MAWEED
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 3,550
- 12,239
Haha🤪Naona kaona menu ni ndefu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha🤪Naona kaona menu ni ndefu sana
Wazawa ni kina nani?na wenyeji ni kina nani?Halafu asilimia kubwa ni wazawa
wenyeji tumetulia tu tunawachora
Sent from my DRA-LX2 using JamiiForums mobile app
Mwizukulu kumbe wewe askari mzee wangu[emoji23]usiongee sana ...nenda gereza la kisongo ujionee, tumewajaza humo vijana wa arusha na bado tunaendelea kuwajaza muda si mrefu wengine tutaanza kuwapeleka gereza la karanga moshiiiiii..
Kwa hiyo mpaka iizidi Geita ndo watu wachukue hatua?Malizeni wao wadada wanaume kwanza hapo daslam mimi kwangu Bora mtoto awe jambazi kuliko kuwa shoga alafu mbona Arusha haina matukio kiiivo kama Geita???
Waanze kwanza kuchukua hatua GeitaaKwa hiyo mpaka iizidi Geita ndo watu wachukue hatua?
KIA ni pa kishamba.Kwamba KIA haipo mpka wapitie dar?! Ndio watu wa dar mnavojidanganya
Sio vijana tu hii inaathiri mpaka watoto kizazi na kizazi wanakulia humo mzee. Ukweli mchungu lazima usemwe...!Hata kwenye jamii uliyotokea hawakosekani vijana wa hivyo....hatujatofautiana...ni vile tu ushhakuwa na negativity kuhusu ukanda huo
Hawa vijana wengi kula kulala,wazazi wameuza vipande vya ardhi na kuwanunulia bodaboda...hilo liko wazi
Kuna mwingine tumemzika wiki imepita alinunuliwa boda ..speed zke tulijua hata miezi 3 hamalizi na kweli alikua speed na mwenzake wakagonga basi kwa nyuma wote palepaleKuna siku nlipishana na machalii wawili mida ya saa tatu usiku, mitaa ya pale mianzini, wakiwa na umri kati ya miaka 13 au 14 hivi.
Mmoja kiunoni anabonge la beto, anamwambia mwenzake "haki ya mama, yule manzi asingetoa ile simu, mi ningemvurugua maini asee".
Bangi na Double kick zilishapanda vichwani mwao.Kuna siku nlipishana na machalii wawili mida ya saa tatu usiku, mitaa ya pale mianzini, wakiwa na umri kati ya miaka 13 au 14 hivi.
Mmoja kiunoni anabonge la beto, anamwambia mwenzake "haki ya mama, yule manzi asingetoa ile simu, mi ningemvurugua maini asee".
Umeiongea kichaga kabx japo syo[emoji16]Fata mambo yako jomba temana na raia waishi life lao dingilii!
Mbona huko kweni kumejaa wachawi na hatubongii!
Unakuja hapa eti Arusha Arusha kama vipi tuachieni Arusha yetu tuamie kenya
that with the ongoing spread of gangs and crime will really hurt Arusha in years to come, they may seem little problems as for now but they are compounding at a high rate, the teenagers are badly influenced to glorify these toxic cultures,boda boda guys are full of comic which turn to perish themselves.Several cases as case study in this year,the government should take measures to rescue their life without that 'll endanger the prosperity of region and country in general!
Apo mkuu unge boldMkuu kuvuta bangi sio uhuni,samahani sana
Exactly 💯Kwa ninavyoelewa mimi kwa akili yangu bila kutumia kamusi, haya maneno tofauti zake au maana zake ni kama ifuatavyo;
1.WAZAWA-ni watu wenye asili ya sehemu au eneo fulani kwa kuzaliwa.
2.WAGENI-ni watu ambao wamekuja/kuhamia/kutembea sehemu au eneo fulani.
3.WENYEJI-ni watu ambao wapo katika eneo au sehemu fulani kwa muda mrefu lakini hawajazaliwa hapo.
4.WAKUJA-hili ni neno tu la mtaani likiwa na maana ya utani kwa watu ambao wamehamia eneo au sehemu fulani wakiwa bado na ushamba wa kutoelewa mazingira mapya ya eneo au sehemu waliyopo.
Kwamba unatakasema we familia Bora ??Check online statistics za word counts!
Na pia I doubt kama utakua umesafiri nje ya nchi anywhere,I doubt that!
Check halafu utamke neno "FUTUHI"
Kwanza mtu anaetamka neno la kishamba kama "FUTUHI" tayari hana exposure ni one of the low of the lowest ndio wapo accustomed na misamiati kama FUTUHI maana ilikua ni tamthilia inayooneshwa TV stations za kimasikini,hivyo umekulia kwenye umasikini maana mlikua hamna uwezo wa ku-afford cable TV kama Dstv
Ukitaka kujua low budget individuals angalia misamiati yao,ya hovyo,ni low budgets tupu!
Mkuu hao sio wachaga kwa asilimia kubwa hao ni wameru na wamasai, wachaga wanajua kulea vijana wao na wanaadabu sana, nimeishi kilimanjaro nafahamu hilo. Vijana wengi wa Arusha ni wa hovyo sana kifupi kulea familia Arusha ni ngumu kweli. Kunahitajika operasheni ya kutokomeza hao wahuni la sivyo hata utalii utashuka.Mimi mwanzo ilikuwa inanipa shida sana mpaka kuja kukaa sawa na kuwaelewa style ya maisha yao. Nilikuwa nashangaa mtoto anaweza kukupita tu na anakutazama na wala hakusalimii, sio mtoto unakuta hata mtu mzima.
Ila baada ya kuwaelewa jinsi gani wanaishi maisha yao na ID yao wala sikupata tabu tena kuhusu Wachugga, na mimi nawapita tu...!