Sio salama kabisa, wiki iliyopita nilifika Arusha saa sita usiku pale stand.Aisee inahitaji ujitoe ufahamu na uwe imara sn ktk kujilinda na kulinda mzigo wako.Yani vijana wanaona mizigo ya kwenye buti ni yao vile wanakuzuia mwenye mzigo kuchukua. Ilibidi abiria tulioshuka kwenye gari tuungane tuwe wakali na kuonya asisogee mtu.Kuna kitoto kiliniangalia vibaya kwasababu nilikisukuma.
Nikakiita,nikasema nitakuchuna ngozi,sisi watu wa Mbeya huwa tunachuna ngozi na kuchukua ulimi,kikaogopa kikapotea mazingira yale.
Naomba ukipata muda ujibuNIlipata kazi Arusha kwenye ofisi za shirika fulani, nilienda kuripoti na kusoma mazingira ili nione kama naweza hamishia familia, baada ya wiki nilirudi zangu Dar na kazi nikaacha maana niliona mazingira sio rafiki kwa malezi na usalama wa watoto, mpaka na leo napachukia Arusha sitamani hata kwenda kutembea
Hii kiboko sasa dog kala kinjunga?! ππππ
πππ walinitolea kisu mchana peupe jomba na kuna watu barabarani wakaniambia achia mkobaNaomba ukipata muda ujibu
Uliona nini cha ajabu Arusha mpaka ukakayaa kufanya kazi maana naona lawama zinarushwa tu ila hamna sababu ya msingi
Au nawewe ulipita hukusalimiwa?
Arusha haina muda wa umbea jomba
Nani ahangaike na hako kamaisha kako
Watu wa mikoa mnataka mkifika mahali mpewe recognition afu watu unakuta wapo bize na maeeee yao