana tofauti na wahuni waliozaliwa na kukulia ilala ambao hawajui maeneo mengine TZ

Nb: hivi kile kiswahili cha Dar mbona kuna watu maarufu waliokulia huko mfano Diamond ,manara hatuwasikii wakikiongea?

Vilevile kina Nikki hawana kile kiswahili cha usela mavi cha Arusha
 
Nimetoka huku ukweni juzi tu,wife alifiwa na kaka yake..Daah kwa yale niliyoyashudia hiyo wiki niliyokaa itoshe kusema hakuna vijana wa hovyo na wapumbavu wenye usela mavi kama vijana wa Arusha mjini( huko wilayani angalau kuna unafuu) jamii ile ina ishi kiwasi wasi sana muda wowote huisi wanaibiwa au wanataka kudhuriwa ....

Maduka mengi jion wanajaa vijana wanakunywa ma k- vant na stori za kipumbavu...kiingereza kingi na ufala mwingi eti wanajidai wasomi wanaishi kihuni .

Wanasubiri ukienda dukani wakupige mzinga...

Ndio maana nimejua kwa nin wife hatakagi watoto likizo wasikae wiki huko arusha kwao...
 
Kwa hiyo yupi mjanjanja zaidi ya mwenzie!!?? Mchaga au Mchugaa!!??
Mchagga, Mwarusha, Mmeru sionagi tofauti yao kuanzia kuongea, lifestyle na hata fighting

Wana Roho ya Uthubutu, ubabe ubabe n.k tofauti na makabila mengine....ni kama Wakikuyu wa Kenya

Wanawaza pesa na starehe tu

Hata Dada zao Wanafanana tu
 
Mawazo sasa inabidi yabadirike apa
 
Beto ni nini? Nyie watu wa Arusha uhuni sio ujanja
 
Mwanadam hasikii asichoelewa ndio maana wewe unaona ni lifestyle mbaya wao wanaona ni ujanja ,kama vile wachawi wewe utaona ni ujinga kuacha mambo yako ukaanze kuroga watu ila wachawi wao wanaona kwao ni ujanja na wanaenjoi tu, maisha ndivyo yalivyo .
 
Arusha inahitaji wokovu wa Programu maalum ya Kisayansi kuwatoa walipo. Hali ya Usalama pia siyo ya 100% vijana wamevurugwa ubongo muda wowote anakutoa uhai. Arusha siyo mahali sahihi kulelea familia kuna tatizo la jumla kwenye ile jamii
Sio salama kabisa, wiki iliyopita nilifika Arusha saa sita usiku pale stand.Aisee inahitaji ujitoe ufahamu na uwe imara sn ktk kujilinda na kulinda mzigo wako.Yani vijana wanaona mizigo ya kwenye buti ni yao vile wanakuzuia mwenye mzigo kuchukua. Ilibidi abiria tulioshuka kwenye gari tuungane tuwe wakali na kuonya asisogee mtu.Kuna kitoto kiliniangalia vibaya kwasababu nilikisukuma.

Nikakiita,nikasema nitakuchuna ngozi,sisi watu wa Mbeya huwa tunachuna ngozi na kuchukua ulimi,kikaogopa kikapotea mazingira yale.
 
Mchagga, Mwarusha, Mmeru sionagi tofauti yao kuanzia kuongea, lifestyle na hata fighting

Wana Roho ya Uthubutu, ubabe ubabe n.k tofauti na makabila mengine....ni kama Wakikuyu wa Kenya

Wanawaza pesa na starehe tu

Hata Dada zao Wanafanana tu

We fala-eli unataka tuwaze nini ? Ujinga kama mlivyo makabila mengine, umaskini mpaka kwenye kope
 
Mtoa mada ungejua sisi tuko mbele kuliko nyie, muulize nyerere kwanini alitusii tusiwe nchi nyingine. Sisi tulidai uhuru wa nchi yetu Arusha kama yote bro. Tunawaburza kila kona ya maendeleo. Usituone powa mzee
 
Bora kuwa mkoa WA kihuni.. kuliko WA kichoko[emoji1787]
 
Sijawai fika Arusha.. But nimepata kitu.. next holiday ntatembelea hapo ila naomba mwenyeji kama upo tuwasiliane nikujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…