teamasala
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 615
- 633
Sio salama kabisa, wiki iliyopita nilifika Arusha saa sita usiku pale stand.Aisee inahitaji ujitoe ufahamu na uwe imara sn ktk kujilinda na kulinda mzigo wako.Yani vijana wanaona mizigo ya kwenye buti ni yao vile wanakuzuia mwenye mzigo kuchukua. Ilibidi abiria tulioshuka kwenye gari tuungane tuwe wakali na kuonya asisogee mtu.Kuna kitoto kiliniangalia vibaya kwasababu nilikisukuma.
Nikakiita,nikasema nitakuchuna ngozi,sisi watu wa Mbeya huwa tunachuna ngozi na kuchukua ulimi,kikaogopa kikapotea mazingira yale.
[emoji1787]