Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Mbona inajulikana ninyi mko Kenya.....wazee wanalitambua hilo [emoji1787][emoji1787]Fata mambo yako jomba temana na raia waishi life lao dingilii!!
Mbona huko kweni kumejaa wachawi na hatubongii!
Unakuja hapa eti Arusha Arusha kama vipi tuachieni Arusha yetu tuamie kenya
WamevurugwaWapumbavu na Wajinga! Inamaana elimu yao walipata huko mashuleni haijawasaidia kitu!!??
Aisee, mi nipo kwenye compound ya watu watatu kila mtu kivyake ila unaweza kukuta dirisha nimeacha wazi kabisa, mlango nimeufungua na mtu anaingia kwake anawaangalia hata kusalimia hasalimii aisee. Acha kabisa...!Wana shida....
Sasa kusalimiana ni USHAMBA ..
Sijakataa man ndio maana silalamikagi kuhusu mambo za bandari na muunganoMbona inajulikana ninyi mko Kenya.....wazee wanalitambua hilo [emoji1787][emoji1787]
Sema kwa sababu ya dola na thamani ya ardhi kubwa....mnalazimika kuwepo mlipo[emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wewe usalimiwe ukiwa km nani?Aisee, mi nipo kwenye compound ya watu watatu kila mtu kivyake ila unaweza kukuta dirisha nimeacha wazi kabisa, mlango nimeufungua na mtu anaingia kwake anawaangalia hata kusalimia hasalimii aisee. Acha kabisa...!
[emoji7][emoji7]Arusha miaka yote iko hivyo...
Uhalifu unaabudiwa
Kuna familia maarufu za ujambazi...
Arusha ... wanahitaji zaidi exposure ya dunia ....
But ezii long hawamzuru mtu na wanafanya matukio yao Kama drama za kufurahisha watu hapo hakuna tatizo!!Arusha inahitaji wokovu wa Programu maalum ya Kisayansi kuwatoa walipo. Hali ya Usalama pia siyo ya 100% vijana wamevurugwa ubongo muda wowote anakutoa uhai. Arusha siyo mahali sahihi kulelea familia kuna tatizo la jumla kwenye ile jamii
Inasikitisha....Kuna siku nlipishana na machalii wawili mida ya saa tatu usiku, mitaa ya pale mianzini, wakiwa na umri kati ya miaka 13 au 14 hivi.
Mmoja kiunoni anabonge la beto, anamwambia mwenzake "haki ya mama, yule manzi asingetoa ile simu, mi ningemvurugua maini asee".
Mmaamae uko vizuri sana kwenye kichwa na tumbo,unapakia mizigo vizuri sana!![emoji3][emoji3][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787]Mida flani umegonga ugali sangara mixa mchicha,umekunywa bia mbili,bangi 5,maji ya jero na wills embassy za buku...
Unarudi home saafi
Mkuu tuliokuwa masela huko nyuma tunasema kuwa UHUNI ni LAANA....uhuni ni UPUNGUANI....amini mwana[emoji120]Kuua kwao ni Jambo la sekunde wanatembeza beto
nilipishana na katoto ka miaka kama mi 5 hivi kule Mapambazuko et kakanambia Zasahizi Aseee nili mind kimy kimy yan ni mtoto wang wa pili kabsa et ZasahiziMimi mwanzo ilikuwa inanipa shida sana mpaka kuja kukaa sawa na kuwaelewa style ya maisha yao. Nilikuwa nashangaa mtoto anaweza kukupita tu na anakutazama na wala hakusalimii, sio mtoto unakuta hata mtu mzima.
Ila baada ya kuwaelewa jinsi gani wanaishi maisha yao na ID yao wala sikupata tabu tena kuhusu Wachugga, na mimi nawapita tu...!
wageni, nilikuwa na haraka ya kuwahi sitiTofauti haya MANENO manne wazawa, wageni, wenyeji na wakuja, tofauti zake ni zipi
Ni zaidi ya laana mkuuMkuu tuliokuwa masela huko nyuma tunasema kuwa UHUNI ni LAANA....uhuni ni UPUNGUANI....amini mwana[emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nakubali Mkuu c unajua tunakula madude Makali so lazima tuzingatie misosiMmaamae uko vizuri sana kwenye kichwa na tumbo,unapakia mizigo vizuri sana!![emoji3][emoji3][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787]
Kwani wanaosalimiwa ni manyani mkuu...?Wewe usalimiwe ukiwa km nani?
Ukiwa ndani ya "zone za kihuni" kamwe huwezi kufikiria kuwa USTAARABU ndio nguzo ya maisha ya duniani....Wale watoto wanajiona wajanja sana
Kuelimika ni KAZI mkuu wangu....Wapumbavu na Wajinga! Inamaana elimu yao walipata huko mashuleni haijawasaidia kitu!!??
Tunapaswa kuchukua hatua mapema, mvua huanza na mawinguBut ezii long hawamzuru mtu na wanafanya matukio yao Kama drama za kufurahisha watu hapo hakuna tatizo!!
Hamna Ila sasa una mazoea nao mpaka wakusalimie yaweza ikawa wanakuona km mchawi wewe huchomi dawa upo upo tu hawakuelewi haupo kwenye system zaoKwani wanaosalimiwa ni manyani mkuu...?