Vijana wengi wahuni ni wazawa wa hapa hapa Arusha na matokeo ya kuukuta utamaduni wa kutukuza uhuni tangu wakiwa wadogo, imeshakuwa ndani ya mfumo wa maisha wa vijana wengi kwamba ili uonekane mjanja basi uwe mhuni wa kunywa pombe kali, kuvuta bangi ama uwe mhalifu.
mapikipiki haya ya Toyo wanakimbiza vibaya mno, ajali kila siku, wamejaa mount Meru na nkoaranga hospital wamevunjika vunjika miguu, kwenye magrouo yao haya ya kudandia pikipiki kuna rip nyingi sana.
vijana wanazidi kuutukuza ulevi wa hayo ma k-vant na bangi imekua fashen Yan Arusha haifai.
Wizi nao unashamiri sana, wezi wa bodaboda, tatumzuka, majambazi, n.k.