Kuua kwao ni Jambo la sekunde wanatembeza betoKuna siku nlipishana na machalii wawili mida ya saa tatu usiku, mitaa ya pale mianzini, wakiwa na umri kati ya miaka 13 au 14 hivi.
Mmoja kiunoni anabonge la beto, anamwambia mwenzake "haki ya mama, yule manzi asingetoa ile simu, mi ningemvurugua maini asee".
Akili mbovu....Vijana wengi wahuni ni wazawa wa hapa hapa Arusha na matokeo ya kuukuta utamaduni wa kutukuza uhuni tangu wakiwa wadogo, imeshakuwa ndani ya mfumo wa maisha wa vijana wengi kwamba ili uonekane mjanja basi uwe mhuni wa kunywa pombe kali, kuvuta bangi ama uwe mhalifu.
mapikipiki haya ya Toyo wanakimbiza vibaya mno, ajali kila siku, wamejaa mount Meru na nkoaranga hospital wamevunjika vunjika miguu, kwenye magrouo yao haya ya kudandia pikipiki kuna rip nyingi sana.
vijana wanazidi kuutukuza ulevi wa hayo ma k-vant na bangi imekua fashen Yan Arusha haifai.
Wizi nao unashamiri sana, wezi wa bodaboda, tatumzuka, majambazi, n.k.
Unauelewa sana ubalozi wa UingerezaAu wills embassy
Hizi mambo zilishapitwaga na tarehe!Tatizo wahuni mnapigana sana beto r.i.p Father Neli
Mnoo....Arusha inahitaji wokovu wa Programu maalum ya Kisayansi kuwatoa walipo. Hali ya Usalama pia siyo ya 100% vijana wamevurugwa ubongo muda wowote anakutoa uhai. Arusha siyo mahali sahihi kulelea familia kuna tatizo la jumla kwenye ile jamii
Unauelewa sana ubalozi wa Uingereza
Kwa hiyo yupi mjanjanja zaidi ya mwenzie!!?? Mchaga au Mchugaa!!??Mchagga ni Aikambeee. Mchugga ni Unaskia Ariiif...!
Kwa hiyo hapo kuna tofauti ya A na U mkuu. Ahsante.
Wana shida....Mimi mwanzo ilikuwa inanipa shida sana mpaka kuja kukaa sawa na kuwaelewa style ya maisha yao. Nilikuwa nashangaa mtoto anaweza kukupita tu na anakutazama na wala hakusalimii, sio mtoto unakuta hata mtu mzima.
Ila baada ya kuwaelewa jinsi gani wanaishi maisha yao na ID yao wala sikupata tabu tena kuhusu Wachugga, na mimi nawapita tu...!
Mbon zipo tu nilikua naangalia clip moja Fido analalamika machalii wanapigana sana betoHizi mambo zilishapitwaga na tarehe!
Machalii saivi wanawaza kibunda,na kuhusu kuvuta shada ni utamaduni wao
[emoji7]Mimi mwanzo ilikuwa inanipa shida sana mpaka kuja kukaa sawa na kuwaelewa style ya maisha yao. Nilikuwa nashangaa mtoto anaweza kukupita tu na anakutazama na wala hakusalimii, sio mtoto unakuta hata mtu mzima.
Ila baada ya kuwaelewa jinsi gani wanaishi maisha yao na ID yao wala sikupata tabu tena kuhusu Wachugga, na mimi nawapita tu...!
Atakuongezea na MmeruKwa hiyo yupi mjanjanja zaidi ya mwenzie!!?? Mchaga au Mchugaa!!??
Unataka kusema kwa starehe zilivyo arusha...vijana hawatafuniki kabisaaaa ?!! [emoji1787][emoji1787]dar vijana wanashindana na wadada kwa urembo, wengine wanakulana
hili mbona hatulizungumzii??
Unaweza kunitajia mkoa ambao watu hawachomani dagaa eroo?Mbon zipo tu nilikua naangalia clip moja Fido analalamika machalii wanapigana sana beto
Kwa hiyo yupi mjanjanja zaidi ya mwenzie!!?? Mchaga au Mchugaa!!??
Sema huu sio ujanja mi akijaa mtu kwenye line yangu hapa chuga ahakikishe ameniua ila nikatoka mzima nitatangazwa kwa millard ayoKuua kwao ni Jambo la sekunde wanatembeza beto
Wapumbavu na Wajinga! Inamaana elimu yao walipata huko mashuleni haijawasaidia kitu!!??Kuua kwao ni Jambo la sekunde wanatembeza beto
Mida flani umegonga ugali sangara mixa mchicha,umekunywa bia mbili,bangi 5,maji ya jero na wills embassy za buku...Unauelewa sana ubalozi wa Uingereza