Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashosti ndio kama wewe sasaEti wagumu kumbe njaa tu
Nambie shangaziMashosti ndio kama wewe sasa
Hii iliwahi kunikuta nilipanga kwenye nyumba ya mzee mmoja hivi basi nilishangaa kuna vijana fulani ni kama ndugu zake yule mzee na wengine nadhani walikuwa wasaidizi wa kazi za nyumbani kwa mzee,hao vijana umri wao ni kama miaka 16 hivi.Mimi mwanzo ilikuwa inanipa shida sana mpaka kuja kukaa sawa na kuwaelewa style ya maisha yao. Nilikuwa nashangaa mtoto anaweza kukupita tu na anakutazama na wala hakusalimii, sio mtoto unakuta hata mtu mzima.
Ila baada ya kuwaelewa jinsi gani wanaishi maisha yao na ID yao wala sikupata tabu tena kuhusu Wachugga, na mimi nawapita tu...!
Inategemea ni ujanja kwenye nyanja ipi.Kwa hiyo yupi mjanjanja zaidi ya mwenzie!!?? Mchaga au Mchugaa!!??
Hii iliwahi kunikuta nilipanga kwenye nyumba ya mzee mmoja hivi basi nilishangaa kuna vijana fulani ni kama ndugu zake yule mzee na wengine nadhani walikuwa wasaidizi wa kazi za nyumbani kwa mzee,hao vijana umri wao ni kama miaka 16 hivi.
Imagine tulikuwa tunaishi kwenye nyumba moja na tunashea sebule lakini hawajawahi kunisalimia hata siku moja tulikuwa tunapitana tu kwa muda wa miezi 6 niliyokaa pale.
Hii kitu ilinishangaza sana.
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Kwanni usalimiwe dunia hii kikubwa pumzi tu watu na tamadun zaoAisee, mi nipo kwenye compound ya watu watatu kila mtu kivyake ila unaweza kukuta dirisha nimeacha wazi kabisa, mlango nimeufungua na mtu anaingia kwake anawaangalia hata kusalimia hasalimii aisee. Acha kabisa...!
Nikuambie kitu mleta mada hakuna place tuko na umoja kwama chuga sema ukituletea ujuaji unakula beto alafu tunasororia mbele. Auwezi niambia juzi kati tulienda mzika muhuni wetu alafu pasta anasema tunakufa Kama konokono ase.
Alafu kunyanyua tairi za pikipiki ni burudani zetu mbona nyie huko dar mnapakuliwa na wahuni sisi atubongi View attachment 2708756
Wale kupakana na kenya ndio tatizo hasa kuwa karibu na nairobiArusha miaka yote iko hivyo...
Uhalifu unaabudiwa
Kuna familia maarufu za ujambazi...
Arusha ... wanahitaji zaidi exposure ya dunia ....
Mbona mamilo unakimbia tena au na wazazi walikuambia usimlete mchugastan kwenu[emoji15][emoji15][emoji15][emoji134][emoji134][emoji134][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Kumbe ni wa chugga wewe??
Mbona mamilo unakimbia tena au na wazazi walikuambia usimlete mchugastan kwenu
Fata mambo yako jomba temana na raia waishi life lao dingilii!
Mbona huko kweni kumejaa wachawi na hatubongii!
Unakuja hapa eti Arusha Arusha kama vipi tuachieni Arusha yetu tuamie kenya
Ni ngumu kamanda wa polisi kubadilisha maadili ya vijana wa eneo hilo,juhudi zinatakiwa zianze kufanywa na wazazi wao.
Kama vijana wanafanya uhalifu na wazazi wanachukulia sawa tu hakuna wa kuja kubadilisha hiyo jamii.
Maana askari wakisema watumie nguvu ya dola wataisha wote halafu itakuwa ni lawama kubwa na hata haki za binadamu wataingilia kati.
Kuna mkoa gani ambao hauna wahuni na hayo mambo hayapo? Embu nitaajie ndio nitajua arusha kweli ni tatizo linalohitaji tiba.View attachment 2707633
Kunahitajika PROGRAMU ya dharura kuliokoa hili jiji.
Sina maana ya kusema vijana wote wa Arusha ni wahuni na waalifu ama kusema Arusha si salama kabisa, La Hasha! ni kwamba hata katika hao wahuni wachache wanaofanya Arsusha ishuke katika hali ya usalama na maadili, kasi yao ya ukuaji ni mithiri ya kansa ya kidole inavyosambaa mwilini kwahio sio jambo la kufumbia macho kwamba eti kwasababu sio wote basi wapuuziwe, kumbuka hata mayai machache yaliyooza yatazidi kuozesha mengine hatua zisipochukuliwa, kwa wale tuliosoma soma nadhani tunajua kitu kinaitwa compounding.
