Vijana wa Arusha kuuona uhuni na usela ni ujanja kunazidi kulitafuna jiji, usalama umepungua, maadili yameshuka, serikali haina msaada

Vijana wa Arusha kuuona uhuni na usela ni ujanja kunazidi kulitafuna jiji, usalama umepungua, maadili yameshuka, serikali haina msaada

Kuna siku nlipishana na machalii wawili mida ya saa tatu usiku, mitaa ya pale mianzini, wakiwa na umri kati ya miaka 13 au 14 hivi.

Mmoja kiunoni anabonge la beto, anamwambia mwenzake "haki ya mama, yule manzi asingetoa ile simu, mi ningemvurugua maini asee".
Kuua kwao ni Jambo la sekunde wanatembeza beto
 
Vijana wengi wahuni ni wazawa wa hapa hapa Arusha na matokeo ya kuukuta utamaduni wa kutukuza uhuni tangu wakiwa wadogo, imeshakuwa ndani ya mfumo wa maisha wa vijana wengi kwamba ili uonekane mjanja basi uwe mhuni wa kunywa pombe kali, kuvuta bangi ama uwe mhalifu.

mapikipiki haya ya Toyo wanakimbiza vibaya mno, ajali kila siku, wamejaa mount Meru na nkoaranga hospital wamevunjika vunjika miguu, kwenye magrouo yao haya ya kudandia pikipiki kuna rip nyingi sana.

vijana wanazidi kuutukuza ulevi wa hayo ma k-vant na bangi imekua fashen Yan Arusha haifai.

Wizi nao unashamiri sana, wezi wa bodaboda, tatumzuka, majambazi, n.k.
Akili mbovu....

Lini uhuni ukawa na maana ?!!!

Uhuni katika biashara unazalisha maana?!!

Uhuni katika gunduzi za kisayansi unazalisha maana ?!!!

Uhuni katika familia una maana ?!!

Uhuni unaanzisha mataifa na dola?!!

Dola zinalindwa kihuni ?!!!

Uhuni ni upungufu wa AKILI NA FIKRA NA KUFURAHISHA STAREHE ZA MUDA MFUPI TU....

#Kataa Uhuni

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Arusha inahitaji wokovu wa Programu maalum ya Kisayansi kuwatoa walipo. Hali ya Usalama pia siyo ya 100% vijana wamevurugwa ubongo muda wowote anakutoa uhai. Arusha siyo mahali sahihi kulelea familia kuna tatizo la jumla kwenye ile jamii
Mnoo....

Mnoooo....

Unaweza ukadhani uko nchi nyingine isiyo Tanzania....

Kunahitaji PROGRAMU ya dharura.....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mimi mwanzo ilikuwa inanipa shida sana mpaka kuja kukaa sawa na kuwaelewa style ya maisha yao. Nilikuwa nashangaa mtoto anaweza kukupita tu na anakutazama na wala hakusalimii, sio mtoto unakuta hata mtu mzima.

Ila baada ya kuwaelewa jinsi gani wanaishi maisha yao na ID yao wala sikupata tabu tena kuhusu Wachugga, na mimi nawapita tu...!
Wana shida....

Sasa kusalimiana ni USHAMBA ?!!

Kutojuliana hali ndio ujanja ?!!!

Kwa hizo tabia zao za kukosa "ujamaa" kumewafanikishia kutengeneza "satellite" na kuirusha sayari za mbali ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mimi mwanzo ilikuwa inanipa shida sana mpaka kuja kukaa sawa na kuwaelewa style ya maisha yao. Nilikuwa nashangaa mtoto anaweza kukupita tu na anakutazama na wala hakusalimii, sio mtoto unakuta hata mtu mzima.

Ila baada ya kuwaelewa jinsi gani wanaishi maisha yao na ID yao wala sikupata tabu tena kuhusu Wachugga, na mimi nawapita tu...!
[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
dar vijana wanashindana na wadada kwa urembo, wengine wanakulana

hili mbona hatulizungumzii??
Unataka kusema kwa starehe zilivyo arusha...vijana hawatafuniki kabisaaaa ?!! [emoji1787][emoji1787]

Unataka kusema kusema WAZUNGU wenye tabia za "LGBT" wanaishia tu Dar na kwengineko ?!!! [emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom