Vijana wa Arusha kuuona uhuni na usela ni ujanja kunazidi kulitafuna jiji, usalama umepungua, maadili yameshuka, serikali haina msaada


[emoji1787]
 
Niliwahi lisema hili kwenye kundi la marafiki zangu wengi wapo Arusha wakaanza kuniambia nilete hayo matukio ya kijinga wanayoyafanya. Ishu ni kwamba hata watu wenye akili zao wanashadadia huo ujinga bila kujua ndo wanaangamiza taifa na kizazi hiki, mwisho wa siku utasikia wakiwapa lawama serikali. Serikali inaanzia nyumbani na kwenye jamii inayokuzunguka. Kama jamii ni ya wezi huwezi pata kiongozi asiye mwizi kama jamii ni ya kihuni hata viongozi nao watakua ni walewale tusimame wote kidete kupinga huu ujinga.
 
Naomba ukipata muda ujibu
Uliona nini cha ajabu Arusha mpaka ukakayaa kufanya kazi maana naona lawama zinarushwa tu ila hamna sababu ya msingi
Au nawewe ulipita hukusalimiwa?

Arusha haina muda wa umbea jomba
Nani ahangaike na hako kamaisha kako

Watu wa mikoa mnataka mkifika mahali mpewe recognition afu watu unakuta wapo bize na maeeee yao
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† walinitolea kisu mchana peupe jomba na kuna watu barabarani wakaniambia achia mkoba

Thangu hiyo siku nikajikuta naona Arusha hakuna usalama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…