Vijana wengi ni waliozaliwa na kukulia hapa hapa ni jamii za wazawa wenye asili ya Arusha kama Wameru na Waarusha pamoja na jamii za wenyeji ambao walihamia na wapo kwa muda mrefu kama Warangi, Wachaga, Wambulu, Wanyaturu.
matokeo ya kuukuta utamaduni wa kutukuza uhuni kwa vijana wa sasa tangu wakiwa wadogo ndio huchangia zaidi vijana kuendeleza huu utamaduni, Mazingira pia ya jamii inayowazunguka na Mifumo ya malezi kwa baadhi ya wazazi nayo inachangia kukuza vijana wahuni, imeshakuwa ndani ya mfumo wa maisha wa vijana wengi kwamba ili uonekane mjanja basi uwe mhuni ama mhalifu.
mapikipiki haya ya wanakimbiza vibaya mno, ajali kila siku, wamejaa mount Meru na nkoaranga hospital wamevunjika vunjika miguu,.Bodaboda za kutaftia riziki wanalazimisha ziwe pikipiki za michezo, ukienda kwenye magroup yao haya ya kudandia pikipiki kuna "pumzika kwa amani / rip" nyingi sana.
vijana wanazidi kuutukuza ulevi wa hayo ma k-vant na bangi, sina shida na matumizi ya vilevi hata mimi ni mdau ila nafata misingi,tatizo makundi yanaponza sana na kuchangia abuse (abnormal use), wanatumia kwa kuigana au ile kutaka kuonekana wamepinda ili kupata uhakiki kutoka wenzao kwamba ni wajanja, na ndio hapa mtu ananasa kwenye uraibu.
Kuna Umakundi makundi wa kihuni huni wanaoishi bila future,
Suala la kupigana beto (visu) nalo halipo nyuma, Sime na visu vimekuwa vitu ambavyo vinazidi kuzoeleka kutumika sio tu kwenye uporaji bali hata kwenye mabifu ama ugomvi baina ya vijana, niliwahi shuhudia live kwa macho yangu pale karibu na stendi ugomvi niliodhani watu watachapana ngumi niliona mtu anapigwa kisu damu nje nje,kuna clip nimecheki majuzi Fidovato analalamika vijana wanapigana beto, hata wasanii wa huko Father Nelly wa kundi la X Plastaz aliuliwa kwa visu, nae Lord Eyes aliwahi kujeruhiwa,
Wizi nao hauna dalili ya kupungua, watu wanaporwa kikatili sana inabidi utii amri lasivyo utavurugwa maini na beto, bodaboda wanaibiwa pikipiki mpaka kuuwawa, ujambazi nao upo wa kuvamia matajiri, kwa ufupi kuna famjlia zinajulikana kabisa wanaishi mjini kwa shughuli hizo lakini ndio wanapewa heshima maana uhuni unaonekana ujanja.
Suala la maadili nalo limepungua sana na hii imechangia sana hata makanisani na misikitini kuwepo na upungufu mkubwa sana wa vijana,
Kuna msiba vijana wameshiriki mazishi ya mwenzao mara wakataka mchapa mchungaji kisa mchungaji aliwapa maneno ya kweli wakachukua maiti kwenda kuizika wenyewe, kuongea hovyo hata mbele ya camera mpaka hivi sasa imekuwa kama jadi yao, mavazi wanayoona yanayomwakilisha mwana arusha original ni kuvaa mashati marefu mpaka magotini pamoja na miviatu mikubwa kuliko size za miguu.
Ajabu ni kwamba hata polisi ni kama vile wamefumbia jicho ama jitihada wanazofanya ni ndogo sana, ni kama vile wamezila na kujikatia tamaa wamewaacha wenye mji wafanye watachojua wao with little interference
Akikujibu ni tagKuna mkoa gani ambao hauna wahuni na hayo mambo hayapo? Embu nitaajie ndio nitajua arusha kweli ni tatizo linalohitaji tiba.
Arusha wanajikutaga wapo jimbo la California huko Compton ndani ndani ...mitaa ya kina The Game ilipozaliwa NWA.View attachment 2707633
Kunahitajika PROGRAMU ya dharura kuliokoa hili jiji.
Sina maana ya kusema vijana wote wa Arusha ni wahuni na waalifu ama kusema Arusha si salama kabisa, La Hasha! ni kwamba hata katika hao wahuni wachache wanaofanya Arsusha ishuke katika hali ya usalama na maadili, kasi yao ya ukuaji ni mithiri ya kansa ya kidole inavyosambaa mwilini kwahio sio jambo la kufumbia macho kwamba eti kwasababu sio wote basi wapuuziwe, kumbuka hata mayai machache yaliyooza yatazidi kuozesha mengine hatua zisipochukuliwa, kwa wale tuliosoma soma nadhani tunajua kitu kinaitwa compounding.
Vijana wengi ni waliozaliwa na kukulia hapa hapa ni jamii za wazawa wenye asili ya Arusha kama Wameru na Waarusha pamoja na jamii za wenyeji ambao walihamia na wapo kwa muda mrefu kama Warangi, Wachaga, Wambulu, Wanyaturu.
matokeo ya kuukuta utamaduni wa kutukuza uhuni kwa vijana wa sasa tangu wakiwa wadogo ndio huchangia zaidi vijana kuendeleza huu utamaduni, Mazingira pia ya jamii inayowazunguka na Mifumo ya malezi kwa baadhi ya wazazi nayo inachangia kukuza vijana wahuni, imeshakuwa ndani ya mfumo wa maisha wa vijana wengi kwamba ili uonekane mjanja basi uwe mhuni ama mhalifu.
mapikipiki haya ya wanakimbiza vibaya mno, ajali kila siku, wamejaa mount Meru na nkoaranga hospital wamevunjika vunjika miguu,.Bodaboda za kutaftia riziki wanalazimisha ziwe pikipiki za michezo, ukienda kwenye magroup yao haya ya kudandia pikipiki kuna "pumzika kwa amani / rip" nyingi sana.
vijana wanazidi kuutukuza ulevi wa hayo ma k-vant na bangi, sina shida na matumizi ya vilevi hata mimi ni mdau ila nafata misingi,tatizo makundi yanaponza sana na kuchangia abuse (abnormal use), wanatumia kwa kuigana au ile kutaka kuonekana wamepinda ili kupata uhakiki kutoka wenzao kwamba ni wajanja, na ndio hapa mtu ananasa kwenye uraibu.
Kuna Umakundi makundi wa kihuni huni wanaoishi bila future,
Suala la kupigana beto (visu) nalo halipo nyuma, Sime na visu vimekuwa vitu ambavyo vinazidi kuzoeleka kutumika sio tu kwenye uporaji bali hata kwenye mabifu ama ugomvi baina ya vijana, niliwahi shuhudia live kwa macho yangu pale karibu na stendi ugomvi niliodhani watu watachapana ngumi niliona mtu anapigwa kisu damu nje nje,kuna clip nimecheki majuzi Fidovato analalamika vijana wanapigana beto, hata wasanii wa huko Father Nelly wa kundi la X Plastaz aliuliwa kwa visu, nae Lord Eyes aliwahi kujeruhiwa,
Wizi nao hauna dalili ya kupungua, watu wanaporwa kikatili sana inabidi utii amri lasivyo utavurugwa maini na beto, bodaboda wanaibiwa pikipiki mpaka kuuwawa, ujambazi nao upo wa kuvamia matajiri, kwa ufupi kuna famjlia zinajulikana kabisa wanaishi mjini kwa shughuli hizo lakini ndio wanapewa heshima maana uhuni unaonekana ujanja.
Suala la maadili nalo limepungua sana na hii imechangia sana hata makanisani na misikitini kuwepo na upungufu mkubwa sana wa vijana,
Kuna msiba vijana wameshiriki mazishi ya mwenzao mara wakataka mchapa mchungaji kisa mchungaji aliwapa maneno ya kweli wakachukua maiti kwenda kuizika wenyewe, kuongea hovyo hata mbele ya camera mpaka hivi sasa imekuwa kama jadi yao, mavazi wanayoona yanayomwakilisha mwana arusha original ni kuvaa mashati marefu mpaka magotini pamoja na miviatu mikubwa kuliko size za miguu.
Ajabu ni kwamba hata polisi ni kama vile wamefumbia jicho ama jitihada wanazofanya ni ndogo sana, ni kama vile wamezila na kujikatia tamaa wamewaacha wenye mji wafanye watachojua wao with little interference